Natoa rai kwa sisi watanzania tuwe utamaduni Wa kupima afya zetu.sasa hivi magonjwa ya moyo yametapakaa sana.na karibu asilimia 70 ya wenye maradhi haya hawajitambui.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nionavyo mimi nchi yetu imefika pabaya.nilikuwa nikiwasikia wanasiasa wakibisha kuhusu kuwepo udini nchi au la.lakini baada ya kujiunga na jamii forum nimegundua udini upo.kwa wanapost humu ndani asilimia kubwa si wanasiasa bali ni wadini.mkatae mkubali nchi hii imeshazama kwenye wimbi baya la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.