CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
Habari za asubuhi waungwana,
Katika kupambana na adui umaskini, nafikiria kuwa wakala wa MAXMALIPO au BUTTONPAY.
Ni faida/hasara gani naweza kupata nikiwa wakala wa moja kati ya Kampuni hizo???
Natanguliza shukrani
Katika kupambana na adui umaskini, nafikiria kuwa wakala wa MAXMALIPO au BUTTONPAY.
Ni faida/hasara gani naweza kupata nikiwa wakala wa moja kati ya Kampuni hizo???
Natanguliza shukrani