Ninavyodhani mama hajateleza, Mwandishi ndo ameteleza sasa sisi ndo tunaangukia pua!! Tusipende kuamini magazeti kila mara yanaleta mkanganiko humu.
FMES kuna mahali unaelewesha kuwa Mama alimaanisha Rais achague mawaziri na bunge ndo lithibitishe kama inavyokuwa kwa Waziri Mkuu; mchango...
Kuna jamaa alitumiwa msg kwenye simu yake na hawala yake usiku wa manane basi yule jamaa alikuwa amelala fofofo hajui kinachoendelea mke wake akasikia msg inaingia kusoma 'ile mimba yako niliyokuwa nayo imeharibika' basi zogo hilo mme kaamshwa usingizini mke wake akilia, mke wake akasema kwenye...
Tukiondoa ubinafsi basi hapo ndo tutafanikiwa kwenye hili, vinginevyo ni bure, juzijuzi wakinamama wakatoliki WAWATA wamefanya mambo makubwa sana pale Ocean road hospital, matendo ya huruma (Jimbo zima la DSM) waliungana kufanya matendo ya huruma, ni mfano mzuri wa kuigwa. Nilishuhudia magari...
Mh. Tunashukuru kwa majibu kuhusu Zenj. Lakini tunaomba ukipata wasaa basi jaribu kuelezea hali ya kisiasa ya Chadema Kuhusu Zitto, haeleweki, na ndo hivyo tunajiandaa kuingia kwenye uchaguzi Mkuu. Elezea wanachama wako wa CHADEMA na Uongozi vipi kuhusu Zitto mbona anachafua hali ya hewa ya chama!!
Kwani umeambiwa pesa imetoka CCM??? AU Serikalini??? pengine chama kimepata ufadhili. Hii ni changamoto kwa vyama pinzani je wataweza kushindana na hawa??? kama wenzetu wanakosa hata vibendera vya kupeperusha!!!!
JK keshajiwekea vizuri mizizi ya kutotingishwa. Chunguza vizuri hasa wale wanaopiga kura kwenye CCM Halmashauri Kuu na Kamati kuu, hapo ndo mchezo wa kumpitisha Rais unachezwa, vinginevyo hupiti hata kama unapendwa na wananchi. Labda kupata upinza kutokea vyama vingine lakini ndani ya CCM kuna...
Ninakubaliana na wewe kwa mawazo yako hapo juu mia/mia.
Tatizo la nchi yetu ni mfumo kama alivyosema Salim Ahmed Salim.
Ukichunguza kwa umakini si mikopo tu ya BOT, hata ngazi za mishahara n.k. Tokea serikali waanze kuchagua BOT, TRA kuwa wao ndo wapate mishahara ya kipekee, wakatofautisha...
Juzi hapa Uongozi wa CHADEMA wameleta details zao jinsi vikao vinavyoendeshwa, Uidhinishaji wa pesa zao ngazi kwa ngazi, uchaguzi wao, Mbowe/Ndansamburo anadai ngapi kwenye chama, mavitu kibao tukasoma hapa mwenye dukuduku akaelezea na uongozi ukajibu hapa hapa live, Sasa mnataka tuanze kujadili...
Ni vizuri wakakopeshwa kwa kuwa wako benki kuu na wanaziona zinavyoingia/nakutoka, ukiwa unafanya kazi sehemu nzuri hiyo ndo motisha na bado ni mkopo..
Ulizia TRA wanakopa ngapi??? kama si zaidi ya hizi kwa taarifa!!! wenyewe wanaenda benki yeyote wanajikadilia wenyewe.
Wafanyakazi wa...
Askofu Timanywa alizaliwa 1937
Upadilisho akapata 1966
Uaskofu akaupata 1974
Sasa hivi ana miaka 72
Alipata upadre akiwa na umri mdogo miaka 37.
Kilaini alizailiwa 1948
Sasa hivi ana miaka 61
Askofu yeyote anastaafu kwa kufikisha 75 lakini anaweza kuomba kabla ya hapo. Hayo ndo majibu yangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.