Nilikuwa sijui kama kuna mikataba au makubaliano makubwa kama yale ya kanisa na serikali yaliyopo kwenye memorundum of understanding yanayoweza kusainiwa kinyemela bila hata kupata baraka za bunge.
Kuondoa mtafaruku uliyopo kuhusiana na huu mkataba ni vizuri uwekwe bayana bungeni ujadiliwe...
Kauli ya mzee Mtei hailingani na hadhi yake na ,lakini pia haishangazi maana hata kwenye kampeni za arusha mgombea aloshinda akasimamishwa na mahakama aliwahi kusema wananchi wasimchague mvaa hijab watakaribisha ALSHABAB hapa tz.
Najiuliza kauli kama hizi lengo lake nini haswa maana na wengine...
Nadhani hoja inajibiwa kwa hoja mimi siamini kama maneno yaliotumika hapo juu kwenye mjadala wa hoja kama kiazi,akili mbovu,mjinga,mvivu wa kufikiri,mfuasi wa kibwetere yana nafasi,cha msingi tujifunze kuvumiliana na kujibu hoja za msingi kwa hoja na wala si jaziba maana tunaamini watu wenye...
sasa hao masheikh wanamahusiano gani na ujio wa papa na sisi kama watz tunahitaji haya yote nadhani kama anakuja lisiwe swala la kitaifa waachiewe wakatoliki ni kiongozi wao na ujio uwe ni kwa ajli yao otherwise kama ni suala la kitaifa na likaandaliwa kwa gharama(kodi) za watz including...
what is slogan ya udini unayomaanisha hapo maana unatuchanaganya sana sisi watanzania nadhani unaumia sana kuona rais ni muslamu kama ndivyo nadhani utaumia sana hadi utashikwa na madonda ya tumbo maana waislamu nao ni watz.NI VIZURI Unavyoandika jambo hapo hapa kwenye jf utoe ufafanuzi hasa...
Hapa mnapoanza kusema mbona wote ni waislam ndiko mnapoanza kuchanganya mambo na haya mambo ya kuanza kujaji mambo kwa misingi ya dini ndo haya yanayotufikisha hapa tulipo maana watawala wanatupeleke jinsi wanavotaka wakijua hatuna agenda yake kila mmoja ana wetu anaagenda yake.Kimsingi suala...
Duh! Nimesoma habari hii kwa makini nilichogundua ni kwamba kuna baadhi ya watu either kwa sababu zao binafsi au kwa kutumwa na viongozi fulani wanataka kutufanya watanzania tuamini ujinga na chuki zao kwa viongozi wa serikali au dini nyingine kuwa ndo uwezo.
KATIKA TZ hii yetu sote tulozoea...
ukweli unajionyesha wazi kwa mtz yoyote mwenye akili ya utambuzi wa mambo na asiyefuata mkumbo.JIULIZE open BILA UNAFIKI kama wewe ni msomi wa kuanzia sekondari hadi chuo kikuu na umeajiriwa serikalini au any parastatal organization.Jiulize moyoni mwako waislam walikuwa wangapi
1 sekondari...
Mie sijui kwanini watu wanadharau kubwa kiasi hiki.Halafu ni lini wa tanzania tutafanya uchunguzi wa jambo kabla hatujaanza kuzungumza mbele ya umma wenye mchanganyiko wa watu wa dini na makabila na vyama mbalimbali.Unawezaje kuita watu kuwa hawana elimu wakati huwajui na huna ushahidi wa hicho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.