Kassimu Mchuchuri
Member
- Aug 9, 2018
- 95
- 293
Habari wanaJF,
Nina mdogo wangu anataka kuomba Bachelor degree mwaka huu wa masomo 2019/2020.
Malengo yake baada ya kuhitimu shahada yake sio kuajiriwa ni ajiajiri je?
Kati ya Bachelor in Information Technology na Bachelor in Marketing ipi inauwanja mpana katika kujiajiri hapa Bongo?
Asanteni
Nina mdogo wangu anataka kuomba Bachelor degree mwaka huu wa masomo 2019/2020.
Malengo yake baada ya kuhitimu shahada yake sio kuajiriwa ni ajiajiri je?
Kati ya Bachelor in Information Technology na Bachelor in Marketing ipi inauwanja mpana katika kujiajiri hapa Bongo?
Asanteni