Utotole
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,604
- 4,259
Yeah, kiasi chake.mkuu kumbe wewe ni wa zamani kidogo
Yeah, kiasi chake.mkuu kumbe wewe ni wa zamani kidogo
mkuu Wa nyamadyaki na Honey Faith kwa hiyo ilikuwa hata ukisikia mtu karusha jiwe juu ya bati unahisi kama ndio hao wamefika tayari.....teh teh teh teh teh teh tehMimi nilivyosikia tu nikakimbia toka shule kurudi nyumbani na cha kwanza kupanga nguo zangu kwenye mfuko wa kwechekweche na kuamini kuwa ndio mwisho wa tanzania na mzee ataondoka na nchi yake soon so nikawa nasikilizia inze kuondoka tu nikimbie kusikojulikana.
Utoto bhna yaani sijui hata nilikuwa na mawazo ya namna gani
poa poa kakaJust kidding. Nilikuwa chuo mwaka wa kwanza na kulikuwa na masomo magumu mno ambayo yalikuwa yakitishia sana amani yetu. Hapakuwa na nafasi ya kustarehe wala ku-miss starehe. Kifupi mwaka huo colleagues wengi walikimbia shule baada ya kuona hali ni mbaya. Ndiyo maana nikaita hali hiyo "terrorism" maana kiuhalisia, we lived in "terror" those days.
yaani nimecheka maana ulikuwa unafikiria exactly kama mimi ila mi sikumuuliza mwalimu ila nilijua lazima zitakuwepo siku za maombolezo kwa hiyo hatutaenda shuleNilienda kumuuliza mwalimu tutafunga shule wiki ngapi!
Quite frankly naichukia sanaa ccm,na yeye nyerere kama mwanzilishi wa hicho chama,look at the misery and sufferings of the Tanzanian people incurred under the rule of this party.it was Nyerere's ideologies that brought the economy to the total shambles,the poverty,lack of education,lack of infrastructure,no water and sanitation and the list goes on.so I.put a blame on this individualweird? why?
upo sahihi sanaQuite frankly naichukia sanaa ccm,na yeye nyerere kama mwanzilishi wa hicho chama,look at the misery and sufferings of the Tanzanian people incurred under the rule of this party.it was Nyerere's ideologies that brought the economy to the total shambles,the poverty,lack of education,lack of infrastructure,no water and sanitation and the list goes on.so I.put a blame on this individual
mkuu hii habari ilitangazwa saa kumi jionidaah!!! niko standard two hapo ...najiandaa kwenda shule saa nne,
am curious to know more abt u The Boss, yan wengine kipind icho tuko primary wewe unaangalia CNN kweli JFKifo cha Nyerere kilileta na kukata disco mwezi mzima
na TV zilikuwa hazitangazi chochote kingine zaidi ya msiba
kifo cha Nyerere kinamna fulani ndo 'kilianzisha' bongo fleva
watu waliboreka mno na nyimbo za huzzuni ikawa ruhusa kwa kila msaniikutunga nyimbo yake kwenda kwenye tv na redio
ndo kina Jaydee wakaibukia pia...na wengine....
kabla ya hapo hakukuwa na nguvu sana kwa mziki wa bongo fleva...
binafsi walinifurahisha Club Bilicanas.....wao walijifanya kuna 'Tamasha la kumkumbuka baba wa Taifa'
hapo ikawa fursa ya watu kula debe siku hiyo baada ya kukosa burudani karibu mwezi mzima....
mimi nilipata mateso ya kuikosa CNN kupitia CTN kwa mwezi mzima
hapana umesahau mkuu, ilikuwa saa nne na robo asubuhi.mkuu hii habari ilitangazwa saa kumi jioni
inawezekana lakini mkuu muda umepita sana tangu tukio litokee....hapana umesahau mkuu, ilikuwa saa nne na robo asubuhi.
yaaah mkuu me nakumbuka sana , maana tukio lile lilisababisha miye nisiende shule,inawezekana lakini mkuu muda umepita sana tangu tukio litokee....
am curious to know more abt u The Boss, yan wengine kipind icho tuko primary wewe unaangalia CNN kweli JF
Yuko sahihi mkuu ilikuwa yapata saa nne hiviinawezekana lakini mkuu muda umepita sana tangu tukio litokee....
Kweli mshana jr siku BBC walipomhoji makongoro akasema watanzania tujiandae na msiba, then kawawa akarudi toka uingereza magazeti yakaandika simba wa Vita arudi na kitu kizito moyoni, uwanja wa taifa ukaanza kupakwa rangi, na nyumba yake msasani ikafanyiwa ukarabati wa dharura, mtu yeyote mzima na Akili zako hujiulizi mara mbili mbiliNaomba niongee ukweli kwenye hili binafsi sikushtuka kwakuwa nilishajua wiki moja kabla kwamba mzee mchonga hatunaye tena
we jamaa umenifurahisha sanaMimi nilivyosikia tu nikakimbia toka shule kurudi nyumbani na cha kwanza kupanga nguo zangu kwenye mfuko wa kwechekweche na kuamini kuwa ndio mwisho wa tanzania na mzee ataondoka na nchi yake soon so nikawa nasikilizia inze kuondoka tu nikimbie kusikojulikana.
Utoto bhna yaani sijui hata nilikuwa na mawazo ya namna gani