Recent content by KAMANDA MKUBWA

  1. K

    Siri nzito ya Zombe na Bageni

    Hatujui kwa kweli, inawezekana amefichwa, au aliuawa, mnakumbuka mmoja alikuwa anasema ukweli, jina lake Rashid Lema, ghafla akapatwa na ugonjwa wa ngozi kuputika hadi akafariki kabla hajatoa ushahidi wake
  2. K

    Siri nzito ya Zombe na Bageni

    Watu ambao wangekutwa na hatia moja kwa moja ni yule aliyetoa amri na alitekeleza. hao wengine wangeshtakiwa kwa makosa ya kuficha mauaji, aliyetelezwa alitoroka na hadi leo hajapatikana, nao ni utata mtupu.
  3. K

    Siri nzito ya Zombe na Bageni

    Kosa lililofanywa hapa ni shtaka alilofunguliwa zombe, nafikiri waliamua kumsaidia , maana wanajua hakuwa eneo la tukio, sio rahisi kupatikana na hatia ya mauaji, wangetaka atiwe hatiani wangemfungulia shtaka la kuficha wahalifu tokea mwanzo na hoja zao wangezipeleka huko, hakika angetiwa...
  4. K

    Vigezo gani hutumika kumuita mtu Mtakatifu?

    Sanamu ni sanaa na maandiko ni sanaa, yote yanabeba ujumbe , kwa hiyo mtu anayeshika biblia ambayo ni karatasi na wino akasoma anapata ujumbe, lakini pia anayeona picha au sanamu nae anapata ujumbe, kinachotakiwa ni mtu kupata ujumbe na kuamini na sio kuamini au kuabudu media iliyotumika...
  5. K

    Baada ya kutangazwa kifo cha J.K. Nyerere mwaka 1999, ulifanya nini (first reaction)?

    Nilikuwa A level , MUDA WA SAA 4 TULIKUWA MAPUMZIKONI, TUKAWA TUNASISKILIZA REDIO , LIKATOLEWA TANGAZO RAIS ATAONGEA, KISHA WIMBO WA TAIFA, NDIPO RAIS ALIPOTANGAZA, TULISHTUSHWA SANA.
  6. K

    Wanawake huwa mnapatwaga na ibilisi gani?

    Pole sana kijana, jikaze songa mbele. Vijana wengine kuweni makini msiwekeze sana kwa watu wasiojitambua. Pole, usikate tamaa, sahau songa mbele.
  7. K

    Luhwavi, Membe na Lukuvi, mnayopanga Gizani ili Magufuli asiwe Mwenyekiti wa CCM yawekwa Hadharani

    Wewe lizaboni una ushahidi gani, au umeamua kuwapaka matope usiowapenda? hujatoa uhahidi wowote inaonekana unawafitisha watu
  8. K

    Wananchi wa Rungwe mkoani Mbeya wakataa madawati baada ya kubaini yametolewa na mtu wa CCM

    Hao wananchi pia ni wana ccm, mgogoro uliopo ni kuwa madawati yametengenezwa kwa ushirikiano , wananchi walitoa mbao , na huyo kiongozi akalipia ufundi, sasa aliweka nembo ya kampuni yake kuwa ndiyo imetoa msaada, wananachi wakagoma na kuamua kutengeneza madawati mengine wao wenyewe, na...
  9. K

    Division 1 na 2 tu kwenda degree? Mbona kazi ipo

    Ikiwa hivyo ni vizuri , madogo wakazane kusoma sio kupiga misele tu.
  10. K

    Hizi ndio ndege za Magufuli

    Hivi kwanini kila jambo linajadiliwa kisiasa, tuache siasa. ukweli ni kwamba biashara ya ndege ni ngumu sana kwakuwa kampuni inahitaji kuwa na watumishi ww kutosha na wenye ujuzi ambao wanalipwa mshahara kila mwezi , lakini hakuna uhakika wa wateja ni mdogo, hapa nchini ni watu wachache sana...
  11. K

    Kosa moja linaposahaulisha mazuri 100 uliyoyafanya: Mkasa uliomkuta Zamaradi

    Shida ni kuwa utangazaji na uandishi hauna taaluma, watu wa mipasho , wachekeshaji , watukanaji wote wanaruhusiwa, huyo apewe adhabu kali, hakuna namna
  12. K

    Gwajima mgonjwa, kesi yake yapigwa kalenda

    Sio akiombewa , akijiombea . wakati ule alijiamuru kuamka kwenye wheel chair , ghafla akaamka na kuanza kutembea.
  13. K

    Arusha halisi ilivyo na watu wake

    Kuna mjapani alijenga hoja kuwa tunawezaje kujenga uzalendo kwa taifa bila ya kuwa na uzalendo kwa kijiji chako, kata yako , wilaya na mkoa wako? hili nalo linafikirisha, hapa hakumaanisha ukabila ila pale unapoishi, tujitolee kuendeleza maeneo yetu na tujivunia na kushindana na maeneo mengine ...
  14. K

    USHUHUDA: Hivi ndivyo mafuta yanavyoibiwa Bandarini Dar...

    Mkuu sio wafanyakazi wa umma tu, hata wasio wafanyakazi wa umma wanahusika tena sana, hizo kampuni utakuta zina watumishi wengi tu watanzania , lakini wanashiriki kuiumiza nchi yao
Back
Top Bottom