Julius Mziray
Member
- Feb 27, 2009
- 27
- 4
sasa hao masheikh wanamahusiano gani na ujio wa papa na sisi kama watz tunahitaji haya yote nadhani kama anakuja lisiwe swala la kitaifa waachiewe wakatoliki ni kiongozi wao na ujio uwe ni kwa ajli yao otherwise kama ni suala la kitaifa na likaandaliwa kwa gharama(kodi) za watz including wasiokuwa wakatoliki huu ndio udini wenyewe unaopigiwa kelele na watz kila kukicha