nyamurujustine
Member
- May 29, 2017
- 37
- 13
Lowasa kabanwa kwenye vitega uchumi wake angefanyaje km c kujisalimisha na kupiga magoti ya msamaha? Ili aendelee kusainiwa safari za nje na posho za ustaafu kisiasa kafeli na hatawahi kuwa mgombea urais kupitia Chama chochote hapa duniani na kuzimu amekwisha atabaki stori mwacheni aende zake