Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 3,839
- 3,085
Kwa vijini kaka hizo mbona nyingi sana, elfu mbili mpaka tano, tshirt, kanga, pilau mbona zinatosha kabisa.Kwakweli Wa-TZ tunapoteza haki yetu ya kidemokrasia kwa fedha ndogo mno! Hicho ni kipimo kizuri cha level ya umasikini tulio nao. Mtu mzima huwezi kuhongwa sh. 20,000 au 30,000 kumbeba mtu aingie Bungeni. Ni kipimo pia cha aina ya viongozi tulio nao kuanzia juu hadi chini. Kwanini tusiwe maskini?