Ubunifu ama bange?

Ubunifu ama bange?

Msamehe du dada
emoji3.png
emoji3.png
Naenda kulala nikiamka atakuwa ameshaanza mada mubadala. Nite nite my mdogo huku joto leo we acha tu.
Msamehe du dada
Wakati nakujibu kaja na zake hajui tumetoka wapi na chama hiki.
 
Naenda kulala nikiamka atakuwa ameshaanza mada mubadala. Nite nite my mdogo huku joto leo we acha tu.

Wakati nakujibu kaja na zake hajui tumetoka wapi na chama hiki.
pumzika dada
 
kisa mwafrika ndo kabuni..............
angevaa mzungu c mngesema ubunifu....!
 
Ugumu wa maisha kipimo cha akili!!Bangi nyingi mbele bonde...
 
Hii ingetoka New York watu wangeiga na kuuziwa bei mbaya. Tatizo ikitoka Manzese tu.
 
Kweli kuna njaa hadi mifuko ya kuhifadhia chakula watu wanaivaa?
 
Back
Top Bottom