Mume anahitajika 36+

Naona x wako mliachana kwa ulevi wake,.. si ndiyo? basi siyo walevi wote ni wabaya mi hata kama sina hela ya kulewea mke wangu ananipa nikalewe maana nikiwa high huwa nampenda na nakuwa romantic kwake sana. bila kulewa hata kuongea ndani ya nyumba inakuwa shida basi anakuwa bored mpaka anadhamini nikapige mbili na nyagi ndogo basi nikishakunywa niambie hiyo spidi ninayomrudia sasa, utaipenda
Duh! Hii kiboko....kwamba no pombe no mapenzi motomoto
 
Kwa hiyo na wewe unakuwa romantic kwa msaada wa pombe?
ama kweli pombe si chai ila ni hitaji muhimu. Mwakani itabidi unipe hili darasa la kuwa romantic baada ya kunywa pombe
Acha kabisa unakua zaidi ya romantic hasa ukipata miksicha ya balimi na visichana viwili, alafu nimegundua pia hua natoa zawadi kwa kasi sana nikiwa high. Ndo maana napambana atoe hicho kigezo.
 
Acha kabisa unakua zaidi ya romantic hasa ukipata miksicha ya balimi na visichana viwili, alafu nimegundua pia hua natoa zawadi kwa kasi sana nikiwa high. Ndo maana napambana atoe hicho kigezo.
Bila shaka hivyo visichana ndo vinakufanya uwe romantic, usiwe unavinywa.
Hapo we kaa tu pembeni na mleta mada maana naona mmoja ni mpanda ngazi na mwingine ni mshuka ngazi hivyo hamuwezi kushikana mikono.
 
Habari wana JF,

Natafuta mume aliye tayari kuwa nami katika hali zote, mimi nina umri wa miaka 34, mwalimu wa shule moja ya sec mjini Mwanza.

Nilibahatika kuolewa lakini bahati mbaya nilitendwa vibaya na nikaamua kuachia ngazi, nina watoto wawili wa kike na ni mkristo.

Mume nimtakaye awe na sifa zifuatazo awe na miaka 36+, rangi yoyote, kabila lolote, dini mkristo, asiwe mnywa pombe wala mvuta sigara, ajue thamani ya mke na awe tayari kulea watoto wangu.

Mwenye uhitaji kama wangu karibu PM tuyajenge, astalavista..
Mi nipo tayali watoto c tatizo, pombe wala sigara situmii. Je utakubali kuwa mke wa pili?
 
Bila shaka hivyo visichana ndo vinakufanya uwe romantic, usiwe unavinywa.
Hapo we kaa tu pembeni na mleta mada maana naona mmoja ni mpanda ngazi na mwingine ni mshuka ngazi hivyo hamuwezi kushikana mikono.
Aisee sawa bhana, ila ajue anapishana na mume bora na aliye romantic kuliko wote duniani (akiwa amepata angalau balimi kadhaa)
 
Umeachwa kwa tabia zako mbaya

Nasikia mnaongoza kwenda kwa waganga
 
Mimi sifa ninazo ila nami ninao watoto 2 wa kike na kiume km upo tyr kulea wanangu njoo tuyajenge...
 
Habari wana JF,

Natafuta mume aliye tayari kuwa nami katika hali zote, mimi nina umri wa miaka 34, mwalimu wa shule moja ya sec mjini Mwanza.

Nilibahatika kuolewa lakini bahati mbaya nilitendwa vibaya na nikaamua kuachia ngazi, nina watoto wawili wa kike na ni mkristo.

Mume nimtakaye awe na sifa zifuatazo awe na miaka 36+, rangi yoyote, kabila lolote, dini mkristo, asiwe mnywa pombe wala mvuta sigara, ajue thamani ya mke na awe tayari kulea watoto wangu.

Mwenye uhitaji kama wangu karibu PM tuyajenge, astalavista..
Ok
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom