kijana mgumu
Member
- Jan 26, 2013
- 48
- 15
:A S-fire1:
Me wadau nimepigiwa cm leo mida ya saa SITA mchana ila email walini2mia jana mchana. Kama kuna m2 mwenye taarifa ya paper zao jinsi zinavyokuwa a2julishe. Kingine idadi ya wanaohitajika, mwenye taarifa a2julishe maana kuna hbr mtaan kuwa zmetangazwa nafac 300 wengine wanadai 250 bac tabu 2pu.
:help:
Me wadau nimepigiwa cm leo mida ya saa SITA mchana ila email walini2mia jana mchana. Kama kuna m2 mwenye taarifa ya paper zao jinsi zinavyokuwa a2julishe. Kingine idadi ya wanaohitajika, mwenye taarifa a2julishe maana kuna hbr mtaan kuwa zmetangazwa nafac 300 wengine wanadai 250 bac tabu 2pu.
:help: