twa twa twa na safari nimewaPM hapo ili tusaidiane kidogo... Kaka Eli samahani kwa kuvamia jukwaa lako...
Araway nimeshachukua namba hiyo ngoja nimtafute...
Serikali imepania kutunga sheria ya maandamano. Mimi hoja yangu si kujadili sheria hii mpya ambayo wanaJF mlishaijadili.
Mimi nawasilisha hoja mpya au kifungu kidogo cha hoja.
Huu ni wakati muhimu wa kudhibiti mauaji katika maandamano. Kama kweli muswada utafanikiwa kupelekwa bungeni basi...
BAE nao pia ni wezi tuu kama our tainted tz gov.
Mi nadhani kama wanataka kuwapa NGO then fedha wapewe serikali ya uingereza halafu wao ndio waratibu huo ugawaji.
La sivyo kwa hiyo E-mail BAE systems wanaenda Bar kunywa vodka kazi ishaisha.. mkono huu unatoa halafu unapokea na mwingine.
Basi
BAE nao pia ni wezi tuu kama our tainted tz gov.
Mi nadhani kama wanataka kuwapa NGO then fedha wapewe serikali ya uingereza halafu wao ndio waratibu huo ugawaji.
La sivyo kwa hiyo E-mail BAE systems wanaenda Bar kunywa vodka kazi ishaisha.. mkono huu unatoa halafu unapokea na mwingine.
Basi
SLAA level ya raisi yule na zaidi... kumlipa mshahara kama mbunge wa kawaida ni kumdhalilisha kabisa... Apewe posho za maana azunguke nchi nzima ili magamba yawe rehani 2015... Naomba Slaa apewe zaidi mahela ili magamba yawekwe rehani zaidi na zaidi...
Hakuna kitu kama hicho... ILANI YA CHADEMA 2005 Ndio imeeleza kufutwa kwa posho japo haikupewa kipaombele kama mwanzo...
Halafu nimeona Eliesikia ndugu yangu kawa banned kwa kuongea ukweli kuhu Achebe...Nitarudi
Hivi huu upupu kaleta nani tena hapa... Maaa weee hebu toa uchafu huo... NonSense...
Hivi msomi kabisa unakaa chini na kukataa taratibua za kudai Katiba mpaya yenye sheria mpya za vyama vingi???? NonSense
Kama kuna mtu kabisa kafaulu form 6 bila kuiba mtihani??? Maana vijana wa siku hizi...
Hahahaaa hoja yako kwa wansaikolojia tunaita so objective.. Yaani woga wa kimaendeleo... Unadhani itawakost kama wakisepa mkutano sio na JK... Lakini tutambue kuwa katiba ya nchi inamtambua raisi aliyechaguliwa na wananchi vinginevyo siye.... kwa hiyo CHADEMA wanaamini JK aliiba kwa hiyo kama...
Kuasha mwanangu... Kafulila ni sisimizi.. Kule Kigoma NCCR inakubalika zaidi ya CHADEMA toka 2000 na 2005 sio tatizio.. Kuhusu Mhe. Zitto sio kweli kwa kuwa hata CHADEMA kiliwasaidia vijana wengi kugombea Zitto akiwa mmojawapo tena chini ya Mhe. Mbowe...
Ni juzi tuu Zitto kaomba msamaha kuhusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.