Kwa mfano Ajira portal wametaja Bachelor degree in Biomedical Engineering lakini mimi nina Bachelor degree in biomedical and Electrical Engineering, je hapa system ya ajira itaweza kunikubalia?
Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Kati ya Bachelor Degree in Dental surgery na Doctor of medicine ipi kwa nyakati hizi inalipa sana na haisumbui katika upatiakanaji wa ajira.
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapopewa kazi na mtu mara kwa mara, siyo kwamba wewe ni mfanyaji kazi mzuri /gharama zako nafuu kuliko wengine, ila yawezekana umejenga uaminifu mkubwa katika kutimiza kazi zako. UAMINIFU & UTU ni vitu muhimu katika kazi yako. Nimejifunza wengi wanakosa hivyo vitu viwili.
Pongezi kwa vijana wa kike na Kiume wanao graduate msimu huu, hongereni sana , lakini niwaambie mjiandae pia kisaikolojia baada ya Sherehe kwisha Mtaani pagumu ndugu zanguni. Only ubunifu Ndio utawabakiza mjini mkiwa na tabasamu zetu, Ajira zimekua kama kaka kuona .Kila la kheri
Maisha ya mtaa yamenifundusha mengi zaidi ya chumba cha darasa kinachozalisha wanataaluma. Shukrani ziende kwa wanangu wote kitaa[emoji1363][emoji1363][emoji109]
Vipo vitu vingi vya kufanya, usipende kupoteza muda wako kwa kufanya kitu ambacho uwezi. Fanya kile unachoweza na ambacho unahisi kitakupa matokeo chanya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.