Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Ndg. Mdondoaji, ukwleli suala la mahakama ya kadhi inatokana na dini ya Kiislamu na wafuasi wake na kwahiyo ni kwa ajili ya waumini wa dini hiyo. Katika nchi ambayo haina dini lakini yenye uhuru wa kuabudu itakuwa makosa kupinga mahakama ya kadhi ndani yao ya Kiislamu na kwahiyo hata nguvu ya uwekwaji na utekelezaji wake sharti utoke ndani dini ya Kiislamu. Kwa mfano, wakristu wanaamini mume mmoja mke mmoja tofauti na waislamu na utekelezaji wake unaishia ndani ya dini husika. Hivyo, mke anapopinga mume wake kuoa mke wa pili tu sheria za dini huzingatiwa na mlalamikaji huelekezwa wasuluhishwe kidini. Mawazo hapa ni woga kuwa dini inaweza kuamua kosa amabalo si la jinai na bado serikali ikahoji ni vipi uamuzi huo ukafanywa. Hapa ni statement tu pengine angefafanua kwa mfano. Ukweli ni kwamba tanzania inatambua uwepo wa dini mbali mbali na imani zao na hivyo uamuzi uliozingatia misingi ya kidini hauna tatizo na serikali. lakini mwanya huo ukitumika kumnyima haki raia ni sharti mahakama ya serikali iingilie kati. Na hata hizo mahakama za kadhi kama hazina rufaa kuna uwezekano wa kuwa na harufu ya uonevu maana zinaamriwa na binadamu na anaweza kukosea katika uelewa wa kunukuu ibara fulani, kutenda haki (chuki yeye kama binadamu kutokana na mahusiano mengine kati yao, nk.) na hapa ndipo umuhimu wa rufaa unakuja kudumisha haki na imani kwa mahakama.

Lakini tofauti na nchi inayoendeshwa kwa misingi ya dini, nchi isiyo ya kiislamu haiwezi kulaumiwa kwa kukosa mahakama ya kadhi. Tuzungumuzie precedence hii kwa Tanzania. Tanzania tuna dini na madhehebu mengi sana ya dini ambazo zinaongezeka kila kukicha na ukiruhusu mahakama ya kadhi utazuiaje dini zingine kuja na madai ya mahakama zao na kama utaruhusu tutakuwa na mahakama ngapi na kwa umuhimu gani gharama hizo? Ni dhahiri kutakuwa na tatizo la mwingiliano na udhibiti wa mwenendo na uendeshaji wa mahakama hizi za dini. Gharama za shughuli ya dini hugharimikiwa na waumini wake ikiwa ni pamoja na misaada ya hiari tu.

Kwa kifupi tukumbuke, msingi wa dini ni imani (na mkataba wa dini na mfuasi wa dini ni imani tu) kwa muda wote ni hiari na hudumu kwa nguvu ya imani ambapo wakati wowote mtu anaweza kubadili bila masharti pindi apatapo ufunuo mpya katika imani yake, mara nyingi kuhusu maisha baada ya kifo au chanzo cha kuwapo tunavyoviona na kuvihisi (uumbaji).

Mimi baada ya kusema hayo, bado sijajua waislamu watakosa haki gani katika hali ya sasa na shria zake kuhusu hayo wanayoyataka katika mahakama ya kadhi wakati serikali imeruhusu mahakama ya kadhi ndani ya dini kwa ajili ya waumini wao na kwa gharama ya waumini wao na zaidi kuwa wakitaka kuomba msaada wa serikali kifedha ruksa kutegemea maamuzi na uwezo wa serikali. Hapa nini zaidi. Wawe wawazi kama ni gharama waseme na kama ni kutaka mahakama hiyo iendeshwe ki-imra waseme pia, yote haya yanazungumzika. Kwahiyo haya ni maoni yangu kwa sasa kuhusu pro and cons yaani sipingi ila kwanza nielemishwe.
 
wapewe mahakama yao ya kadhi kwani si waliwahi kuwa nayo kabla na baada ya uhuru?
 
Unaona unarudi kule kule tulikotokea mwanzo na tatizo lako hujui unajadili nini zaidi ya kuongeza ukubwa wa thread tu. [1]&lt;/a&gt;&lt;/sup&gt; &lt;b&gt;<br />
Sasa jiulize nchi gani rais wake ni raia wa Ujerumani na wasaidizi wake raia wa nchi nyengine (Vatican Pope ni mjerumani na cardinals wote ni raia kutoka nchi nyengine).&lt;br /&gt;<br />
&lt;br <br />
Umetolea mfano Pakistan (raia wake pakistan, hawamtegemei mtu infact watutasidia sisi maskini), Malysia hali ni hivyo hivyo, Kuwait pia, Indonesia pia sasa nafikiri wewe ni mtu huna hoja wala hujui unachokijadili I am sorry but you are absolutely ridiculous kasome kwanza kanisani ndipo uje kujadili hapa.&lt;br /&gt;<br />

Mkuu heshima sana... Jamaa uliyemjibu amekuuliza vigezo walivyotumia hizo nchi unazotaja hapo kuwa na diplomatic relations na Vatican... Lkn naona umejibu kitu tofauti kabisa! Kwa heshima tu mkuu naomba usome vizuri sehemu aliyotaja mataifa hayo ktk post yake halafu uijibu, itatusaidia wengi kuelewa.
 
Unaona unarudi kule kule tulikotokea mwanzo na tatizo lako hujui unajadili nini zaidi ya kuongeza ukubwa wa thread tu. [1]&lt;/a&gt;&lt;/sup&gt; &lt;b&gt;<br />
Sasa jiulize nchi gani rais wake ni raia wa Ujerumani na wasaidizi wake raia wa nchi nyengine (Vatican Pope ni mjerumani na cardinals wote ni raia kutoka nchi nyengine).&lt;br /&gt;<br />
&lt;br <br />
Umetolea mfano Pakistan (raia wake pakistan, hawamtegemei mtu infact watutasidia sisi maskini), Malysia hali ni hivyo hivyo, Kuwait pia, Indonesia pia sasa nafikiri wewe ni mtu huna hoja wala hujui unachokijadili I am sorry but you are absolutely ridiculous kasome kwanza kanisani ndipo uje kujadili hapa.&lt;br /&gt;<br />

Mkuu heshima sana... Jamaa uliyemjibu amekuuliza vigezo walivyotumia hizo nchi unazotaja hapo kuwa na diplomatic relations na Vatican... Lkn naona umejibu kitu tofauti kabisa! Kwa heshima tu mkuu naomba usome vizuri sehemu aliyotaja mataifa hayo ktk post yake halafu uijibu, itatusaidia wengi kuelewa.

Vigezo kuhusu nchi nilishamueleza akajibu kwa kutoa mfano wa nchi za kiislamu na mie nimemjibu kwa mfano wake huo huo kwanini zile ni nchi na Vatican sio nchi bali taasisi tu. Vile vile soma post zangu za nyuma kuelezea kwanini Vatican sio nchi na soma post za wachangiaji wengine nafikiri nimemaliza sina haja ya kurudia.
 
Hili ndio ilikuwa jibu lake . Na nchi zote zilizoanzisha ubalozi wa kidiplomasia na taasisi ya vatican walifanya hivyo kutokana na msukumo wa watu wao.Kama kawaida akakimbilia kueleza kwa urefu kuwa Vatican sio nchi jambo ambao wala hakuulizawa]
 
Ndg. Mdondoaji, ukwleli suala la mahakama ya kadhi inatokana na dini ya Kiislamu na wafuasi wake na kwahiyo ni kwa ajili ya waumini wa dini hiyo. Katika nchi ambayo haina dini lakini yenye uhuru wa kuabudu itakuwa makosa kupinga mahakama ya kadhi ndani yao ya Kiislamu na kwahiyo hata nguvu ya uwekwaji na utekelezaji wake sharti utoke ndani dini ya Kiislamu. Kwa mfano, wakristu wanaamini mume mmoja mke mmoja tofauti na waislamu na utekelezaji wake unaishia ndani ya dini husika. Hivyo, mke anapopinga mume wake kuoa mke wa pili tu sheria za dini huzingatiwa na mlalamikaji huelekezwa wasuluhishwe kidini. Mawazo hapa ni woga kuwa dini inaweza kuamua kosa amabalo si la jinai na bado serikali ikahoji ni vipi uamuzi huo ukafanywa. Hapa ni statement tu pengine angefafanua kwa mfano. Ukweli ni kwamba tanzania inatambua uwepo wa dini mbali mbali na imani zao na hivyo uamuzi uliozingatia misingi ya kidini hauna tatizo na serikali. lakini mwanya huo ukitumika kumnyima haki raia ni sharti mahakama ya serikali iingilie kati. Na hata hizo mahakama za kadhi kama hazina rufaa kuna uwezekano wa kuwa na harufu ya uonevu maana zinaamriwa na binadamu na anaweza kukosea katika uelewa wa kunukuu ibara fulani, kutenda haki (chuki yeye kama binadamu kutokana na mahusiano mengine kati yao, nk.) na hapa ndipo umuhimu wa rufaa unakuja kudumisha haki na imani kwa mahakama.

Lakini tofauti na nchi inayoendeshwa kwa misingi ya dini, nchi isiyo ya kiislamu haiwezi kulaumiwa kwa kukosa mahakama ya kadhi. Tuzungumuzie precedence hii kwa Tanzania. Tanzania tuna dini na madhehebu mengi sana ya dini ambazo zinaongezeka kila kukicha na ukiruhusu mahakama ya kadhi utazuiaje dini zingine kuja na madai ya mahakama zao na kama utaruhusu tutakuwa na mahakama ngapi na kwa umuhimu gani gharama hizo? Ni dhahiri kutakuwa na tatizo la mwingiliano na udhibiti wa mwenendo na uendeshaji wa mahakama hizi za dini. Gharama za shughuli ya dini hugharimikiwa na waumini wake ikiwa ni pamoja na misaada ya hiari tu.

Kwa kifupi tukumbuke, msingi wa dini ni imani (na mkataba wa dini na mfuasi wa dini ni imani tu) kwa muda wote ni hiari na hudumu kwa nguvu ya imani ambapo wakati wowote mtu anaweza kubadili bila masharti pindi apatapo ufunuo mpya katika imani yake, mara nyingi kuhusu maisha baada ya kifo au chanzo cha kuwapo tunavyoviona na kuvihisi (uumbaji).

Mimi baada ya kusema hayo, bado sijajua waislamu watakosa haki gani katika hali ya sasa na shria zake kuhusu hayo wanayoyataka katika mahakama ya kadhi wakati serikali imeruhusu mahakama ya kadhi ndani ya dini kwa ajili ya waumini wao na kwa gharama ya waumini wao na zaidi kuwa wakitaka kuomba msaada wa serikali kifedha ruksa kutegemea maamuzi na uwezo wa serikali. Hapa nini zaidi. Wawe wawazi kama ni gharama waseme na kama ni kutaka mahakama hiyo iendeshwe ki-imra waseme pia, yote haya yanazungumzika. Kwahiyo haya ni maoni yangu kwa sasa kuhusu pro and cons yaani sipingi ila kwanza nielemishwe.

Tatizo ndugu yangu unatumia nguvu nyingi sana kumweleza mtu aliye kwenye mduara wa dini,hafurukuti hata namna ya kufikiri imezingirwa na dini yake hana uhuru wa kufikiri japo ana uwezo mzuri wa kufikiri,Mdonoaji anajua kwamba mahakama ya kadhi ni ya waislam,anajua kwamba hakuna anayekataza kuanzishwa kwa hiyo mahakama kama wo waislam wameamua,anajua kwamba wanahaki ya kuteua chombo chao cha kuteua majaji wa mahakama hiyo,anajua kwamba mambo wanayotaka yatatuliwe na mahakama ya kadhi yatakuwa yakitatuliwa na mahakama hiyo,LAKINI amekuwaprogramed kuamini na kutetea kuhakikisha mahakama ya kadhi inakuwa sehemu ya mfumo wa kisheria wa jamhuri kwa kuwekwa ndani ya katiba.
Tatizo la ndugu zangu waislam ni hili la kujitia unyonge ili waonyeshe wao kwamba ni super kwa msaada wa serikali,inferiority Complex,inatumia mifano isiyoendana na maudhui ya hoja husika,Hospitali,mashule ya wakristo hayabagui wanafunzi kidini,mara ngapi tumesikia viongozi wa kiislam wapo kwenye matibabu kwenye hospitali za kikristo,Kumbuka Hospital ndizo zinazopewa ruzuku,sababu kubwa ni kuwa pamoja na kuwa zinaanzishwa kama huduma ya kiroho lakini serikali inazitumia kufanya huduma zile ambazo ni jukumu la serikali kama chanjo mbalimbali,na pia uwepo wake unaipunguzia serikali gharama za kutengeneza miundombinu ya huduma hiyo.
Kuweka Mahakama ya kadhi ndani ya katiba utakuwa ni upuuzi wa hali ya juu sana.Mara nyingi ninapata shida sana kwenye majadiliano ya aina hii hata kwa ndugu zangu ambao ni waislam,sijui ukiwa mwislam unapata tatizo gani la kufikiri,OIC wanataka nchi ijiunge,ukiuliza sababu Oooh Ubalozi wa Vatican,Oooh Vatican sio nchi,Upuuzi mtupu,nani amekataza OIC kufungua ubalozi wake hapa kama hoja ni ubalozi na si uanachama,Kama ndivyo waislam waangalie uhusiano uliopo kati ya TZ kama Nchi na Vatican kama Taasisi then mtindo huo huo utumiwe kwa OIC
 
Tatizo ndugu yangu unatumia nguvu nyingi sana kumweleza mtu aliye kwenye mduara wa dini,hafurukuti hata namna ya kufikiri imezingirwa na dini yake hana uhuru wa kufikiri japo ana uwezo mzuri wa kufikiri,Mdonoaji anajua kwamba mahakama ya kadhi ni ya waislam,anajua kwamba hakuna anayekataza kuanzishwa kwa hiyo mahakama kama wo waislam wameamua,anajua kwamba wanahaki ya kuteua chombo chao cha kuteua majaji wa mahakama hiyo,anajua kwamba mambo wanayotaka yatatuliwe na mahakama ya kadhi yatakuwa yakitatuliwa na mahakama hiyo<b>,LAKINI amekuwaprogramed kuamini na kutetea kuhakikisha mahakama ya kadhi inakuwa sehemu ya mfumo wa kisheria wa jamhuri kwa kuwekwa ndani ya katiba.<br />
Tatizo la ndugu zangu waislam ni hili la kujitia unyonge ili waonyeshe wao kwamba ni super kwa msaada wa serikali,inferiority Complex,inatumia mifano isiyoendana na maudhui ya hoja husika,Hospitali,mashule ya wakristo hayabagui wanafunzi kidini,mara ngapi tumesikia viongozi wa kiislam wapo kwenye matibabu kwenye hospitali za kikristo,Kumbuka Hospital ndizo zinazopewa ruzuku,sababu kubwa ni kuwa pamoja na kuwa zinaanzishwa kama huduma ya kiroho lakini serikali inazitumia kufanya huduma zile ambazo ni jukumu la serikali kama chanjo mbalimbali,na pia uwepo wake unaipunguzia serikali gharama za kutengeneza miundombinu ya huduma hiyo.<br />
</b>Kuweka Mahakama ya kadhi ndani ya katiba utakuwa ni upuuzi wa hali ya juu sana.Mara nyingi ninapata shida sana kwenye majadiliano ya aina hii hata kwa ndugu zangu ambao ni waislam,sijui ukiwa mwislam unapata tatizo gani la kufikiri,OIC wanataka nchi ijiunge,ukiuliza sababu Oooh Ubalozi wa Vatican,Oooh Vatican sio nchi,Upuuzi mtupu,nani amekataza OIC kufungua ubalozi wake hapa kama hoja ni ubalozi na si uanachama,Kama ndivyo waislam waangalie uhusiano uliopo kati ya TZ kama Nchi na Vatican kama Taasisi then mtindo huo huo utumiwe kwa OIC
<br />
<br />
 
Crome20,

Kwanza fahamu kuwa ni ukweli usiopingika kwamba fikra miongoni mwenu wengi ni kuwa waislamu ni watu wa madrassa na ndio maana dhihaka na kebehi zimewajaa nitakupa mfano mtu utamsikia unakuwa kama mswahili au mtu wa kariakoo. Mswahili ni mtu wa pwani ambao majority yao ni waislamu if not all of them. Waswahili inajumuisha wandengereko, wazaramu, wabarawa, wapemba, waunguja, wamakonde (baadhi yao). Pia ni watu kariakoo ukweli wao ni kwamba ni waislamu kwani kariakoo majority ya wakaazi wa asili walikuwa waislamu. Hivyo ninavyokuambia hivyo najua kwanini nasema na uthibitisho wa haya soma thread nzima utagundua dharau na kebehi hizo.

Pili bilateral relationship sio sawa na multilateral relationship na nchi zote zilizoanzisha ubalozi wa kidiplomasia na taasisi ya vatican walifanya hivyo kutokana na msukumo wa watu wao. Kuna nchi bado hazina mahusiano na Vatican jiulize kwanini? Vile vile swala la Vatican sio nchi nimelifafanua kwa vizuri zaidi nyuma nakushauri isome thread achana na uvivu wa kusubiri nikutafunie sababu zinazoifanya isiwe nchi.

Tatu tunapogusia Common Law na Canon Law kuna sheria mama zinazodaiwa ni secular laws na sheria akisi zinazoendana na huduma ya kiroho. Hizo unazizungumzia ni sheria akisi zinazoshabihiana na huduma ya kiroho nitakupa mfano wa sheria za kikristo zinazojumuishwa katika kile kinachodaiwa ati sheria za secular mfano sheria ya ndoa mke anayetambulika kiofficial ni mke mmoja. Na hata baadhi ya taasisi za kiserikali safari za kiserikali huwa mke mmoja anayetambuliwa. Hii sheria ni monogamy inayotaka na asili yake ukristo na kitendo cha kupinga polygamy in the relationship. Uislamu unaruhusu polygamy ila mwisho wake wanne. Je nikuulize bwana mkubwa sheria hii huoni inamnyima haki muislamu wa kujinafasi na wake zake anapotaka kuhudhuria shughuli mbalimbali?

Sheria ya mirathi ya Tanzania inayotambuliwa na serikali inaruhusu watoto wote (ndani ya ndoa na nje ya ndoa) wapewe urithi sawa. Kigezo kinachotumika ni kwamba hao watoto wanatambulika kuwa watoto wa marehemu (mzazi wa kiume) asili ya sheria hii ni ukristo. Sheria ya kiislamu inasema hakuna kugawa sawa mirathi bali urithi wa watoto unagaiwa kutokana na gender ya mtoto. Watoto wa kiume wanapata mara mbili ya watoto wa kike. Pia watoto wa nje ya ndoa hawapati kitu kwani hawatambuliwi kisheria. Logic behind this ni kuwa watoto wa kike ni rahisi kuachwa na wanapoachwa mara nyingi hukimbilia kwa ndugu zao wa kiume na hivyo kupewa urithi mkubwa ni kwa sababu ya responsibility waliyonayo dhidi ya dada zao. Isitoshe watoto wa nje ya ndoa ni ngumu sana kufahamika even using DNA na isitoshe mali ya marehemu inaweza kuwa imetafutwa na mke aliyehai pamoja na mme na basi kumgaia mtoto wa nje ya ndoa ni kuwadhulumu watoto walio ndani ya ndoa.

...........Kadhi courts ni mahakama kamili kama mahakama zengine za serikali usifikiri ni ibada ya msikitini. Pia ilikuwapo zamani Nyerere akaja kuitoa kimya kimya unaweza kutuambia sababu za yeye kufanya hivyo???

Kwenye huu mjadala wa KADHI tutasikia mengi. Suala la kutataua migogoro ktk dini ni jambo zito sana maana unagusa imani za watu. HAPO KWENYE RED HAPO!!!!!!!!!
DNA ndugu yangu haidanganyi inaumbua kama hujui hilo jambo please do not speak about it. Mimi kama Mwanasayansi nimesikitika sana kwa sentensi yako hiyo. Ukweli watoto wa nje ya ndoa wanastahili kurithi kwani Baba/mama alipokuwa anashughulika na akapata matokeo ya hiyo shughuli, kosa la Mtoto liko wapi naona hapa ndugu yangu unajifungia kwenye kibuyu cha UDINI KUKANDAMIZA MALAIKA WASIO NA HATIA IN THE NAME OF UR RELIGION, Halafu unakuja na hoja eti hata DNA haiwezi kubaini mtoto wa nje ya Ndoa----HUO ni UWONGO MKUBWA TUOMBE RADHI WANASAYANSI. Kupitia vipimo vya DNA usije shangaa hata pale kwako ukawa unalea watoto wa wenzako.

WAISLAM WAANZISHE MAHAKAM ZA KAZI NJE YA MFUMO WA SERIKALI, vinginevyo wanaajendaa yao
 
TATIZO LA NDUGUZETU WANAZAMA SAANA KATIKA DINI KUJADILI MAMBO AMBAYO SI YA KIDINI NA MWISHOWEKUPOTEZA LENGO KUU. MHALI POPOTE KATIKA MJADALA KWA MISINGI YA IMANI YA DINIHAPATOKEI MSHINDI NA YAFUATAYO SI KUTAFUTA MSHINDI.
Bw. Mdondoaji: Kwangu mtu wa madrasa ni mtu aliyepitia madrasa na hili nijambo zuri sasa kwa nini usijivunie kufikiriwa hivyo kama na yeye anaamini kuwani jambo hili zuri? Kupitia madrasa haina maana mtu hana elimu nyingine hatakidogo na ushahidi tele upo ila yeye akianza kujidharau hivyo nani atamsifu? Niustaarabu mtu kuheshimu dini ya mwingine. Kuhusu Vatican, Italy ilimo Vatican wanaitambua kuwa ni nchi ndani ya nchiyao, hii tu na maelezo yaliyotangulia mengi havitoshi? Kuhusu nchi ambazohazina uhusiano na Vatican bila shaka si bure kuna sababu kama ilivyo kwa nchizile ambazo hazina uhusiano na nchi zinginezo. Nitashangaa mtu kuuliza ni kwanini nchi fulani haina uhusiano na Vatican au na nchi zinginezo (au muoneMbunge wako).Tanzania inatambua mtu kuoa mke/wake kadri ya imani yake sasa tatizo hapasilioni. Nikikunukuu katika maelezo yako kuwa "&#8230;. Na hata baadhi ya taasisi za kiserikalisafari za kiserikali huwa mke mmoja anayetambuliwa. &#8230; inamnyima haki muislamu wa kujinafasi nawake zake anapotaka kuhudhuria shughuli mbalimbali?". Ukweli siyo kwamba taasisihaziwatambui wake wengine kama wapo ila moja ya sababu ya wazi ni kudhibitimatumizi ya hela za walipa kodi na kuzielekeza zaidi katika maendeleo. Wewehili linakukera vipi? Na hii badohaimunyimi mtu kujinafasi kusafirina wake wengine kwa gharama zake.Kuhusumirathi, kinachosemwa hapa ni kwamba mtoto ana haki ya kuwa na baba na mamaambao wanapashwa kuwajibibika na malezi ya mtoto huyo kwa pamoja au na mmojawapo pale mzazi mwenzie hayupo kwa sababu yoyote ile (kifo, kutojulikana, nk.).Naamini hapo tupo pamoja. Ila kwa niniulalamike kuhusu mgawo wa mirathi kwa sababu serikali haimunyimi Muislamu kugawamirathi inavyompendeza Kiislamu. Sasa pilipili usizokula za kuwasha nini? Nisawa na wakristo walamikie serikali kuhusu mke mmoja tu. Acha wahusika wasemewenyewe, ndipo uje tu kuunga mkono. Kupitia vipimo vya DNA si ajabu unalea mtotowa wenzako &#8211; si kitanda hakizai haramu? Acha bwana.
 
TATIZO LA NDUGUZETU WANAZAMA SAANA KATIKA DINI KUJADILI MAMBO AMBAYO SI YA KIDINI NA MWISHOWEKUPOTEZA LENGO KUU. MHALI POPOTE KATIKA MJADALA KWA MISINGI YA IMANI YA DINIHAPATOKEI MSHINDI NA YAFUATAYO SI KUTAFUTA MSHINDI.
Bw. Mdondoaji: Kwangu mtu wa madrasa ni mtu aliyepitia madrasa na hili nijambo zuri sasa kwa nini usijivunie kufikiriwa hivyo kama na yeye anaamini kuwani jambo hili zuri? Kupitia madrasa haina maana mtu hana elimu nyingine hatakidogo na ushahidi tele upo ila yeye akianza kujidharau hivyo nani atamsifu? Niustaarabu mtu kuheshimu dini ya mwingine. Kuhusu Vatican, Italy ilimo Vatican wanaitambua kuwa ni nchi ndani ya nchiyao, hii tu na maelezo yaliyotangulia mengi havitoshi? Kuhusu nchi ambazohazina uhusiano na Vatican bila shaka si bure kuna sababu kama ilivyo kwa nchizile ambazo hazina uhusiano na nchi zinginezo. Nitashangaa mtu kuuliza ni kwanini nchi fulani haina uhusiano na Vatican au na nchi zinginezo (au muoneMbunge wako).Tanzania inatambua mtu kuoa mke/wake kadri ya imani yake sasa tatizo hapasilioni. Nikikunukuu katika maelezo yako kuwa "&#8230;. Na hata baadhi ya taasisi za kiserikalisafari za kiserikali huwa mke mmoja anayetambuliwa. &#8230; inamnyima haki muislamu wa kujinafasi nawake zake anapotaka kuhudhuria shughuli mbalimbali?". Ukweli siyo kwamba taasisihaziwatambui wake wengine kama wapo ila moja ya sababu ya wazi ni kudhibitimatumizi ya hela za walipa kodi na kuzielekeza zaidi katika maendeleo. Wewehili linakukera vipi? Na hii badohaimunyimi mtu kujinafasi kusafirina wake wengine kwa gharama zake.Kuhusumirathi, kinachosemwa hapa ni kwamba mtoto ana haki ya kuwa na baba na mamaambao wanapashwa kuwajibibika na malezi ya mtoto huyo kwa pamoja au na mmojawapo pale mzazi mwenzie hayupo kwa sababu yoyote ile (kifo, kutojulikana, nk.).Naamini hapo tupo pamoja. Ila kwa niniulalamike kuhusu mgawo wa mirathi kwa sababu serikali haimunyimi Muislamu kugawamirathi inavyompendeza Kiislamu. Sasa pilipili usizokula za kuwasha nini? Nisawa na wakristo walamikie serikali kuhusu mke mmoja tu. Acha wahusika wasemewenyewe, ndipo uje tu kuunga mkono. Kupitia vipimo vya DNA si ajabu unalea mtotowa wenzako &#8211; si kitanda hakizai haramu? Acha bwana.

Vatican kwa mujibu wa sheria za kimataifa sio nchi ni taasisi kwani haina vigezo vya kuitwa nchi na hili limezungumziwa na maprofessa wa sheria na wana arguments zao. Hao watu sio waislamu ni wakristo na wala hawana interest yeyote na uislamu ila wana misimamo yao ya kisomi. Mie tokea mwanzo nimekupeni hoja kuonyesha kwanini Vatican sio nchi katika sheria za kimataifa na vp serikali ya Tanzania chini ya Uongozi wa Nyerere ukubali kuanzisha mahusiano nayo ya kibalozi wakati ni taasisi ya kidini contrary to Our constitution sasa siwaelewi udini uko wapi??? Huo ni ujinga na ulevi wenu wa kutuoona mapungufu yenu na kukimbilia labelling others ili kudiscredit my arguments IN SHORT HAMNA HOJA KATIKA HILI ZAIDI YA KUKUBALI HAPA MTAKATIFU NYERERE ALIVUNJA KATIBA YA NCHI NA HAYA SI MANENO YANGU BALI YAMETOLEWA NA MZEE WETU ABOUD JUMBE.

Kuhusu sheria za nchi whichever you may put them but in short masuala ya mirathi, ndoa na usimamizi wa mali za waislamu mahakama yenye meno ya kisheria ya sasa zimeshindwa kulitimiza hilo matokeo yake waislamu wamekuwa wakifa mali zinapotea hovyo kutokana na baadhi ya viongozi wasio waaminifu wakiviuza kwa kujitajirisha wao na bila ya kuwa accountability yeyote. Pia ndoa za waislamu zimekuwa zikisimamiwa wakati wa kuachana badala ya kufuata proper channels of counselling mpaka divorce. Hakimu anayehukumu ndoa ya muislamu hajui hata sheria za kiislamu zinasemaje yet alone kutokuwa muislamu. Isitoshe kuna masuala mengine ya waislamu kuhusu dini yao yanayohitaji msaada wa kisheria na kwa sasa Tanzania hakuna chombo chenye menu ya kisheria kinachoweza kuwasaidia kuwaongoza. This is major defficiency and incompetence that leads to the demand of Kadhi court.

Acheni zenu Tanzania sio ya wakristo pekee bali Waislamu, wahindu, wasio na dini, na kadhalika na moja ya fundamental right of a citizen is the right of justice sasa mnapowanyima watanzania right of justice mtajibu nini? Oneni mwanga kidogo badala ya kuganda katika ukungu wenu wa udini na ubaguzi na ukandamizaji otherwise iko siku waislamu watafikia kikomo na litakalotokea hakuna wa kulaumiwa.
 
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haina dini, na wala haipaswi kuwa na dini. Utaratibu huu ni mzuri kwa sasa na kuendelea.
Watanzania wana dini tofauti lakini wanajua fika kwamba kwa mambo yanayohusu serikali, wote ni sawa mbele ya sheria.
Hali hii imeondoa ubaguzi, imeongeza mshikamano na umoja wa kitaifa.
Kuanzishwa kwa mahakama ya Kadhi hakutakiwi kuhusisha bunge wala kubadilisha mfumo wa mahakama zilizopo kwani kufanya hivyo itakuwa ni kuingiza ubaguzi kisheria na ni kinyume cha katiba.
Ni muhimu kwa viongozi kutoa msimamo huu wazi wazi na kama kuna ambaye ni mkereketwa wa mahakama ya kadhi, basi ajue kwamba hafai kuwa kiongozi Tanzania, atakuwa anaturudisha nyuma, kama akitaka iingizwe kwenye sheria za nchi.
Mahakama ya kadhi yaweza kuanzishwa tu kama NGO ya kidini, na hapo kutakuwa hakuna tatizo.
 
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haina dini, na wala haipaswi kuwa na dini. Utaratibu huu ni mzuri kwa sasa na kuendelea.
Watanzania wana dini tofauti lakini wanajua fika kwamba kwa mambo yanayohusu serikali, wote ni sawa mbele ya sheria.
Hali hii imeondoa ubaguzi, imeongeza mshikamano na umoja wa kitaifa.
Kuanzishwa kwa mahakama ya Kadhi hakutakiwi kuhusisha bunge wala kubadilisha mfumo wa mahakama zilizopo kwani kufanya hivyo itakuwa ni kuingiza ubaguzi kisheria na ni kinyume cha katiba.
Ni muhimu kwa viongozi kutoa msimamo huu wazi wazi na kama kuna ambaye ni mkereketwa wa mahakama ya kadhi, basi ajue kwamba hafai kuwa kiongozi Tanzania, atakuwa anaturudisha nyuma, kama akitaka iingizwe kwenye sheria za nchi.
Mahakama ya kadhi yaweza kuanzishwa tu kama NGO ya kidini, na hapo kutakuwa hakuna tatizo.

Kwa hiyo wale waislamu asilimia kubwa ya population ya Tanzania waendelee kunyimwa haki yao ya kisheria kwa vile wewe unaendelea kufaidika mfumo mbovu wa kisheria uliopo? Hata kama waislamu sio asilimia kubwa ila bado ni watanzania who deserve the right of justice. Anyway Rais leo amewataarifu leo kuwa iko kwenye mchakato subiri ikianzishwa ndio mseme sasa hivi kaeni kimya tu but iko njiani. Na hata ikianzishwa mabadiliko mengine yatafuatia mahakama kuu mpaka kieleweke.
 
Niliandika hoja hii kwa kirefu mwaka 2006 na inashangaza ukweli ambao ulikuwa ukweli kwa miaka yote hiyo imewachukua muda kuufikia. Lakini natumaini wataenda na kufanya lile la OIC ambalo ni kuteua Balozi wa Tanzania kwenye OIC na kuipatia OIC eneo jijini Dar na Dodoma kuweza kujenga ubalozi wao na hivyo kulimaliza nalo hili.
 
hili wala halihitaji mtu uwe mwana Sayansi kulitafutia ufumbuzi... Serikali ijiondoe na iwape baraka zote waislamu kuanzisha mahakama hiyo!!

Imewachukua miaka karibu mitano kufikia jambo ambalo halikuhitaji sayansi kulifikia!! grrrrrrr niliandika hayo Septemba 2006.
 
Wandugu,

Raisi ameshatoa msimamo, kwa hiyo tuache kulumbana.

Daily News | Kikwete:Tanzania is secular state

To quote key statement:

The president also stressed that the Kadhi's court will be established and manned by Muslims themselves and will not be parallel to the normal judicial system.

"No one is a stumbling block to the establishment of the court. Even Christians support the idea, but the consensus is that it should be established and run by Muslims themselves and will handle only cases related to marriage, inheritance and divorce," Mr Kikwete said, adding that all criminal and civil cases will be handled by the ordinary court and it will have no mandate to institute "Sharia Law."

Tena ni vizuri Raisi aliyetoa huo msimamo ni Muislam, maana 2015 anaweza kuja raisi Mkristo hawa jamaa wanaotaka MK wakamwanzishia fitna za kidini.

Eid Mubarak!
 
HINI umemaliza kazi. Mwenye masikio na asikie!!!!
qinp1.jpg

qinp2.jpg

qinp3.jpg
 
Vatican kwa mujibu wa sheria za kimataifa sio nchi ni taasisi kwani haina vigezo vya kuitwa nchi na hili limezungumziwa na maprofessa wa sheria na wana arguments zao. Hao watu sio waislamu ni wakristo na wala hawana interest yeyote na uislamu ila wana misimamo yao ya kisomi. Mie tokea mwanzo nimekupeni hoja kuonyesha kwanini Vatican sio nchi katika sheria za kimataifa na vp serikali ya Tanzania chini ya Uongozi wa Nyerere ukubali kuanzisha mahusiano nayo ya kibalozi wakati ni taasisi ya kidini contrary to Our constitution sasa siwaelewi udini uko wapi??? Huo ni ujinga na ulevi wenu wa kutuoona mapungufu yenu na kukimbilia labelling others ili kudiscredit my arguments IN SHORT HAMNA HOJA KATIKA HILI ZAIDI YA KUKUBALI HAPA MTAKATIFU NYERERE ALIVUNJA KATIBA YA NCHI NA HAYA SI MANENO YANGU BALI YAMETOLEWA NA MZEE WETU ABOUD JUMBE. <br />
<br />
Kuhusu sheria za nchi whichever you may put them but in short masuala ya mirathi, ndoa na usimamizi wa mali za waislamu mahakama yenye meno ya kisheria ya sasa zimeshindwa kulitimiza hilo matokeo yake waislamu wamekuwa wakifa mali zinapotea hovyo kutokana na baadhi ya viongozi wasio waaminifu wakiviuza kwa kujitajirisha wao na bila ya kuwa accountability yeyote. Pia ndoa za waislamu zimekuwa zikisimamiwa wakati wa kuachana badala ya kufuata proper channels of counselling mpaka divorce. Hakimu anayehukumu ndoa ya muislamu hajui hata sheria za kiislamu zinasemaje yet alone kutokuwa muislamu. Isitoshe kuna masuala mengine ya waislamu kuhusu dini yao yanayohitaji msaada wa kisheria na kwa sasa Tanzania hakuna chombo chenye menu ya kisheria kinachoweza kuwasaidia kuwaongoza. This is major defficiency and incompetence that leads to the demand of Kadhi court. <br />
<br />
Acheni zenu Tanzania sio ya wakristo pekee bali Waislamu, wahindu, wasio na dini, na kadhalika na moja ya fundamental right of a citizen is the right of justice sasa mnapowanyima watanzania right of justice mtajibu nini? Oneni mwanga kidogo badala ya kuganda katika ukungu wenu wa udini na ubaguzi na ukandamizaji otherwise iko siku waislamu watafikia kikomo na litakalotokea hakuna wa kulaumiwa.
<br />
<br />
mahakama ya kadh haina umuhmu hata ikiwepo % kubwa ya kes zitkazo pelekwa hko zitamalzwa kweny civil court.
 
Tusiwe na mtazamo finyu wana JF, Waislamu hawawezi kuunda mahakama ya kadhi bila kupata muafaka wa serikali na hasa wa kisheria kwa sababu tayari zipo sheria ambazo zinasimamia makosa ambayo mahakama ya kadhi inatakiwa kusimamia. kama mahakama ya kadhi itatokea kuhukumu kesi ambayo sheria ya nchi nayo inahukumu tofauti huoni kutakuwa na mkanganyiko wa maamuzi. Vilevile kuwepo kwa mahakama ya kadhi kutahitaji kubadilishwa/kurekebishwa kwa vifungu vya sheria za mirathi na ndoa ili waislamu zisiwaguse. Haitajuzu kwa muislamu mmoja kutawaliwa na sheria za nchi halafu na tena sheria za kiislamu. Tujadili kwa busara
 
Back
Top Bottom