Recent content by Kamilah

  1. K

    Faida na Hasara za Uwakala wa MaxMalipo na ButtonPay

    wapendwa wakati mkichambua faida na hasara, elezeni pia na process za kupata huo uwakala
  2. K

    Heaven on desert akiwa hotelin na boss wake

    table manner haipo, umma kushoto kisu kulia, hata kama ni mashoto inamaana wote wawili mashoto. Famous hata table manner haipo
  3. K

    Mnalipwa kiasi gani kuiharibia sifa Tanzania?

    ni lini tutapata viongozi waadilifu
  4. K

    Masogange na Melisa kuachiwa huru!!!!!!

    sio siri inakatisha tamaaa kabisa, eeh kweli madawa ya kulevya mtandao mkubwa
  5. K

    TRA waanza kuita: Ass/Accountant post

    mi pia nimetumiwa e mail simu sijapigiwa.
  6. K

    G4s vacancies

    hawana interview ngumu kabisa ni kawaida tu, ila make sure uko vizuri kwenye computer hasa excel
  7. K

    Hakuna 'Baraza Kivuli la Mawaziri' - Wassira

    Mbowe amezidi kuzihirisha kwamba chadema kuna watu makini
  8. K

    JK amemsimamisha Jairo kupisha uchunguzi wa Bunge - PINDA

    natamani kamati ya bunge mwenyekiti awe mama kilango
  9. K

    Madai ya Mengi: Polisi kujichunguza yenyewe?

    Mpango wa kwanza ilikuwa kumuwekea airport wakati anasafiri, mmoja kati ya vijana walioandaliwa akamtonya Mengi safari ikahahirishwa. Mpango wa pili ni kumuwekea kwenye gari huyo mtoto wa Mengi, Mengi akajulishwa mpaka mpango utakapokamilikia ambapo ni Slipway. So mengi akaanda watu wake...
  10. K

    Profile ya Kanumba... kaiandika mwenyewe

    kanumba ushauri wa bure kwako, kama ni lazima uwasiliane na watu kwa kiingereza tena kikiwa kwenye maandishi, baada ya kuandika kwanini usiwape watu wanaojua vizuri hiyo lugha wakusaidie kukurekebishia kuliko hii aibu unayopata. Inakuwa tabu kama ni lazima kuongea hapo huna ujanja hakuna wa...
  11. K

    Hotuba yangu jimboni Kigoma

    big up zitto, endelea kuwaburuza. sisi tunaofaidika ndio tunaokuelewa, wasiojua hawawezi kukuelewa milele. Big up. BY THE WAY MWANAKIJIJI nakuomba 2010 uingie mjengoni na wewe. ili mkasaidiane na zito kuwaburuza hawa wazee
  12. K

    UDSM Wametangaza Selection ya 2009-10

    wadau nisaidieni, nimeingia kwenye website ya tanzania commission of universities 'www.tcu.go.tz' ili kuona majina ya students selected in more than one institution 2009/10 sasa kwenye multiple selection line ambayo ipo kwenye format ya excel na pdf nime download haikubali kuanzia jana na leo...
  13. K

    UDSM Wametangaza Selection ya 2009-10

    mbona hamna majina ya waliokuwa selected
  14. K

    Dr. Mwakyembe arejea Bungeni

    nafurahi sana
Back
Top Bottom