Kila LA HERI JPM. Tumechezewa sana kama hao wajerumani walikuwa na wazo LA kutatua shida ya UMEME wangefangefanya hivyo kwani. Walifika na kututàwala mwaka 1884 hadi 1918 miaka 34,Leo hii ndoo wanakumbuka UMEME WA gesi.UMEME WA rufiji utajengwa na huo WA gesi tutajenga pia. VIVA Wajamaa WA Tanzania
Hawa wazungu wababaishaji tu.wskati nchi inapata shida ya UMEME miaka ya karibuni binge lao halikukaa kutushsuri kujenga mfumo WA mkubwa WA UMEME WA gesi.Leo tunataka kuzalisha meg 2100 wanatoa mswazo .pigs chini mawazo yao .UMEME WA rufiji mbele kwa mbele TZ oyee
Wanawake na wanaume ni viumbe WA ajabu.huenda tatizo likawa kwako na ukalihamishia kwa mwenza wako.nenda hospitali onana na wataalanu bobezi kujua kiini cha shida yenu kwa uwili wenu.
Mwanzo mzuri unapokuwa na vyanzo vya umeme na uwezo mkubwa.uhakika WS power inaboreshwa zaidi. Tupo tutaona mengi na kufaidi. Haya ulaya walienda kwa hatua hizi hizi
Marekani vamizi siyo ile ya enzi za akina Noriega WA panama au sadaam hussein au Gaddafi. Ndani ya Venezuela pamoja na upinzani uliopo bado na muundo WA utawala wa maduro kuwezesha uvamizi WA ghafula ni mdogo sana na ikitokea tutegemee vita ya muda mlefu kitu ambacho USA haitaki maana Hata...
Sasa hivi tunaongelea Afrika kuungana na kuwa kitu kimoja.binafsi kadri nchi zinavyoomba kujiunga ni busara kuzingatia vipengere muhimu vya kuufanya au kuidumisha jumuhia hiyo idumu.hizi nchi za Kiafrika zinahitaji umoja kwenye nguvu na haki ndipo tutakapoweza kupambana kiuchumi na mataifa yenye...
Ukabila huo hautufikishi kokote kule Mimi nilidhani tutapewa orodha ya maprofesa WA TZ vs Kenya au Uganda.ebu tuongelee U TZ zaidi .ukiwa profeasa Mhaya au mkinga kiwe nini? Acha hizo za umimi.
Unamwachisha kazi? hapana ungeanza biashara kwanza huku akiendelea na kazi then utaona nini kinafaa.biashara ya nafaka. Au uwakala WA miamala ya fedha mbalimbali.au internet cafe nk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.