Recent content by kambale mweusi

  1. K

    Inside Considence: Utata juu ya kifo cha muigizaji Bruce Lee..

    Bruce Lee alikuwa mteja big time wa unga!!
  2. K

    TANZIA: Joel Bendera, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara, afariki dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili

    R. I. P baba Mkwe wangu kipenzi!!nitakukumbuka sana nashukuru kwa kunipatia mke mwema baba yangu
  3. K

    Mume anahitajika 36+

    Mi nko tayari nimekidhi vigezo vyote so nakupataje mama?
  4. K

    Hizi ndizo barabara kuu hatarishi Tanzania

    Mombo hadi Lushoto acha kabisa hiyo barabara
  5. K

    OFFER YA SAA NZURI -Maonesho ya syria Diamond Jublee

    Nataka curren 4411 ya silva mkanda wa chuma nitapata nijibu naw
  6. K

    Huyu hapa mume wa Irene Uwoya

    Lakini huyu si mke wa mtu?kwa hiyo jamaa kaoa mke wa mtu da!!!
  7. K

    Mohamed Hussein 'Mmachinga': Mbinu zinazotumiwa na Mayanga hazisaidii Taifa Stars.

    Mayanga hana chochote anatafuta cv tu kutokupoteza mechi imependeza zaidi kama angewaita angalau vijana sita ama Saba kutoka Serengeti boys then wapate uzoefu tutengeneze timu ya bdae ila kwa mwendo huu milele tutakuwa hapa hapa mfano hai waangalie cape Verde juzi tu hapa tulikuwa tunawaonea...
Back
Top Bottom