Nitampataje mume mwenye vigezo hivi?

dah leo leo umeamka vizuri sana mpendwa kila mtu anatamani mke/mume wa aina fulani, ila jiulize je ni wangapi wamepata wale ambao wamekua wakiwaota? Mungu huyu muacheni tu aitwe mungu. Unastahili na hii tena

The Following 2 Users Say Thank You to The Finest For This Useful Post:

Maty (Today)
Unajua kwenye kutafuta MKE/MUME huwa tunasahau kujileta mbele ya Mungu na kupeleka maombi yetu ili aweze kuyafanyia kazi ukimpata mwanamke/mwanaume mwenye vigezo ulivyokuwa unataka unaona ndio umepata mume bora huku nyuma ulisahau kumuomba Mungu akupe baraka zake kwenye maombi yako ndio baadae kizungumkuti kinaanza ndani ya nyumba unaanza kujiuliza mbona huyu MKE/MUME ana sifa zote nilizokuwa ninataka sasa kwanini sio ambavyo nilikuwa nikitarajia, tukichukua njia zetu wenyewe na kujiona tunajua zaidi au tuko sawa hayo ndio yanatupata.

Ni sawa na unapokuwa unaomba ukiwa na MKE/MUME ni mara nyingi nimeona watu wakiwa wanapeleka maombi ya kuomba vitu fulani, kazi, biashara lakini ni wachache sana wanaopeleka maombi ya kuwaombea wenzi wao MUME/MKE tunasahau
 
Wapendwa nawasalimu!!

Ninatumai kila mtu ana sifa za ama mke au mume anayemtaka, rafiki zangu wa JF, napenda sana nipate mume mwenye vigezo hivyo hapo nilivyovitaja lakini kila siku imekua kinyume kabisa na matarajio yangu.

1. Awe Mkirsto
2. awe mweupe
3. awe na feature ya maisha, kwani fedha hutafutwa
4. awe mrefu wa wastani
5. kuanzia miaka 30 kuendelea

Dada yangu alishawahi kunitania kuwa eti niwatongoze wale ninaowapenda na nikitu ambacho siwezi hata kujaribu kufanya. Jamani nisaidieni au ndio niendelee kusubiri ubavu wangu kutoka kwa Mungu?

Naombeni mawazo yenu, pengine nafikiri hadithi za kujenga magorofa hewani.

Hebu toa na wewe wasifu wako. Umbile, rangi, hobbies, elimu, dini... then tutakwambia kama una sifa za kuweza kumpata mtu mwenye sifa ulizosema...
 
Jamani mnaomshambulia dada wa watu mnajuaje kama ameshamshirikisha Mungu akaelekezwa Jf?Baraka za Mungu zinaenda sambamba na juhudi za mwanadamu!Mwacheni atafute kwa njia anayoona yeye ni sahihi na sio mnavyotaka nyie!!Alafu kama urefu ni muhimu kwake then mwacheni atafute urefu..hayo mengine atamsoma mtu taratibu baada ya kuridhika na muonekano ambao ni muhimu pia kwake!!Kila la heri mwaya..kama yuko hapa utampata..na kama sio atakuja tu!Usisahau tu kuomba!
 
Wapendwa nawasalimu!!

Ninatumai kila mtu ana sifa za ama mke au mume anayemtaka, rafiki zangu wa JF, napenda sana nipate mume mwenye vigezo hivyo hapo nilivyovitaja lakini kila siku imekua kinyume kabisa na matarajio yangu.

1. Awe Mkirsto
2. awe mweupe
3. awe na feature ya maisha, kwani fedha hutafutwa
4. awe mrefu wa wastani
5. kuanzia miaka 30 kuendelea

Dada yangu alishawahi kunitania kuwa eti niwatongoze wale ninaowapenda na nikitu ambacho siwezi hata kujaribu kufanya. Jamani nisaidieni au ndio niendelee kusubiri ubavu wangu kutoka kwa Mungu?

Naombeni mawazo yenu, pengine nafikiri hadithi za kujenga magorofa hewani.

Mpendwa Suzy nimetimiza vigezo vyote kasoro mimi si mweupe vipi nikitumia mkorogo utanikubali ?.Nisianza mkorogo mwisho wa siku ukanistukia ukanitwanga talaka bure bora uniambie mapema nikae mkao wa kula.
 
Afadhali siyo peke yangu ninayeona ajabu. mi nilifikiri kama TF alivyosema, mambo yanaenda yakibadilika

Mi nakwambia dunia ndio inaelekea ukingoni sasa, kama ambavyo mtu analazimisha kujiweka makalio, matiti ambayo mungu hakumuumba nayo ndio hivyo hivyo wanavyolazimisha na maubavu ya wenzao ambao mungu hakumpangia
 
Jamani mnaomshambulia dada wa watu mnajuaje kama ameshamshirikisha Mungu akaelekezwa Jf?Baraka za Mungu zinaenda sambamba na juhudi za mwanadamu!Mwacheni atafute kwa njia anayoona yeye ni sahihi na sio mnavyotaka nyie!!Alafu kama urefu ni muhimu kwake then mwacheni atafute urefu..hayo mengine atamsoma mtu taratibu baada ya kuridhika na muonekano ambao ni muhimu pia kwake!!Kila la heri mwaya..kama yuko hapa utampata..na kama sio atakuja tu!Usisahau tu kuomba!
:laugh::laugh::laugh::laugh:
 
Jamani mnaomshambulia dada wa watu mnajuaje kama ameshamshirikisha Mungu akaelekezwa Jf?Baraka za Mungu zinaenda sambamba na juhudi za mwanadamu!Mwacheni atafute kwa njia anayoona yeye ni sahihi na sio mnavyotaka nyie!!Alafu kama urefu ni muhimu kwake then mwacheni atafute urefu..hayo mengine atamsoma mtu taratibu baada ya kuridhika na muonekano ambao ni muhimu pia kwake!!Kila la heri mwaya..kama yuko hapa utampata..na kama sio atakuja tu!Usisahau tu kuomba!

Mama mchungaji hebu msome hapa mtumishi wako

Dada yangu alishawahi kunitania kuwa eti niwatongoze wale ninaowapenda na nikitu ambacho siwezi hata kujaribu kufanya. Jamani nisaidieni au ndio niendelee kusubiri ubavu wangu kutoka kwa Mungu?

Naombeni mawazo yenu, pengine nafikiri hadithi za kujenga magorofa hewani
.

sasa hapa anataka mawazo ya mungu au yetu na kwanini asisubiri kama hapo juu alivyoandika, nanukuu (jamani nisaidieni au ndio niendelee kusubiri ubavu wangu kutoka kwa Mungu)
 
J..........Mwacheni atafute kwa njia anayoona yeye ni sahihi na sio mnavyotaka nyie!!Alafu kama urefu ni muhimu kwake then mwacheni atafute urefu..hayo mengine atamsoma mtu taratibu baada ya kuridhika na muonekano ambao ni muhimu pia kwake!!Kila la heri mwaya..kama yuko hapa utampata..na kama sio atakuja tu!Usisahau tu kuomba!

Ni hivi huyo dada ameweka wazi hapa JF ili asaidiwe kimawazo na sio kama unavyofikiri wewe kuwa tumwacheni tu atafute kwa njia yake. Labda nikukumbushe kuwa huyu dada anatafuta mume! kama ni swala la mwanaume mwenye vigezo hivyo wako wengi tu na hata yeye atakuwa amekutana nao. Nakuomba uchukulie kuwa JF wanamsaidia kimawazo na si wanamshambulia!
 
Wapendwa nawasalimu!!

Ninatumai kila mtu ana sifa za ama mke au mume anayemtaka, rafiki zangu wa JF, napenda sana nipate mume mwenye vigezo hivyo hapo nilivyovitaja lakini kila siku imekua kinyume kabisa na matarajio yangu.

1. Awe Mkirsto
2. awe mweupe
3. awe na feature ya maisha, kwani fedha hutafutwa
4. awe mrefu wa wastani
5. kuanzia miaka 30 kuendelea

Dada yangu alishawahi kunitania kuwa eti niwatongoze wale ninaowapenda na nikitu ambacho siwezi hata kujaribu kufanya. Jamani nisaidieni au ndio niendelee kusubiri ubavu wangu kutoka kwa Mungu?

Naombeni mawazo yenu, pengine nafikiri hadithi za kujenga magorofa hewani.

Nakosa weupe tu ila vyoote ninavyo
 
Nakushauri Uwe spesicific
Mkristo wa madhehebu yapi?! maana mengine ni kero! nakushauri asiwe wa itikadi kali, kwani wanakuwa wabishi!

Mweupe! Mzungu, Albino au rangi ya Kichaga? Nakushauri awe na rangi ya Chocolate au Mweusi kidogo ni wazuri katika Mapenzi na mwonekano!

Awe na feature ya maisha,
nafikiri hapa ulitaka kumaanisha Future?! yah! ni muhimu maana Mwanaume asiye na future utampeleka wapi?!

Awe mrefu wa wastani;
Ye ni kweli, maana akiwa mrefu zaidi anakuwa si sharp na dharau, pia akiwa mfupi anakuwa na tabia ya kujifanya kujua na hasira sana!

kuanzia miaka 30 kuendeleae:
Nakushauri aanzie 33-35, wengi wanakuwa serious na maisha ingawa si wote, maana ktk umri huu anakuwa anakaribia 40 hivyo anaogopa kufikisha 40 kabla hajafanya ya maana
 
Ni ubeijing tu umewajaa wamama wa siku hizi toka lini mume akatafutwa mume ndio alipewa jukumu la kutafuta mke, usawa usawa usawa usawa! usawa my foot. Kuna siku tulitoka safari tukapata pancha wababa wacha waanze kutwambia haya usawa sasa wamama badilisheni tairi la gari tukabaki tumeshushuka shuuuuu. mume wako kama yuko atakuja tu wewe subiri na kama hayupo hayupo tu msilazimishe mambo

?????
 
Wapendwa nawasalimu!!

Ninatumai kila mtu ana sifa za ama mke au mume anayemtaka, rafiki zangu wa JF, napenda sana nipate mume mwenye vigezo hivyo hapo nilivyovitaja lakini kila siku imekua kinyume kabisa na matarajio yangu.

1. Awe Mkirsto
2. awe mweupe
3. awe na feature ya maisha, kwani fedha hutafutwa
4. awe mrefu wa wastani
5. kuanzia miaka 30 kuendelea

Dada yangu alishawahi kunitania kuwa eti niwatongoze wale ninaowapenda na nikitu ambacho siwezi hata kujaribu kufanya. Jamani nisaidieni au ndio niendelee kusubiri ubavu wangu kutoka kwa Mungu?

Naombeni mawazo yenu, pengine nafikiri hadithi za kujenga magorofa hewani.

mi nakushauri utulie tu wala usikurupuke.
Wanaume wenyewe wengine akili mbili.
 
Maty nimekusoma ila mngekua wapole kidoogo maana mlivyokua wakali anaweza akaogopa hata kuendelea kusoma na kufanyia kazi mawazo yenu!!!
 
Back
Top Bottom