Recent content by K4jolly

  1. K

    Huyu ndiye Mh. KAGASHEKI

    Basi tuwe wastaarabu kidogo, tunaanza kutajana majina!!! Kwa upande wangu siasa za BK sizifahamu, ila siasa najifunzia hapa JF.
  2. K

    Anne Kilango ataka mawaziri wachaguliwe na wananchi

    Ninavyodhani mama hajateleza, Mwandishi ndo ameteleza sasa sisi ndo tunaangukia pua!! Tusipende kuamini magazeti kila mara yanaleta mkanganiko humu. FMES kuna mahali unaelewesha kuwa Mama alimaanisha Rais achague mawaziri na bunge ndo lithibitishe kama inavyokuwa kwa Waziri Mkuu; mchango...
  3. K

    Meseji niliyoikuta kwenye simu ya mke wangu

    Kuna jamaa alitumiwa msg kwenye simu yake na hawala yake usiku wa manane basi yule jamaa alikuwa amelala fofofo hajui kinachoendelea mke wake akasikia msg inaingia kusoma 'ile mimba yako niliyokuwa nayo imeharibika' basi zogo hilo mme kaamshwa usingizini mke wake akilia, mke wake akasema kwenye...
  4. K

    Wana CCM naomba mhalalishe picha hizi

    Tukiondoa ubinafsi basi hapo ndo tutafanikiwa kwenye hili, vinginevyo ni bure, juzijuzi wakinamama wakatoliki WAWATA wamefanya mambo makubwa sana pale Ocean road hospital, matendo ya huruma (Jimbo zima la DSM) waliungana kufanya matendo ya huruma, ni mfano mzuri wa kuigwa. Nilishuhudia magari...
  5. K

    Wana CCM naomba mhalalishe picha hizi

    Tafiti au tumia wataalamu watoe majibu sahihi kwa hili umekosea, mil 65 haiwezi kufanya lolote kwa jumba hili.
  6. K

    Dr.Slaa ajibu hoja mbalimbali na kueleza Sera za CHADEMA hapa JF

    Mh. Tunashukuru kwa majibu kuhusu Zenj. Lakini tunaomba ukipata wasaa basi jaribu kuelezea hali ya kisiasa ya Chadema Kuhusu Zitto, haeleweki, na ndo hivyo tunajiandaa kuingia kwenye uchaguzi Mkuu. Elezea wanachama wako wa CHADEMA na Uongozi vipi kuhusu Zitto mbona anachafua hali ya hewa ya chama!!
  7. K

    CCM na magari ya uchaguzi...

    Kwani umeambiwa pesa imetoka CCM??? AU Serikalini??? pengine chama kimepata ufadhili. Hii ni changamoto kwa vyama pinzani je wataweza kushindana na hawa??? kama wenzetu wanakosa hata vibendera vya kupeperusha!!!!
  8. K

    Kikwete afanye nini Kuuokoa Urais wake?

    JK keshajiwekea vizuri mizizi ya kutotingishwa. Chunguza vizuri hasa wale wanaopiga kura kwenye CCM Halmashauri Kuu na Kamati kuu, hapo ndo mchezo wa kumpitisha Rais unachezwa, vinginevyo hupiti hata kama unapendwa na wananchi. Labda kupata upinza kutokea vyama vingine lakini ndani ya CCM kuna...
  9. K

    BOT yamwaga mikopo ya mamilioni kwa wafanyakazi wake-Ndio bailout ya serikali hiyo!!

    Ninakubaliana na wewe kwa mawazo yako hapo juu mia/mia. Tatizo la nchi yetu ni mfumo kama alivyosema Salim Ahmed Salim. Ukichunguza kwa umakini si mikopo tu ya BOT, hata ngazi za mishahara n.k. Tokea serikali waanze kuchagua BOT, TRA kuwa wao ndo wapate mishahara ya kipekee, wakatofautisha...
  10. K

    Mbowe, Dr Slaa na Mnyika ni viongozi hovyo hovyo

    Juzi hapa Uongozi wa CHADEMA wameleta details zao jinsi vikao vinavyoendeshwa, Uidhinishaji wa pesa zao ngazi kwa ngazi, uchaguzi wao, Mbowe/Ndansamburo anadai ngapi kwenye chama, mavitu kibao tukasoma hapa mwenye dukuduku akaelezea na uongozi ukajibu hapa hapa live, Sasa mnataka tuanze kujadili...
  11. K

    BOT yamwaga mikopo ya mamilioni kwa wafanyakazi wake-Ndio bailout ya serikali hiyo!!

    Ni vizuri wakakopeshwa kwa kuwa wako benki kuu na wanaziona zinavyoingia/nakutoka, ukiwa unafanya kazi sehemu nzuri hiyo ndo motisha na bado ni mkopo.. Ulizia TRA wanakopa ngapi??? kama si zaidi ya hizi kwa taarifa!!! wenyewe wanaenda benki yeyote wanajikadilia wenyewe. Wafanyakazi wa...
  12. K

    Zitto aongea na Power Breakfast ya Clouds FM

    Lunyungu, kwenye hii thread najitahidi nikuelewe lakini nashindwa kukuelewa mpaka hii jioni, wacha niende, sijui ni weekend!!! Naomba msiniquote.
  13. K

    Baada ya kutajwa na Jopo la UN; Mndolwa aondolewa Burundi!

    Sasa hao mabarozi wanaorudishwa/Retirement wana miaka mingapi?? Au kwa mabarozi nizaidi ya 60 yrs!
  14. K

    Sitaki tena, sipendi wampime Rais akili!?

    Ni mgeni kwenye thread au kujiunga JF?? naona unakaribia 2yrs. Elezea vizuri kwani hueleweki.
  15. K

    Mhashamu Methodius Kilaini ahamishiwa Jimbo la Bukoba

    Askofu Timanywa alizaliwa 1937 Upadilisho akapata 1966 Uaskofu akaupata 1974 Sasa hivi ana miaka 72 Alipata upadre akiwa na umri mdogo miaka 37. Kilaini alizailiwa 1948 Sasa hivi ana miaka 61 Askofu yeyote anastaafu kwa kufikisha 75 lakini anaweza kuomba kabla ya hapo. Hayo ndo majibu yangu.
Back
Top Bottom