Basi gani zikitoka Mwanza zinafika Dar bila kulala Morogoro?

Hizo ni taarifa nzuri kwa traffic police. Wataanza na hiyo Kisbo kwani itakuwa inahatarisha roho za watu kwenda peponi au motoni.
 
mleta mada jina lako na speed za hayo magari unayoulizia tuambie una agenda gani??? :D:D:D:D:D
Wakuu habari ya wakati huu.

Naomba kujua ni basi gani zikitoka mwanza zinaweza kufika Dar moja kwa moja bila kulala Morogoro maana nimeambiwa kwamba gari nyingi zinalala Morogoro.

Lakini pia nimeambiwa kama gari inafika Morogoro kabla ya sa 4 usiku hua zinaruhusiwa kuendelea na safari, naomba kujua ni basi gani zinaweza kufika Dar siku hyo hyo hata kama ni sa 8 usiku toka mwanza.

Ahsante.
 
03d58f2e4694c0b114da38ec119b44e5.jpg

Abood bus service
Mwanza-Dar (1152 km)
Scania F94_310HB
Marcopolo Andare G6
 
103c32babf77eaf5a5e4d95261e977dd.jpg

Dar Lux Co. Ltd
Dar Pwani Moro Dodoma Singida Shinyanga Mwanza Nyegezi(1152 km)
Higer
Cummins L325
T 912 DLF
Fare 50,000/= Full luxury,toilet,one by two seats
 
Ila hyo kisbo ni hatari asee,,niliwahi kuipanda mara 1 tu kutokea dom,,ile gari haikupitwa na gari hata 1 mpaka inaingia ubungo,jmaa alikua anaovertake mpaka ubungo maji
Dar- Mwanza basi
ilikua ni ALLYS BUS STAR
kwa sasa zime fungiwa gari zake haziji Dar na nyingi zilisha jifia nakumbuka 2012 niliingia mbezi saa2 usiku kutoka mwanza saa12:00 Asbh
hapana chezea wale Jamaa mpka gari kufungiwa sio mchezo uyo Kisbo alkua hata hajulikani nazani

Kisbo mkuu....ile company sijui wanatumia engine gan

Hio bus ya kuitwa Kisbo hio..weka mbali na watoto!

Kibo na kisbo mkuu darlux kimeo
 
Ukitaka kusafiri kwa aman bila presha...mwendo safi na unafika ubungo kabla ya sa sita usiku panda Zuberi au kisesa...hzi gar hazilali njiani...na mwndo ni friendly sana...achana na ksibo utavunja miguu

What's the difference? Kisbo saba usiku, Zuberi sita usiku. Ndio "mwendo friendly" huo?

Kamanda Sirro, na wenzako SUMATRA, leo mchana uligombezwa kama mtoto mdogo pale bandari kavu kwa kusubiri Rais avamie sehemu ndio mjue kuna tatizo.

Haya, mshaambiwa hapa kwenye ulinzi shirikishi wa JF, mabasi ya Kisbo, Darlux, Kibo, Kisesa, Zuberi etc. ni roho mkononi, hayazimi engine saa nne usiku. Usisubiri Magufuli avamie Ubungo saa saba usiku kubishana na madereva wa Kisbo. Fanya kazi yako, achana na siasa.
 
Wakuu habari ya wakati huu.

Naomba kujua ni basi gani zikitoka mwanza zinaweza kufika Dar moja kwa moja bila kulala Morogoro maana nimeambiwa kwamba gari nyingi zinalala Morogoro.

Lakini pia nimeambiwa kama gari inafika Morogoro kabla ya sa 4 usiku hua zinaruhusiwa kuendelea na safari, naomba kujua ni basi gani zinaweza kufika Dar siku hyo hyo hata kama ni sa 8 usiku toka mwanza.

Ahsante.

Update:
Ahsanteni kwa ushauri, nilifuata ushauri wenu wakuu, mgeni wangu kafika na gari ya Kisbo. Ahsanteni sana.
airbus
 
What's the difference? Kisbo saba usiku, Zuberi sita usiku. Ndio "mwendo friendly" huo?

Kamanda Sirro, na wenzako SUMATRA, leo mchana uligombezwa kama mtoto mdogo pale bandari kavu kwa kusubiri Rais avamie sehemu ndio mjue kuna tatizo.

Haya, mshaambiwa hapa kwenye ulinzi shirikishi wa JF, mabasi ya Kisbo, Darlux, Kibo, Kisesa, Zuberi etc. ni roho mkononi, hayazimi engine saa nne usiku. Usisubiri Magufuli avamie Ubungo saa saba usiku kubishana na madereva wa Kisbo. Fanya kazi yako, achana na siasa.
UKIOAMBIWA KITU JF LAZIMA UONGEZE NA YA KWAKO MKUU HAKUNA BASI INAYOACHA KULAALA MORO
 
Mission accomplished, Sumatra wameshakusanya 'data' zao kwa hisani ya wafukunyuku wa Jeiefu...

Hii ndio moja ya sababu Jeiefu haiwezi kufungwa na 'sirikali'...
 
Mission accomplished, Sumatra wameshakusanya 'data' zao kwa hisani ya wafukunyuku wa Jeiefu...

Hii ndio moja ya sababu Jeiefu haiwezi kufungwa na 'sirikali'...
Tutasikia karibuni zinafanyiwa figisu na kupigwa faini za kutosha

Mzima lakini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom