Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,744
ajabu
Afadhali siyo peke yangu ninayeona ajabu. mi nilifikiri kama TF alivyosema, mambo yanaenda yakibadilika
ajabu
Unajua kwenye kutafuta MKE/MUME huwa tunasahau kujileta mbele ya Mungu na kupeleka maombi yetu ili aweze kuyafanyia kazi ukimpata mwanamke/mwanaume mwenye vigezo ulivyokuwa unataka unaona ndio umepata mume bora huku nyuma ulisahau kumuomba Mungu akupe baraka zake kwenye maombi yako ndio baadae kizungumkuti kinaanza ndani ya nyumba unaanza kujiuliza mbona huyu MKE/MUME ana sifa zote nilizokuwa ninataka sasa kwanini sio ambavyo nilikuwa nikitarajia, tukichukua njia zetu wenyewe na kujiona tunajua zaidi au tuko sawa hayo ndio yanatupata.dah leo leo umeamka vizuri sana mpendwa kila mtu anatamani mke/mume wa aina fulani, ila jiulize je ni wangapi wamepata wale ambao wamekua wakiwaota? Mungu huyu muacheni tu aitwe mungu. Unastahili na hii tena
The Following 2 Users Say Thank You to The Finest For This Useful Post:
Maty (Today)
Wapendwa nawasalimu!!
Ninatumai kila mtu ana sifa za ama mke au mume anayemtaka, rafiki zangu wa JF, napenda sana nipate mume mwenye vigezo hivyo hapo nilivyovitaja lakini kila siku imekua kinyume kabisa na matarajio yangu.
1. Awe Mkirsto
2. awe mweupe
3. awe na feature ya maisha, kwani fedha hutafutwa
4. awe mrefu wa wastani
5. kuanzia miaka 30 kuendelea
Dada yangu alishawahi kunitania kuwa eti niwatongoze wale ninaowapenda na nikitu ambacho siwezi hata kujaribu kufanya. Jamani nisaidieni au ndio niendelee kusubiri ubavu wangu kutoka kwa Mungu?
Naombeni mawazo yenu, pengine nafikiri hadithi za kujenga magorofa hewani.
Asante sana, na hizi novena huwa zinakuwa na maajabu sanaAll the best.... novena inaweza kuwa hata ya miezi 6 au mwaka inategemea na mahitaji. ingawa yenyewe kabisa huwa tubafabya siku 9
Wapendwa nawasalimu!!
Ninatumai kila mtu ana sifa za ama mke au mume anayemtaka, rafiki zangu wa JF, napenda sana nipate mume mwenye vigezo hivyo hapo nilivyovitaja lakini kila siku imekua kinyume kabisa na matarajio yangu.
1. Awe Mkirsto
2. awe mweupe
3. awe na feature ya maisha, kwani fedha hutafutwa
4. awe mrefu wa wastani
5. kuanzia miaka 30 kuendelea
Dada yangu alishawahi kunitania kuwa eti niwatongoze wale ninaowapenda na nikitu ambacho siwezi hata kujaribu kufanya. Jamani nisaidieni au ndio niendelee kusubiri ubavu wangu kutoka kwa Mungu?
Naombeni mawazo yenu, pengine nafikiri hadithi za kujenga magorofa hewani.
Afadhali siyo peke yangu ninayeona ajabu. mi nilifikiri kama TF alivyosema, mambo yanaenda yakibadilika
:laugh::laugh::laugh::laugh:Jamani mnaomshambulia dada wa watu mnajuaje kama ameshamshirikisha Mungu akaelekezwa Jf?Baraka za Mungu zinaenda sambamba na juhudi za mwanadamu!Mwacheni atafute kwa njia anayoona yeye ni sahihi na sio mnavyotaka nyie!!Alafu kama urefu ni muhimu kwake then mwacheni atafute urefu..hayo mengine atamsoma mtu taratibu baada ya kuridhika na muonekano ambao ni muhimu pia kwake!!Kila la heri mwaya..kama yuko hapa utampata..na kama sio atakuja tu!Usisahau tu kuomba!
Jamani mnaomshambulia dada wa watu mnajuaje kama ameshamshirikisha Mungu akaelekezwa Jf?Baraka za Mungu zinaenda sambamba na juhudi za mwanadamu!Mwacheni atafute kwa njia anayoona yeye ni sahihi na sio mnavyotaka nyie!!Alafu kama urefu ni muhimu kwake then mwacheni atafute urefu..hayo mengine atamsoma mtu taratibu baada ya kuridhika na muonekano ambao ni muhimu pia kwake!!Kila la heri mwaya..kama yuko hapa utampata..na kama sio atakuja tu!Usisahau tu kuomba!
sina mbavu mohamedNimejaribu kukusaidia kumsechi kwenye google imenijibu NO RESULT FOUND !!!!!!
J..........Mwacheni atafute kwa njia anayoona yeye ni sahihi na sio mnavyotaka nyie!!Alafu kama urefu ni muhimu kwake then mwacheni atafute urefu..hayo mengine atamsoma mtu taratibu baada ya kuridhika na muonekano ambao ni muhimu pia kwake!!Kila la heri mwaya..kama yuko hapa utampata..na kama sio atakuja tu!Usisahau tu kuomba!
Wapendwa nawasalimu!!
Ninatumai kila mtu ana sifa za ama mke au mume anayemtaka, rafiki zangu wa JF, napenda sana nipate mume mwenye vigezo hivyo hapo nilivyovitaja lakini kila siku imekua kinyume kabisa na matarajio yangu.
1. Awe Mkirsto
2. awe mweupe
3. awe na feature ya maisha, kwani fedha hutafutwa
4. awe mrefu wa wastani
5. kuanzia miaka 30 kuendelea
Dada yangu alishawahi kunitania kuwa eti niwatongoze wale ninaowapenda na nikitu ambacho siwezi hata kujaribu kufanya. Jamani nisaidieni au ndio niendelee kusubiri ubavu wangu kutoka kwa Mungu?
Naombeni mawazo yenu, pengine nafikiri hadithi za kujenga magorofa hewani.
ndo ushawatongoza hivyo...subiria pm za kumwaga
Ni ubeijing tu umewajaa wamama wa siku hizi toka lini mume akatafutwa mume ndio alipewa jukumu la kutafuta mke, usawa usawa usawa usawa! usawa my foot. Kuna siku tulitoka safari tukapata pancha wababa wacha waanze kutwambia haya usawa sasa wamama badilisheni tairi la gari tukabaki tumeshushuka shuuuuu. mume wako kama yuko atakuja tu wewe subiri na kama hayupo hayupo tu msilazimishe mambo
Wapendwa nawasalimu!!
Ninatumai kila mtu ana sifa za ama mke au mume anayemtaka, rafiki zangu wa JF, napenda sana nipate mume mwenye vigezo hivyo hapo nilivyovitaja lakini kila siku imekua kinyume kabisa na matarajio yangu.
1. Awe Mkirsto
2. awe mweupe
3. awe na feature ya maisha, kwani fedha hutafutwa
4. awe mrefu wa wastani
5. kuanzia miaka 30 kuendelea
Dada yangu alishawahi kunitania kuwa eti niwatongoze wale ninaowapenda na nikitu ambacho siwezi hata kujaribu kufanya. Jamani nisaidieni au ndio niendelee kusubiri ubavu wangu kutoka kwa Mungu?
Naombeni mawazo yenu, pengine nafikiri hadithi za kujenga magorofa hewani.