It doesn't matter fedha zitatoka wapi! Issue hapa ni kwamba alitoa ahadi. je alipotoa hiyo ahadi hakujua mambo yote ya kujenga miundo mbinu fedha zinatoka wapi? Kama hakujua basi ni alidanganya wananchi na kama alijua bado alidanganya wananchi. Wanachotaka wananchi ni ahadi zako umezitimiza? Kama hukutumiza ahadi kuna sababu nyingi nzuri tu lakini zote hizo zinaitwa "excuse" na hii haikubaliki. Performanca is required and nothing less than that. You must stay to what you have promised. Anyway lakini "no politician has died by swallowing his own words"naomba ufafanuzi,
je alisema atajenga hiyo hospitali na uwanja wa ndege
kwa pesa zake za mfukoni au kwa pesa kutoka wapi?