TANESCO tuambieni,Morogoro tangu saa mbili Leo asubuhi mpaka sasa saa tano na nusu hatuna umeme,ni shida?

Mathanzua

JF-Expert Member
Jan 4, 2017
15,839
20,685
Lipo hili dubwana linaloitwa TANESCO,I have terribly bad experience with it, sijui ni mimi tu,I don't know.From kudaiwa hata bolts,mabomba nk.wakati wa kuwekewa umeme,kulaliwa bila kupata concession yeyote huku nikiwa nimeweka transformer mwenyewe, kutowekewa metre ya luku ambayo nimelipia,kuchelewa kuunganishiwa umeme,kukatika katika kwa umeme bila maelezo yeyote,matengenezo kuchelewa kukiwa na shida,mechanical managers nk.nk.,the list is long.

Leo kwa bahati mbaya tatizo la muda mrefu na sugu la kukatika katika kwa umeme limejirudia,tena bila maelezo yeyote kama sheria inavyotaka.Umeme umekatika saa mbili leo asubuhi na mpaka sasa saa tano na nusu usiku,umeme haujarudi.Kwa bahati mbaya TANESCO ni wepesi sana kudai sheria zizingatiwe na wateja wao.Hata hivyo wao wanapotakiwa kuzingatia sheria na taratibu,huwa wagumu sana kufanya hivyo.Tunawaomba TANESCO wazingatie sheria na taratibu.Kunapokuwa na matatizo wawaarifu wateja wao promptly na kuwaomba radhi, ili ku- maintain mahusiano mazuri na wateja.Kwa mantiki hiyo tunawaomba TANESCO watupe maelezo kwa nini kumekuwa na katizo la umeme leo na watuombe radhi for the unconvinced caused by the lack of power.Muhaji please, come out of the closet and talk.
 
Huyo mkolomije kalemani kazi imeshamshinda kama aliyemteua lakini hawezi kufukuzwa kazi kutokana na kuwa mkolomije. Mbaguzi ndivyo alivyo!
 
Lipo hili dubwana linaloitwa TANESCO,I have terribly bad experience with it, sijui ni mimi tu,I don't know.From kudaiwa hata bolts,mabomba nk.wakati wa kuwekewa umeme,kulaliwa bila kupata concession yeyote huku nikiwa nimeweka transformer mwenyewe, kutowekewa metre ya luku ambayo nimelipia,kuchelewa kuunganishiwa umeme,kukatika katika kwa umeme bila maelezo yeyote,matengenezo kuchelewa kukiwa na shida,mechanical managers nk.nk.,the list is long.

Leo kwa bahati mbaya tatizo la muda mrefu na sugu la kukatika katika kwa umeme limejirudia,tena bila maelezo yeyote kama sheria inavyotaka.Umeme umekatika saa mbili leo asubuhi na mpaka sasa saa tano na nusu usiku,umeme haujarudi.Kwa bahati mbaya TANESCO ni wepesi sana kudai sheria zizingatiwe na wateja wao.Hata hivyo wao wanapotakiwa kuzingatia sheria na taratibu,huwa wagumu sana kufanya hivyo.Tunawaomba TANESCO wazingatie sheria na taratibu.Kunapokuwa na matatizo wawaarifu wateja wao promptly na kuwaomba radhi, ili ku- maintain mahusiano mazuri na wateja.Kwa mantiki hiyo tunawaomba TANESCO watupe maelezo kwa nini kumekuwa na katizo la umeme leo na watuombe radhi for the unconvinced caused by the lack of power.



Sidhani kama Tanesco wana Regional Manager, kama yupo basi yupo usingizi wa pono, nilitarajia Regional manager awe ni mtu anayepitia taarifa zote zilizowasiliswa ofisini kwake kupitia simu ya dharura na kuzifanyia kazi. Nina ndugu zangu pamoja na jirani zake wametoa taarifa Tanesco zaidi ya miezi mitatu kila wiki wakilalamikia nguzo ya umeme inataka kuanguka na waya za umeme zimeteoeta kiasi cha mtu kuzikamata akiwa chini lakini hakuna hatua imechukuliwa, kinachofanyika mafundi wanakwenda na land cruiser wanatazama wanaondoka, wakiulizwa mbona nguzo hairekebishwi wanajibu "mbona haijaanguka"
 
Sidhani kama Tanesco wana Regional Manager, kama yupo basi yupo usingizi wa pono, nilitarajia Regional manager awe ni mtu anayepitia taarifa zote zilizowasiliswa ofisini kwake kupitia simu ya dharura na kuzifanyia kazi. Nina ndugu zangu pamoja na jirani zake wametoa taarifa Tanesco zaidi ya miezi mitatu kila wiki wakilalamikia nguzo ya umeme inataka kuanguka na waya za umeme zimeteoeta kiasi cha mtu kuzikamata akiwa chini lakini hakuna hatua imechukuliwa, kinachofanyika mafundi wanakwenda na land cruiser wanatazama wanaondoka, wakiulizwa mbona nguzo hairekebishwi wanajibu "mbona haijaanguka"
Aisee tuna kazi.Mimi huwa nawaona managers wa TANESCO kuwa ni very robotic,sijui huwa wanapata wapi training.Lugha zao sio entrepreneurial kabisa and they do not seem to use their common sense.Mabadiliko makubwa yanahitajika TANESCO,this business as usual attitude ndiyo imeliua shirika hili.
 
Vumilieni tu maana mliambiwa mtaishi kama mashetani mkashangilia sana!
Dah,mkuu mkuu hapa umekwenda mbali.Nadhani walioambiwa wataishi kama mashetani ni mafisadi nk.,sasa mimi ni Mtanzania mwema na mzalendo,kwa nini niishi kama Shetani?
 
Tegeta umekatika sasa hv!!si waziri alisema hautakatika tena
Tumeshazoea ahadi za watendaji wetu za namna hiyo ambazo ni uncalculated, irrational,unrealistic and unimplementable.Ni bora wakabadilika.Mimi hua nikimsikia kiongozi anatoa ahadi zisizotekelezeka huwa inanikera sana.It indicates how unconcerned he is to the plight of those he is leading.
 
Huyo mkolomije kalemani kazi imeshamshinda kama aliyemteua lakini hawezi kufukuzwa kazi kutokana na kuwa mkolomije. Mbaguzi ndivyo alivyo!
Mkuu nadhani umepeleka mada mahali ambapo hapakukusudiwa.Wizara ya Nishati iko chini ya Kalemani kwa hiyo tungeishia hapo.Anyway,ila ni kweli Kalemani hajaleta mabadiliko yeyote chanya TANESCO,it seems to be business as usual.In short kazi imemshinda kama ulivyosema.
 
Back
Top Bottom