Wametaja ndugu mpuuzi ila sikukariri jina lake...!TBC wehu kweli, hawajataja jina lake wala chama chake. Angekuwa wa CDM tungetajiwa hadi wajukuu wake
Naangalia taarifa ya habari TBC 1 wanasema kuwa mbunge wa MBALALI mkoani Mbeya ametishia kumuua afisa mtendaji kata cjawapata vzuri jina la kata. Mbunge huyo kakamatwa na polisi
Jamhaani mimi hata simjui je huyu ni mbunge wa chama gani? kama ni wa ccm basi sheria inaanza kuchukua mkondo wake bali kama ni wa CDM JUA MAGAMBA YANATAPATAPA
Wamemtaja kama mbunge wa CCM wa jimbo la Mbalali jina lake Kilufi.TBC wehu kweli, hawajataja jina lake wala chama chake. Angekuwa wa CDM tungetajiwa hadi wajukuu wake
Jamhaani mimi hata simjui je huyu ni mbunge wa chama gani? kama ni wa ccm basi sheria inaanza kuchukua mkondo wake bali kama ni wa CDM JUA MAGAMBA YANATAPATAPA
Naangalia taarifa ya habari TBC 1 wanasema kuwa mbunge wa MBALALI mkoani Mbeya ametishia kumuua afisa mtendaji kata cjawapata vzuri jina la kata. Mbunge huyo kakamatwa na polisi