Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 746
- 3,058
- Thread starter
- #21
Wahaya hatuna mambo ya jando, wala hatuhitaji kufundishwa namna ya kuishi na mwanamke.Ulipitia jandoni? Umekosa mafunzo ya jinsi ya kuishi na jinsia ya kike kwenye ndoa.
Nenda kwa kungwi wa mkeo umueleze haya.
Kuhusu kungwi wala sijui kama ana msaada na sijui kama wamasai wanapita unyagoni.
Sent using Jamii Forums mobile app