Kumbe ndivyo hivyo mi nilonelea kwa utawla huu bora nchi ingejigawa tu, ianzie hapo hapo TABORA na kuelekea juu kaskazi na mikoa yake ingekua inchi na kusini mwa TABORA pia ingekua inchi maana sis watu wa pwani hatutaki shida.
Fanya biashara tu mkuu Canada utakayoipata ndio usomee kwa badae ili kuongeza maarfa ila usisome ukategemea ajira itakula kwako wenzako yupo tu kutwa kwenye mbao za matangazo kuangalia ajira.
Hiyo namba isevu pia hiyo sauti kaiweke kwenye CD kama kumbukumbu ikiwa ovyo itakua ushaidi pia nenda kafungue taarifa Polisi dhidi ya vitisho report book(RB)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.