Hatujui kwa kweli, inawezekana amefichwa, au aliuawa, mnakumbuka mmoja alikuwa anasema ukweli, jina lake Rashid Lema, ghafla akapatwa na ugonjwa wa ngozi kuputika hadi akafariki kabla hajatoa ushahidi wake
Watu ambao wangekutwa na hatia moja kwa moja ni yule aliyetoa amri na alitekeleza. hao wengine wangeshtakiwa kwa makosa ya kuficha mauaji, aliyetelezwa alitoroka na hadi leo hajapatikana, nao ni utata mtupu.
Kosa lililofanywa hapa ni shtaka alilofunguliwa zombe, nafikiri waliamua kumsaidia , maana wanajua hakuwa eneo la tukio, sio rahisi kupatikana na hatia ya mauaji, wangetaka atiwe hatiani wangemfungulia shtaka la kuficha wahalifu tokea mwanzo na hoja zao wangezipeleka huko, hakika angetiwa...
Sanamu ni sanaa na maandiko ni sanaa, yote yanabeba ujumbe , kwa hiyo mtu anayeshika biblia ambayo ni karatasi na wino akasoma anapata ujumbe, lakini pia anayeona picha au sanamu nae anapata ujumbe, kinachotakiwa ni mtu kupata ujumbe na kuamini na sio kuamini au kuabudu media iliyotumika...
Nilikuwa A level , MUDA WA SAA 4 TULIKUWA MAPUMZIKONI, TUKAWA TUNASISKILIZA REDIO , LIKATOLEWA TANGAZO RAIS ATAONGEA, KISHA WIMBO WA TAIFA, NDIPO RAIS ALIPOTANGAZA, TULISHTUSHWA SANA.
Hao wananchi pia ni wana ccm, mgogoro uliopo ni kuwa madawati yametengenezwa kwa ushirikiano , wananchi walitoa mbao , na huyo kiongozi akalipia ufundi, sasa aliweka nembo ya kampuni yake kuwa ndiyo imetoa msaada, wananachi wakagoma na kuamua kutengeneza madawati mengine wao wenyewe, na...
Hivi kwanini kila jambo linajadiliwa kisiasa, tuache siasa. ukweli ni kwamba biashara ya ndege ni ngumu sana kwakuwa kampuni inahitaji kuwa na watumishi ww kutosha na wenye ujuzi ambao wanalipwa mshahara kila mwezi , lakini hakuna uhakika wa wateja ni mdogo, hapa nchini ni watu wachache sana...
Shida ni kuwa utangazaji na uandishi hauna taaluma, watu wa mipasho , wachekeshaji , watukanaji wote wanaruhusiwa, huyo apewe adhabu kali, hakuna namna
Kuna mjapani alijenga hoja kuwa tunawezaje kujenga uzalendo kwa taifa bila ya kuwa na uzalendo kwa kijiji chako, kata yako , wilaya na mkoa wako? hili nalo linafikirisha, hapa hakumaanisha ukabila ila pale unapoishi, tujitolee kuendeleza maeneo yetu na tujivunia na kushindana na maeneo mengine ...
Mkuu sio wafanyakazi wa umma tu, hata wasio wafanyakazi wa umma wanahusika tena sana, hizo kampuni utakuta zina watumishi wengi tu watanzania , lakini wanashiriki kuiumiza nchi yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.