YonDu Udonta
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 723
- 569
Habari za asubuh wakuu...
Naomba niende moja kwa moja kwenye tatizo.
Nina girlfriend wangu ambaye huwa anatokwa na maziwa ninaponyonya chuchu zake zaidi ya dakika flani, mwanzo nilijua ni kawaida lakini nilipokuja kufatilia niliona akiwa anakaribia period yake maziwa huwa yanajaa na kusababisha hivyo.
Lakini sasa huyu sasa yeye ni siku yeyote haijalish anakaribia au la huwa anatoa maziwa.
Msaada wenu kwa nini huwa hiki kitu kinatokea...
Naomba niende moja kwa moja kwenye tatizo.
Nina girlfriend wangu ambaye huwa anatokwa na maziwa ninaponyonya chuchu zake zaidi ya dakika flani, mwanzo nilijua ni kawaida lakini nilipokuja kufatilia niliona akiwa anakaribia period yake maziwa huwa yanajaa na kusababisha hivyo.
Lakini sasa huyu sasa yeye ni siku yeyote haijalish anakaribia au la huwa anatoa maziwa.
Msaada wenu kwa nini huwa hiki kitu kinatokea...