kaburi jeusi
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 258
- 147
Fanya biashara tu mkuu Canada utakayoipata ndio usomee kwa badae ili kuongeza maarfa ila usisome ukategemea ajira itakula kwako wenzako yupo tu kutwa kwenye mbao za matangazo kuangalia ajira.
Umenichekesha sna sijawah kusikia neno "Unazi" ndo nimesikia kwako, hapa nspata mawazo kwa walionitangulia kwaiyo akili kichwan mwangu mkuu.Ahsante sana Mama.
Wakati mwingine inabidi utafute majibu katika Biblia kwakuwa imejitosheleza kwa jibu la suala lako.Huku jamii forums unaweza kupotea kwakuwa kuna wimbi la watoto wengi wenye Matusi,Kejeli,Unazi nk.Siyo kama Jambo forums ya kipindi kile na baadaye Jamii forums ya miaka ya 2008 hadi katikati mwa 2014.Now 2017 si salama tena.Barikiwa sana
Nionavyo mm, hana maana ya kusoma ili niajiliwe ila anataka niwe na ufaham zaidi, endapo itatokea case yoyote niweze kuisimamia vzr. Maana watu wanaajiliwa ili wapate pesa ila kwangu pesa sio tatizo, tatizo niwe na ueleawa mpana wa kun'gamua mambo.
Elimu ni investment kubwa sana iwapo utasoma na kuelimika. Hata hivyo iwapo utarudi shule kusoma ili upate cheti kitakachokusaidia kuppata ajira, inabidi ujiulize mara mbili kwa sababu kupata ajira kunategemea factors nyingine nyingi sana zaidi ya cheti. Ingawa sijui ulisomea nini, ninadhani kuwa elimu uliyonayo ina opportunities nyingi sana zaidi ya ajira. Fanya tathmini inayoitwa SWOT halafu ukatumia strengths zako kwa kila opportunity itakoyotokea bila kuchelewa utafanikiwa sana na kuwa financially independent.Habarini wapendwa,
Naomba tushauriane kuhusu maisha, hivi kufanya biashara na kusoma kipi ni bora kwa maisha haya?
Nilimaliza form 4, miaka 7 iliyopita nilipata 3 ila comb hazijabalance. Nikaenda college nikachukua diploma miaka mitatu nikamaliza, lakini sijapata kazi mpaka leo. Sasa mr, ananiambia jiandae mwakani unarudi shule na ananiambia nibadilishe coz, maana coz niliyoisoma ni ngumu sana kwa level zangu kupata kazi.
Nawaza umri huu niende nikaanze certificate nitamaliza lini jamani, nikamwambia naomba nifanye biashara ambayo nitaweza kuisimamia akasema biashara ni sawa utafanya lakini nataka uende shule akaanze certificate mpaka degree kama Mungu atakujaalia.
Nikajaribu kumuhoji mbona umenijia na mawazo magumu hivi. Anasema maisha ni mafupi sijui kesho tutaamkaje ikitokea amekufa basi niwe na elimu ambayo inaweza ikanisaidia kulea famila japokua tupo vizuri kiuchumi lakini kama sina elimu nitajikuta nikitumia mali vibaya na kufanya familia yake iteseke.
Kwa kweli amenipa mawazo sana, nisijue cha kufanya hiyo yote imetokana na Eng: Mwenzake amefariki kwa ajali na kumuacha mkewe akiwa na watoto wanne alafu mkewe hajui kusoma wala kuandika.
Embu nipeni ushauri ndugu zangu umri huu, na nina watoto wawili kwenda kuanza certificate mpaka nimalize ni leo kweli?
Biashara zipi tena Mkuu?.Biashara za kimaskini hizo
"ishike elimu usiiache iende zake" mkuu hakumaanisha hii elimu ya kukariri maandishi, ila ni elimu dunia na kiroho kwa level yake bora afanye biashara, kusoma anaenda kupoteza muda tuEducation Vs Business,Which one is better?.
Hakuna jibu la moja kwa moja juu ya Swali lako kama linavyojieleza hapo juu.Kinachokuchosha wewe ni kufikiria miaka mitatu ya kurudi Shule ilhali hata kozi uliyoisomea hujaona matunda yake.Kwanini usirudi shule na kuongeza Elimu ya suala lingine?.Kwanini usiachane na Shule na kuamua kufanya Biashara?.Kwanini usi-apply Elimu ya Juu?.Ni lazima tu urudie Diploma au hata Elimu ya chuo kikuu?.
Katika ubora wake,Francis Bacon anakuambia kuwa "Education is Power".Katika Maandiko matakatifu Mfalme Solomon anatuasa juu ya Umuhimu wa Elimu katika kitabu cha Mithali 4;13-Mkamate sana Elimu usimuache aende zake,Mshike,maana yeye ni uzima wako.Kadhalika katika Maandiko Tukufu "Quran" kuna ushahidi huo vile vile "IQRA".
Shuhuda za hapo juu zinajieleza bayana juu ya Umuhimu wa Elimu.Elimu ni msingi wa kila kitu na chochote kile Kitafanyika katika ubora uliotukuka kama Elimu imo ndani yake.
Jibu la kipi sahihi cha kufanya kati ya Kwenda chuo kwa miaka mitatu au kufanya Biashara unalo ila nadhani umekuja humu kutafuta Uungwaji mkono kati ya kipi sahihi kati ya machaguo yako.Kaa chini na ujisaili kila ukionacho,ukisikiacho na chochote ukisomacho kwa mustakabali ya hatima ya Maisha yako.
All the best.
Mkuu elimu inayozungumzwa pale umewahi kuijua? Hivi tunaacha kupeana maarifa halisi juu ya maisha ya kweli ya mwanadamu tunakomazana kuhusu pythagoras theorem? Hiv pythagoras mwenyew alikuwa na elimu yetu hii ya kiwango gani? Vip Galileo Galilei tuache kupotezeana muda na hizi taka taka tunazoziita elimu eti hapo zamani ulikuwa nyani ili usikoseshwe na mwalimu sema ndio daaaah My dear Africa una safar ndefu ya kwenda.Education Vs Business,Which one is better?.
Hakuna jibu la moja kwa moja juu ya Swali lako kama linavyojieleza hapo juu.Kinachokuchosha wewe ni kufikiria miaka mitatu ya kurudi Shule ilhali hata kozi uliyoisomea hujaona matunda yake.Kwanini usirudi shule na kuongeza Elimu ya suala lingine?.Kwanini usiachane na Shule na kuamua kufanya Biashara?.Kwanini usi-apply Elimu ya Juu?.Ni lazima tu urudie Diploma au hata Elimu ya chuo kikuu?.
Katika ubora wake,Francis Bacon anakuambia kuwa "Education is Power".Katika Maandiko matakatifu Mfalme Solomon anatuasa juu ya Umuhimu wa Elimu katika kitabu cha Mithali 4;13-Mkamate sana Elimu usimuache aende zake,Mshike,maana yeye ni uzima wako.Kadhalika katika Maandiko Tukufu "Quran" kuna ushahidi huo vile vile "IQRA".
Shuhuda za hapo juu zinajieleza bayana juu ya Umuhimu wa Elimu.Elimu ni msingi wa kila kitu na chochote kile Kitafanyika katika ubora uliotukuka kama Elimu imo ndani yake.
Jibu la kipi sahihi cha kufanya kati ya Kwenda chuo kwa miaka mitatu au kufanya Biashara unalo ila nadhani umekuja humu kutafuta Uungwaji mkono kati ya kipi sahihi kati ya machaguo yako.Kaa chini na ujisaili kila ukionacho,ukisikiacho na chochote ukisomacho kwa mustakabali ya hatima ya Maisha yako.
All the best.