Kusoma na biashara kipi bora?

Kusoma na biashara kipi bora?

Fanya biashara tu mkuu Canada utakayoipata ndio usomee kwa badae ili kuongeza maarfa ila usisome ukategemea ajira itakula kwako wenzako yupo tu kutwa kwenye mbao za matangazo kuangalia ajira.
 
Ahsante sana Mama.

Wakati mwingine inabidi utafute majibu katika Biblia kwakuwa imejitosheleza kwa jibu la suala lako.Huku jamii forums unaweza kupotea kwakuwa kuna wimbi la watoto wengi wenye Matusi,Kejeli,Unazi nk.Siyo kama Jambo forums ya kipindi kile na baadaye Jamii forums ya miaka ya 2008 hadi katikati mwa 2014.Now 2017 si salama tena.Barikiwa sana
Umenichekesha sna sijawah kusikia neno "Unazi" ndo nimesikia kwako, hapa nspata mawazo kwa walionitangulia kwaiyo akili kichwan mwangu mkuu.
Barikiwa sna mkuu
 
bora ni kufanikiwa sasa utajua wewe ni wapi upande wako kufanikiwa kama ni biashara ndo unaona njia sahihi fanya kama ni kitabu piga kitabu hakuna limitation in ways of successful
 
Nionavyo mm, hana maana ya kusoma ili niajiliwe ila anataka niwe na ufaham zaidi, endapo itatokea case yoyote niweze kuisimamia vzr. Maana watu wanaajiliwa ili wapate pesa ila kwangu pesa sio tatizo, tatizo niwe na ueleawa mpana wa kun'gamua mambo.

Kumbe tayari jibu unalo....kasome hachana na hayo mambo ya bihashara....hakuna kitu kinaleta heshima duniani kama una Elimu na una pesa....Mwangalie jabari wangu Makonda level alifikia ata kama alifeli angeenda shule kwa jina lilelile hakuna ata mmoja ambaye amgemtetelesha Dar hii.....shortcut sio nzuri rudi scur.
 
Hapo kuna ukakasi, mara kozi uliyopiga ni ngumu kupata ajira kwa level yako, inabidi usomee kitu kingine.
Halafu unasema unataka usome ili uelimike upate kuyakabili maisha na changamoto zake mbeleni na si kuajiriwa.
Kwanini hujaendelea degree kwa kozi hiyohiyo na badala yake wataka kuanza kutambaa tena?
Lengo hapa kwamba usome upate ajira, sema tu kuwa ulikataa vijembe humu ndani ukisema kuwa wataka kuajiriwa.
 
Habarini wapendwa,

Naomba tushauriane kuhusu maisha, hivi kufanya biashara na kusoma kipi ni bora kwa maisha haya?

Nilimaliza form 4, miaka 7 iliyopita nilipata 3 ila comb hazijabalance. Nikaenda college nikachukua diploma miaka mitatu nikamaliza, lakini sijapata kazi mpaka leo. Sasa mr, ananiambia jiandae mwakani unarudi shule na ananiambia nibadilishe coz, maana coz niliyoisoma ni ngumu sana kwa level zangu kupata kazi.

Nawaza umri huu niende nikaanze certificate nitamaliza lini jamani, nikamwambia naomba nifanye biashara ambayo nitaweza kuisimamia akasema biashara ni sawa utafanya lakini nataka uende shule akaanze certificate mpaka degree kama Mungu atakujaalia.

Nikajaribu kumuhoji mbona umenijia na mawazo magumu hivi. Anasema maisha ni mafupi sijui kesho tutaamkaje ikitokea amekufa basi niwe na elimu ambayo inaweza ikanisaidia kulea famila japokua tupo vizuri kiuchumi lakini kama sina elimu nitajikuta nikitumia mali vibaya na kufanya familia yake iteseke.

Kwa kweli amenipa mawazo sana, nisijue cha kufanya hiyo yote imetokana na Eng: Mwenzake amefariki kwa ajali na kumuacha mkewe akiwa na watoto wanne alafu mkewe hajui kusoma wala kuandika.

Embu nipeni ushauri ndugu zangu umri huu, na nina watoto wawili kwenda kuanza certificate mpaka nimalize ni leo kweli?
Elimu ni investment kubwa sana iwapo utasoma na kuelimika. Hata hivyo iwapo utarudi shule kusoma ili upate cheti kitakachokusaidia kuppata ajira, inabidi ujiulize mara mbili kwa sababu kupata ajira kunategemea factors nyingine nyingi sana zaidi ya cheti. Ingawa sijui ulisomea nini, ninadhani kuwa elimu uliyonayo ina opportunities nyingi sana zaidi ya ajira. Fanya tathmini inayoitwa SWOT halafu ukatumia strengths zako kwa kila opportunity itakoyotokea bila kuchelewa utafanikiwa sana na kuwa financially independent.
 
Mimi ninavyoona bora urudi kusoma, ninaamini biashara nyingi hapa nchini anaweza kufanya mtu yoyote ilimradi tu ajue kusoma nakuandika haijarishi unataaluma ama huna, endapo tu utakuwa namtaji, ila taaluma yamtu haiwez kuingiliwa namtu ambaye ajaisomea kwahiyo mimi ninachoona ukiwa naelimu naukawaweza kufanya biashara unakuwa unavitu viwili kichwani chakwanza niuwezo wakufanya biashara nachapili unakuwa nataaluma fulani kuliko huyu ambaye anafanya tu biashara bila kuwa nakitu kingine chaziada kichwani, kwahiyo me nakushaur soma ili uwe navitu vyaziada kichwani
 
Education Vs Business,Which one is better?.

Hakuna jibu la moja kwa moja juu ya Swali lako kama linavyojieleza hapo juu.Kinachokuchosha wewe ni kufikiria miaka mitatu ya kurudi Shule ilhali hata kozi uliyoisomea hujaona matunda yake.Kwanini usirudi shule na kuongeza Elimu ya suala lingine?.Kwanini usiachane na Shule na kuamua kufanya Biashara?.Kwanini usi-apply Elimu ya Juu?.Ni lazima tu urudie Diploma au hata Elimu ya chuo kikuu?.

Katika ubora wake,Francis Bacon anakuambia kuwa "Education is Power".Katika Maandiko matakatifu Mfalme Solomon anatuasa juu ya Umuhimu wa Elimu katika kitabu cha Mithali 4;13-Mkamate sana Elimu usimuache aende zake,Mshike,maana yeye ni uzima wako.Kadhalika katika Maandiko Tukufu "Quran" kuna ushahidi huo vile vile "IQRA".

Shuhuda za hapo juu zinajieleza bayana juu ya Umuhimu wa Elimu.Elimu ni msingi wa kila kitu na chochote kile Kitafanyika katika ubora uliotukuka kama Elimu imo ndani yake.

Jibu la kipi sahihi cha kufanya kati ya Kwenda chuo kwa miaka mitatu au kufanya Biashara unalo ila nadhani umekuja humu kutafuta Uungwaji mkono kati ya kipi sahihi kati ya machaguo yako.Kaa chini na ujisaili kila ukionacho,ukisikiacho na chochote ukisomacho kwa mustakabali ya hatima ya Maisha yako.

All the best.
"ishike elimu usiiache iende zake" mkuu hakumaanisha hii elimu ya kukariri maandishi, ila ni elimu dunia na kiroho kwa level yake bora afanye biashara, kusoma anaenda kupoteza muda tu
 
Education Vs Business,Which one is better?.

Hakuna jibu la moja kwa moja juu ya Swali lako kama linavyojieleza hapo juu.Kinachokuchosha wewe ni kufikiria miaka mitatu ya kurudi Shule ilhali hata kozi uliyoisomea hujaona matunda yake.Kwanini usirudi shule na kuongeza Elimu ya suala lingine?.Kwanini usiachane na Shule na kuamua kufanya Biashara?.Kwanini usi-apply Elimu ya Juu?.Ni lazima tu urudie Diploma au hata Elimu ya chuo kikuu?.

Katika ubora wake,Francis Bacon anakuambia kuwa "Education is Power".Katika Maandiko matakatifu Mfalme Solomon anatuasa juu ya Umuhimu wa Elimu katika kitabu cha Mithali 4;13-Mkamate sana Elimu usimuache aende zake,Mshike,maana yeye ni uzima wako.Kadhalika katika Maandiko Tukufu "Quran" kuna ushahidi huo vile vile "IQRA".

Shuhuda za hapo juu zinajieleza bayana juu ya Umuhimu wa Elimu.Elimu ni msingi wa kila kitu na chochote kile Kitafanyika katika ubora uliotukuka kama Elimu imo ndani yake.

Jibu la kipi sahihi cha kufanya kati ya Kwenda chuo kwa miaka mitatu au kufanya Biashara unalo ila nadhani umekuja humu kutafuta Uungwaji mkono kati ya kipi sahihi kati ya machaguo yako.Kaa chini na ujisaili kila ukionacho,ukisikiacho na chochote ukisomacho kwa mustakabali ya hatima ya Maisha yako.

All the best.
Mkuu elimu inayozungumzwa pale umewahi kuijua? Hivi tunaacha kupeana maarifa halisi juu ya maisha ya kweli ya mwanadamu tunakomazana kuhusu pythagoras theorem? Hiv pythagoras mwenyew alikuwa na elimu yetu hii ya kiwango gani? Vip Galileo Galilei tuache kupotezeana muda na hizi taka taka tunazoziita elimu eti hapo zamani ulikuwa nyani ili usikoseshwe na mwalimu sema ndio daaaah My dear Africa una safar ndefu ya kwenda.
Back to the point endeleza biashara mlizonazo usifungue nyingne wala usiende chuo.
 
Back
Top Bottom