moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,900
- 4,865
Wakuu,
Mdogo wangu mmoja ananiuliza, kuna kazi za TRA zimetangazwa ajira portal.
Anataka aombe lakini ameshindwa, system inamkatalia sababu yeye ana degree ya accountacy.
Lakini pia alisoma diploma ya accountancy.
Kazi iliyotangazwa inataka kigezo kiwe diploma ya accountancy, lakini sababu yeye ameweka vyeti vya diploma na degree ya uhasibu anaonekana ame-over qualify
Je, kuna uwezekano wa kufuta cha degree kwenye system kibaki cha diploma?
Maana sio fair, watu wana vigezo lakini wanaonekana over qualify.
Wataalamu karibuni.
Mdogo wangu mmoja ananiuliza, kuna kazi za TRA zimetangazwa ajira portal.
Anataka aombe lakini ameshindwa, system inamkatalia sababu yeye ana degree ya accountacy.
Lakini pia alisoma diploma ya accountancy.
Kazi iliyotangazwa inataka kigezo kiwe diploma ya accountancy, lakini sababu yeye ameweka vyeti vya diploma na degree ya uhasibu anaonekana ame-over qualify
Je, kuna uwezekano wa kufuta cha degree kwenye system kibaki cha diploma?
Maana sio fair, watu wana vigezo lakini wanaonekana over qualify.
Wataalamu karibuni.