Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Mama aliyetoa kero kwa Rais Magufuli kuhusu wafanyabiashara kunyanyaswa na Manispaa ya Morogoro amezungumza na Mwananchi
Amemshukuru Rais Magufuli na kusema kiasi cha fedha alichopewa kilifikia 1,025,000 (milioni moja na elfu ishirini na tano)
Amesema fedha hizo alitumia kulipa kodi ya nyumba ambayo ilikuwa tayari imeisha na kulipa ada kwa watoto na kumhamisha mjukuu shule
Amemshukuru Rais Magufuli na kusema kiasi cha fedha alichopewa kilifikia 1,025,000 (milioni moja na elfu ishirini na tano)
Amesema fedha hizo alitumia kulipa kodi ya nyumba ambayo ilikuwa tayari imeisha na kulipa ada kwa watoto na kumhamisha mjukuu shule