Mwanamalundi
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,125
- 1,432
PURELY PRIVATE BUSINESS. HAYATUHUSU KABISA.
Kwa kifupi nimecheka sana....eti 'waliendelea zaidi kumtesa hata kwenye suala la mapenzi kupitia kada wake ndugu sadifa..'
Njoo nikufundishe kuumba herufi....Hahahaha daah kuna watu mnajua kuandika aisee
Wee basi nakuja chapchapNjoo nikufundishe kuumba herufi....
Tena uje without kabisa..... hakuna kupoteza muda wallahWee basi nakuja chapchap
On my way...Tena uje without kabisa..... hakuna kupoteza muda wallah
Eagerly waiting.... with lots of love. Yani nshakamata penseli na kifutio chapchap sana....On my way...
Hahaha mwehu weweEagerly waiting.... with lots of love. Yani nshakamata penseli na kifutio chapchap sana....
Ni makosa sana kumtukana mwalimu wako. Hakika utashindwa kuumba herufi. Ukijakosa ajira usimlaumu mwalimu wako mwemaHahaha mwehu wewe
Mwalimu amu vere sorry, naongeza speed hapaNi makosa sana kumtukana mwalimu wako. Hakika utashindwa kuumba herufi. Ukijakosa ajira usimlaumu mwalimu wako mwema
Nami naongeza kuchochea vifaa vya ufunishaji....Mwalimu amu vere sorry, naongeza speed hapa
Unapenda sana umbeyaNimekuja mbio mbio hivo
hahaaaaaaa anakosea saana kuingiza chama na mapenziMtoa mada punguza chumvi...kwani anaolewa na chama au mtu?