Bomoabomoa ya kufa mtu Dodoma inaendelea

Bomoabomoa ya kufa mtu Dodoma inaendelea

Tulioko Dodoma kuanzia jana tunashuhudia BOMOA BOMOA ya majengo eneo linalomilikiwa na reli
Bar ya Capetown
Kituo cha mabasi
Sheli ya total
Stendi ya mkoa
Nk
 
Huyu bwana kila sehemu anabomoa bomoa tu. Naanza kupata mashaka naye, isije ikawa kama mashariki ya kati, inabomolewa kwa vita na USA then kuijenga upya yanapewa tenda za ujenzi makampuni USA. Tusishangae kampuni ya Mayanga ikala tenda za hatari.. Nimewaza tu, the teh teh!!!!!!!
 
kama wamvunja sheria na taratibu na kuvamia maeneo ya reli na barabara hakuna jinsi wapishe tu.
 
IMG_20171203_120912.jpg
IMG_20171203_121012.jpg
IMG_20171203_121008.jpg
IMG_20171203_121004.jpg
IMG_20171203_121000.jpg
IMG_20171203_120923.jpg
IMG_20171203_120918.jpg
IMG_20171203_120912.jpg
 
Afisa wa Rahco hata kiswahilo kina mpa shida lahco leli
 
kuna ghorofa Fulani kwa chini kulikuwa na maliwato ya kulipia na lenyewe wamelibomoa?
 
Safi sana wabomoe kabisa hadi jengo la bungr maana halika kazib tena. Kila mtanzania makini anamuunga mkono na mguu mtukufu raisi wetu
 
Kanisa, Jamatini, General Hospital sijuii. Heee! kumbe nawaza kwa sauti mnisamehe bure
 
Back
Top Bottom