Recent content by Julius Mziray

  1. J

    Jeshi la Wokovu (Salvation Army): Ni kina nani na wanafanya nini?

    Naombeni kujua salvation army ni nini na linafanya kazi gani
  2. J

    Yawezekana Rais amevunja sheria ya Mchakato wa Katiba kwa kuwaapisha kina Baregu?

    Napenda kuwaomba cdm mhakikishe mkataba uliosainiwa kati ya makanisa na serikali unaletwa bungeni ujadiliwe kwa uwazi
  3. J

    Mtei amefilisika kimawazo - Zitto

    Nilikuwa sijui kama kuna mikataba au makubaliano makubwa kama yale ya kanisa na serikali yaliyopo kwenye memorundum of understanding yanayoweza kusainiwa kinyemela bila hata kupata baraka za bunge. Kuondoa mtafaruku uliyopo kuhusiana na huu mkataba ni vizuri uwekwe bayana bungeni ujadiliwe...
  4. J

    Mtei amefilisika kimawazo - Zitto

    Kauli ya mzee Mtei hailingani na hadhi yake na ,lakini pia haishangazi maana hata kwenye kampeni za arusha mgombea aloshinda akasimamishwa na mahakama aliwahi kusema wananchi wasimchague mvaa hijab watakaribisha ALSHABAB hapa tz. Najiuliza kauli kama hizi lengo lake nini haswa maana na wengine...
  5. J

    Mashangingi ya CHADEMA!!

    Nadhani hoja inajibiwa kwa hoja mimi siamini kama maneno yaliotumika hapo juu kwenye mjadala wa hoja kama kiazi,akili mbovu,mjinga,mvivu wa kufikiri,mfuasi wa kibwetere yana nafasi,cha msingi tujifunze kuvumiliana na kujibu hoja za msingi kwa hoja na wala si jaziba maana tunaamini watu wenye...
  6. J

    JK akumbusha juu ya mwaliko wa Papa kuja Tanzania

    sasa hao masheikh wanamahusiano gani na ujio wa papa na sisi kama watz tunahitaji haya yote nadhani kama anakuja lisiwe swala la kitaifa waachiewe wakatoliki ni kiongozi wao na ujio uwe ni kwa ajli yao otherwise kama ni suala la kitaifa na likaandaliwa kwa gharama(kodi) za watz including...
  7. J

    JK akumbusha juu ya mwaliko wa Papa kuja Tanzania

    what is slogan ya udini unayomaanisha hapo maana unatuchanaganya sana sisi watanzania nadhani unaumia sana kuona rais ni muslamu kama ndivyo nadhani utaumia sana hadi utashikwa na madonda ya tumbo maana waislamu nao ni watz.NI VIZURI Unavyoandika jambo hapo hapa kwenye jf utoe ufafanuzi hasa...
  8. J

    Hivi ndivyo prof. Maghembe alivyopata ubunge wake Mwanga

    Hapa mnapoanza kusema mbona wote ni waislam ndiko mnapoanza kuchanganya mambo na haya mambo ya kuanza kujaji mambo kwa misingi ya dini ndo haya yanayotufikisha hapa tulipo maana watawala wanatupeleke jinsi wanavotaka wakijua hatuna agenda yake kila mmoja ana wetu anaagenda yake.Kimsingi suala...
  9. J

    Daima utanivulia nguo

    kwa wale wavivu wa kusoma akisoma mwanzo tu asipoamalizia story atadhani unatukana ila mwishowe atakuelewa
  10. J

    Kumbe udini ndio ulitumika kumdhuru Lowassa kisiasa?

    Duh! Nimesoma habari hii kwa makini nilichogundua ni kwamba kuna baadhi ya watu either kwa sababu zao binafsi au kwa kutumwa na viongozi fulani wanataka kutufanya watanzania tuamini ujinga na chuki zao kwa viongozi wa serikali au dini nyingine kuwa ndo uwezo. KATIKA TZ hii yetu sote tulozoea...
  11. J

    Dk Slaa asema Mufti hakufanya utafiti

    ukweli unajionyesha wazi kwa mtz yoyote mwenye akili ya utambuzi wa mambo na asiyefuata mkumbo.JIULIZE open BILA UNAFIKI kama wewe ni msomi wa kuanzia sekondari hadi chuo kikuu na umeajiriwa serikalini au any parastatal organization.Jiulize moyoni mwako waislam walikuwa wangapi 1 sekondari...
  12. J

    Maandamano ya kupinga Wamarekani kuishambulia Libya (Picha)

    Mie sijui kwanini watu wanadharau kubwa kiasi hiki.Halafu ni lini wa tanzania tutafanya uchunguzi wa jambo kabla hatujaanza kuzungumza mbele ya umma wenye mchanganyiko wa watu wa dini na makabila na vyama mbalimbali.Unawezaje kuita watu kuwa hawana elimu wakati huwajui na huna ushahidi wa hicho...
  13. J

    misemo ya vijana wa kileo bwana.,

    kama kuoga uchafu mbona taulo lachafuka
  14. J

    Hivi unamwitaje mumeo/mkeo?

    Namwita my dear au mke wangu
  15. J

    Nitampataje mume mwenye vigezo hivi?

    mi kigezo number moja kishanitoa nje ingawa mh
Back
Top Bottom