TRUE STORY [emoji3064][emoji119]

kiben10

JF-Expert Member
Apr 28, 2018
616
789
Miaka 10 iliyopita nikiwa napitia kipindi Cha balehe, niliambiwa punyeto haina madhara, na niliingia Google kusearch faida za Punyeto tu.... Gues What!!!?

Sikutafuta madhara ya kupiga punyeto kwasababu nilijua kama ningezifahamu basi ingenilazimu kuacha kupiga punyeto!

What a life?

To make story short!

Miaka 5 ya Punyeto ikanifunza wanaume wengi wanaoisifia na kuitetea punyeto wameshaathiriwa nayo, na wana waponza vijana wengine kuingia kwenye uraibu huo!

Nami kweli sikuona athari kwa miaka 5+ ila mwaka 6 wa punyeto while approaching 19yrs ndipo nilianza kupitia dhahama ya hili jambo.

Sababu ya kuanza Punyeto ilikuwa nikiwa kidato Cha 2 nilipata Chunusi Kali usoni (ziliniharibu sana) nilihangaika sana, watu wakaniambia vitu vingi, moja wapo walisema nijipake manii (Semen) au shahawa zangu usoni kwa siku mara 2, na nikafundishwa namna ya kuzipata (punyeto).

Miezi 7 nilipona Chunusi lakini sikujua kilichonisaidia kupona maana nilikuwa Nimeshafanya mengine sana ili nipone (sijui kama ndio suluhisho)

Licha ya kupona nilikuwa tayari nipo addicted (Raha ya Punyeto) nikaendelea kwa hiari yangu kwa miaka kadhaa niliambiwa haina madhara kabisa, na kwamba hautapata U.T.I na HIV

Ndiposa 5yrs baadaye nakuja kujua madhara kwa kuyaona mwenyewe, haikuwa rahisi kuyapokea, uvivu mwingi, nilipenda kulala mchana, nilisahau sahau Mambo, kwenye performance sikujua kwasababu sikumjua mwanamke bado!

Mwaka wa 6 ndipo nilikutana na mwanamke na kujionea nilivyomdhaifu ilikuwa aibu ya Mwaka, mwanamke hakusema kitu lakini ilinichoma mno!

Nilikataa tamaa, nilimwambia Mama sidhani kama kuoa ni lazima, ama nitaoa ila Mke achague mwamba wa kumridhisha those were my options!

Ilinilazimu kukaa single 3yrs nikitafuta suluhisho, wengi walinitapeli, unatuma Pesa unakula block, Kila kulipokucha ni Maumivu na wasiwasi, hata Wana wakisimulia utamu wa wanawake naduwaa tu na kuogopa!

I'm a girl's Favorite (kipenzi Cha wanawake) ila niliishia kuwazoom na kuwaacha kwasababu ya kuogopa aibu (show mbovu).

Baadaye mwaka wa 4 toka niache Punyeto nilifanikiwa kulipata Suluhisho, nilimsikiliza Health Consultant vizuri na nikamuamini, Bei ya Program yake ilikuwa juu mno, nilihofia lakini nilipambana (nilikopa na kiazimia kwa watu) nilipoipata nikapewa program yangu.

Niliitumia mwezi 1, chini ya muongozo wake nikaimaliza, then nikapata mwanamke, what a comeback ndipo nilijua how sex it's kwa mara ya kwanza, was very fine as well, No wonder Wanaume wanakuchapa risasi ukipita na mkewe.

aliposema niendelee Phase II nilikosa Pesa ila improvement yangu ilikuwa ya juu sana.

Nilipona, miaka kadhaa Sasa, I'm fine, sijawahi na sitaki Tena Masterbation, siangalii Pornography iwe XXX videos au Picha za nusu uchi!

Kama nikipewa nafasi na Mungu nirudi utotoni nichague kosa moja tu nilisahihishe basi ni Kufanya masterbation (ule upele ningetafuta njia nyingine ya kupambana nao) but it's life and I'm Good now!

Nilichagua kuwa balozi kwa Vijana na wanaume wenzangu kwa kutoa Elimu na kuwasaidia kutoka huko!

My Take!

Kama umeshapitia kupiga punyeto na Umeona madhara yake usikate tamaa huo sio mwisho, unaweza kupona, pata mtu sahihi wa kukuhudumia maana utapeli ni mkubwa sana hapa!

Mungu akusaidie ufanikiwe kupona, usiingie 2024 ukiwa mdhaifu, amua Sasa kupona ili ushiriki tendo ukiwa rijali!

Women needs sexual satisfication rather than how they want Money.

Stay blessed you're Gentleman!!
 
FB_IMG_1689244373343.jpg
 
Miaka 10 iliyopita nikiwa napitia kipindi Cha balehe, niliambiwa punyeto haina madhara, na niliingia Google kusearch faida za Punyeto tu.... Gues What!!!?

Sikutafuta madhara ya kupiga punyeto kwasababu nilijua kama ningezifahamu basi ingenilazimu kuacha kupiga punyeto!

What a life?

To make story short!

Miaka 5 ya Punyeto ikanifunza wanaume wengi wanaoisifia na kuitetea punyeto wameshaathiriwa nayo, na wana waponza vijana wengine kuingia kwenye uraibu huo!

Nami kweli sikuona athari kwa miaka 5+ ila mwaka 6 wa punyeto while approaching 19yrs ndipo nilianza kupitia dhahama ya hili jambo.

Sababu ya kuanza Punyeto ilikuwa nikiwa kidato Cha 2 nilipata Chunusi Kali usoni (ziliniharibu sana) nilihangaika sana, watu wakaniambia vitu vingi, moja wapo walisema nijipake manii (Semen) au shahawa zangu usoni kwa siku mara 2, na nikafundishwa namna ya kuzipata (punyeto).

Miezi 7 nilipona Chunusi lakini sikujua kilichonisaidia kupona maana nilikuwa Nimeshafanya mengine sana ili nipone (sijui kama ndio suluhisho)

Licha ya kupona nilikuwa tayari nipo addicted (Raha ya Punyeto) nikaendelea kwa hiari yangu kwa miaka kadhaa niliambiwa haina madhara kabisa, na kwamba hautapata U.T.I na HIV

Ndiposa 5yrs baadaye nakuja kujua madhara kwa kuyaona mwenyewe, haikuwa rahisi kuyapokea, uvivu mwingi, nilipenda kulala mchana, nilisahau sahau Mambo, kwenye performance sikujua kwasababu sikumjua mwanamke bado!

Mwaka wa 6 ndipo nilikutana na mwanamke na kujionea nilivyomdhaifu ilikuwa aibu ya Mwaka, mwanamke hakusema kitu lakini ilinichoma mno!

Nilikataa tamaa, nilimwambia Mama sidhani kama kuoa ni lazima, ama nitaoa ila Mke achague mwamba wa kumridhisha those were my options!

Ilinilazimu kukaa single 3yrs nikitafuta suluhisho, wengi walinitapeli, unatuma Pesa unakula block, Kila kulipokucha ni Maumivu na wasiwasi, hata Wana wakisimulia utamu wa wanawake naduwaa tu na kuogopa!

I'm a girl's Favorite (kipenzi Cha wanawake) ila niliishia kuwazoom na kuwaacha kwasababu ya kuogopa aibu (show mbovu).

Baadaye mwaka wa 4 toka niache Punyeto nilifanikiwa kulipata Suluhisho, nilimsikiliza Health Consultant vizuri na nikamuamini, Bei ya Program yake ilikuwa juu mno, nilihofia lakini nilipambana (nilikopa na kiazimia kwa watu) nilipoipata nikapewa program yangu.

Niliitumia mwezi 1, chini ya muongozo wake nikaimaliza, then nikapata mwanamke, what a comeback ndipo nilijua how sex it's kwa mara ya kwanza, was very fine as well, No wonder Wanaume wanakuchapa risasi ukipita na mkewe.

aliposema niendelee Phase II nilikosa Pesa ila improvement yangu ilikuwa ya juu sana.

Nilipona, miaka kadhaa Sasa, I'm fine, sijawahi na sitaki Tena Masterbation, siangalii Pornography iwe XXX videos au Picha za nusu uchi!

Kama nikipewa nafasi na Mungu nirudi utotoni nichague kosa moja tu nilisahihishe basi ni Kufanya masterbation (ule upele ningetafuta njia nyingine ya kupambana nao) but it's life and I'm Good now!

Nilichagua kuwa balozi kwa Vijana na wanaume wenzangu kwa kutoa Elimu na kuwasaidia kutoka huko!

My Take!

Kama umeshapitia kupiga punyeto na Umeona madhara yake usikate tamaa huo sio mwisho, unaweza kupona, pata mtu sahihi wa kukuhudumia maana utapeli ni mkubwa sana hapa!

Mungu akusaidie ufanikiwe kupona, usiingie 2024 ukiwa mdhaifu, amua Sasa kupona ili ushiriki tendo ukiwa rijali!

Women needs sexual satisfication rather than how they want Money.

Stay blessed you're Gentleman!!

Kujichua ni phase ambayo vijana wengi hupitia. Hata hao unaodhani wana show nzuri, wameshajichua sana tu.

Nadhani saikolojia yako imekuchezea. Ulijawa na hofu na ulipokutana na Mwanamke hofu yako ilikua “je nitaridhika kama ambavyo naridhika nikipiga nyeto?”

Sex inahitaji urelax na usiwe katika tension. Wanaume maumbile yetu hutegemea zaidi hali ya mwili. Ndo maana wanaume wengi wakiwa na stress, hawezi kusimamisha au ikisimama inakua legelege. Sio kwamba ana udhaifu bali ni stress tu kwa wakati huo.

Sibariki tendo la kujichua, lakini kiukweli kabisa kujichua kuna madhara zaidi ya kisaikolojia na sio ya kimwili kama ambavyo wauza dawa wengi huaminisha watu. Kula vizuri, fanya mazoezi, jali afya ya uume wako na mambo yanakua sawa tu.

Nawasilisha!
 
Back
Top Bottom