Inside Considence: Utata juu ya kifo cha muigizaji Bruce Lee..

Inside Considence: Utata juu ya kifo cha muigizaji Bruce Lee..

Da'Vinci ameonesha ukomavu mkubwa ambao si vema nikaupuuzia. I tried to tease him up there but amejibu kwa utulivu sana. Kumbe JF BILA MATUSI inawekana.i wish ngekuwa na muda nielezee kwa kina what happened kuhusiana na kifo cha bluce lee na baadaye brandon lee. Lakini nina majukumu ya kujenga taifa hapa natumia muda huu kipindi cha matangazo ....baada ya dk chache narud tena kwenye game mpaka mida ya wanga. Nitarudi nikimaliza kupiga show....
 
Hapa umekosea. Nlishakusifia kuwa you are calm unapochokozwa. Kwenye threads lazima ujue wapo watu mbalimbali. Yu just ignore them.

Dadaa pedi ishaanza kulowa damu badirisha nyingine
 
Inasemekana kutokana na speed ya Bruce Lee ilibidi baadhi ya scene arudie ili camera ziweze kupata tukio! Hii ilitokana na technology kuwa chini. Pia Bruce kwa kupenda real challenge alikuwa anatafuta mabingwa wa mapigano ambao wangeweza kumpa challenge ya kweli ( si kuigiza tu) na alitafuta kila aliposikia kuna nchi ina wakali kisawasawa....imagine filamu za Bruce zimerekodiwa early 70s na late 60s lakini hadi leo huoni mpinzani kwa hawa wanaosaidiwa na technology. Mimi ninazo filamu zake zote na kila nikiboreka lazima niziangalie hadi my first born anazijua kama wimbo wa Taifa!
 
Sometime inabidi uende na jinsi mfundo wa ngoma ulivyo..
Hapa umekosea. Nlishakusifia kuwa you are calm unapochokozwa. Kwenye threads lazima ujue wapo watu mbalimbali. Yu just ignore them.
 
Hahaaaaa
Ndio maana nilikutag, Ukimaliza show za panga boy uje utuuzie chai jinsi show ilivyo enda..

BTW.
Ahsante sana mkuu hakuna asiependa kuheshimu na kuheshimiwa..SALUTE.
Da'Vinci ameonesha ukomavu mkubwa ambao si vema nikaupuuzia. I tried to tease him up there but amejibu kwa utulivu sana. Kumbe JF BILA MATUSI inawekana.i wish ngekuwa na muda nielezee kwa kina what happened kuhusiana na kifo cha bluce lee na baadaye brandon lee. Lakini nina majukumu ya kujenga taifa hapa natumia muda huu kipindi cha matangazo ....baada ya dk chache narud tena kwenye game mpaka mida ya wanga. Nitarudi nikimaliza kupiga show....
 
Bba yangu alikua hajategemewa kuzali mimi 🙂🙂
aisee,kumbe ile miaka yetu ya 90 wakati sinema zake ndo zinatamba huyu jamaa walishamzika tayari?

Inaonekana hata wadau wakubwa wa sinema wakati huo hii taarifa ilichelewa kuwafikia...maana siku zote niliamini bruce lee alifariki wakati nishazaliwa tena alifariki ama mwishoni mwa miaka ya 90 au mwanzoni mwa miaka ya 2000! 1973 hata dalili ya kuzaliwa sina duh...

Lufufu mbona alikuwa hatupi hizi update? kumbe wakati wetu ilikuwa tunamuenzi tu kwa kuangalia kazi zake!
 
Wazee wa China hawakutaka atoe siri yao ya mapigano
o Kifo chake ni utata kinahusishwa na nadharia nyingi.
o Alikufa Julai 20, 1973
 
aisee,kumbe ile miaka yetu ya 90 wakati sinema zake ndo zinatamba huyu jamaa walishamzika tayari?

Inaonekana hata wadau wakubwa wa sinema wakati huo hii taarifa ilichelewa kuwafikia...maana siku zote niliamini bruce lee alifariki wakati nishazaliwa tena alifariki ama mwishoni mwa miaka ya 90 au mwanzoni mwa miaka ya 2000! 1973 hata dalili ya kuzaliwa sina duh...

Lufufu mbona alikuwa hatupi hizi update? kumbe wakati wetu ilikuwa tunamuenzi tu kwa kuangalia kazi zake!
kipindi movie kwenye mikanda sio cd,wala internet ni mpaka zipande meli[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mleta mada inawezekana ukawa ni mzaramo. Sababu ni kwamba mtu maarufu akifa hata kwa maleria basi kalogwa.

Bruce lee kafa kifo cha kawaida tu.
 
Inasemekana kutokana na speed ya Bruce Lee ilibidi baadhi ya scene arudie ili camera ziweze kupata tukio! Hii ilitokana na technology kuwa chini. Pia Bruce kwa kupenda real challenge alikuwa anatafuta mabingwa wa mapigano ambao wangeweza kumpa challenge ya kweli ( si kuigiza tu) na alitafuta kila aliposikia kuna nchi ina wakali kisawasawa....imagine filamu za Bruce zimerekodiwa early 70s na late 60s lakini hadi leo huoni mpinzani kwa hawa wanaosaidiwa na technology. Mimi ninazo filamu zake zote na kila nikiboreka lazima niziangalie hadi my first born anazijua kama wimbo wa Taifa!
Unazo ktk Quality gani? Km HD unisaidie na mm mkuu
 
Bba yangu alikua hajategemewa kuzali mimi 🙂🙂
nlichogundua watz wengi km sio wote kbs,wameanza kumjua bruce kuanzia late 80s-90s,huku wakiwa hawajui kbs km huyo mtu alishafariki toka early 70s...maana historically miaka hiyo sidhani km watz waliokuwa wanamiliki tv na deki walizidi 5 (km na wenyewe walikuwepo)
 
Back
Top Bottom