kiben10
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 616
- 789
Eti WanaJF kuna kijana mwenzangu hapa anapata maumivu wakati wa kumaliza kuSex na Demu wake anasema anapofika Mshindo zile shahawa zikiwa zinapita katika mshipa huwa anahisi kama zinamuunguza. Sasa shida inaweza kuwa nini?
Maana hii imekuwa inamtokea mara kwa mara na huwa akimeza AZUMA tu tatizo linaisha ila akirudia tena kusex na huyo demu wake matatizo yanarudi.
Sema nini pia huyu ndugu yangu naye huwa anaokota okota sana videnti vya pale RIVER. Tumshauri jamani maana ameshaanza kutokwa na ukurutu matakoni.
Maana hii imekuwa inamtokea mara kwa mara na huwa akimeza AZUMA tu tatizo linaisha ila akirudia tena kusex na huyo demu wake matatizo yanarudi.
Sema nini pia huyu ndugu yangu naye huwa anaokota okota sana videnti vya pale RIVER. Tumshauri jamani maana ameshaanza kutokwa na ukurutu matakoni.