Mtei amefilisika kimawazo - Zitto

Debate Watanzania hatujui BILA kuwa na MATUSI personal. Mtei (pamoja na kuwa sijali udini wako wangapi wakristo au waisilamu wala sikufikiria) ila hoja yake hapa ni composition ya team.

Sasa badala ya kujadili hiyo hoja anatukanwa kuwa amefilisika kimawazo?? Tena ndio kauli za VIONGOZI wetu hao?? Badala ya kujibu hiyo hoja kwa hoja bora zaidi, tunaanza KASHFA.

Kesho keshokutwa hawa ndio viongozi wa nchi tunaowashabikia alafu nchi inakwenda ovyo tunashangaa. We as society with our mindset produce Leaders who are simply our own mirrors and then we complain!
 
Debate Watanzania hatujui BILA kuwa na MATUSI personal. Mtei (pamoja na kuwa sijali udini wako wangapi wakristo au waisilamu wala sikufikiria) ila hoja yake hapa ni composition ya team.

Sasa badala ya kujadili hiyo hoja anatukanwa kuwa amefilisika kimawazo?? Tena ndio kauli za VIONGOZI wetu hao?? Badala ya kujibu hiyo hoja kwa hoja bora zaidi, tunaanza KASHFA.

Kesho keshokutwa hawa ndio viongozi wa nchi tunaowashabikia alafu nchi inakwenda ovyo tunashangaa. We as society with our mindset produce Leaders who are simply our own mirrors and then we complain!
Duh Taasisi leo umeibukia wapi?..karibu sana.

Mkuu ktk swala la Zitto na Mtei nadhani hayakuwa matusi isipokuwa Zitto katazama athari ya maneno ya Mtei kwa sababu lazima ufahamu kwamba Tuna nchi mbili zilizo ungana. Composition ya team ni uwakilishi wa serikali mbili..Zanzibar must have its representative ambao haijalishi kwetu watawaleta watu gani nasi tunawachagua wetu hivyo madai haya yangetolewa na Wazanzibar wenyewe sii sisi wabara hata kidogo. Sheria ya kutunga katiba inajieleza wazi kwamba JK atachagua tume kutokana na ushauri wa rais wa Zanzibar kimantiki huyu ndiye atapendekeza wawakilishi wa Zanzibar.

Hizi ni nchi mbili zilizoungana swala la population halina mshiko, Na nimesema huko nyuma hata kama Zanzibar ingekuwa na watu 100 bado Katiba ingekuwa na kurasa sawa kama wangekuwa milioni 10 kwa sababu Katiba ni mwongozo wa nchi sio mwongozo wa watu kwa idadi zao.

Pili, Hatuwezi kuchanganya wajumbe wa Zanzibar na Bara kuifanya hesabu moja ikiwa ndani ya katiba kuna sehemu mbili za kikatiba. Moja inayohusu serikali ya Muungano na pili serikali ya Zanzibar, sisi bara hatuna nchi wala hatuna kaitba yetu Zanzibar wanayo yao, kwa hiyo maadam tumeisha kubali muswada ulopitishwa na Bunge hadi sasa inajulikana tuna nchi mbili tu. Hakuna dini wala makabila yanayopewa nafasi, hivyo kutafuta kuchukua wabunge wengi kutoka bara wakati hakuna nchi ili kuleta uuwiano wa kidini badala ya kudai kuundwa kwa Nchi ya Bara (Tanganyika) ni makosa yaliyotangulia utatibu wa katiba hii.

tatu kama leo tunaweza tyazama uuwiano wa dini hzi mbili kwa nini pia tusitazame uuwiano wa Makabila maana wasukuma ni asilimia kubwa sana ya makabila yetu na hawana mwakilishi ktk tume, pengine utakuta kabila dogo sana lina wawakilishi wawili. Hii ndio hatari ya mtazamo wa Mzee Mtei. Ni mzee nayemweshimu sana lakini hapa kakosea na tumkosoe kama tulivyoweza kuwakosoa kina Nyerere, Mwinyi, Mkapa na wengineo ktk maamuzi au maneno yao. Majuzi tu Mkapa kasemewa Hovyo na kijana Vicent, haikuwa kumkosea adabu isipokuwa Mkapa mwenyewe alifungua mlango wa marumbano.

Karibu sana mkuu wangu karibu.
 
Kuna neno include ambalo unajifanya hulioni. Ni kuwa katika mazungumzo yao na wafadhili kuhusu huduma hizi kwa jumla, watachomekea haja ya kusaidia HUDUMA zinazoendeshwa na taasisi za Kanisa. Hawataondoka kwenda ujerumani kuombea msaada kanisa. Hilo watafanya wamisheni wenyewe na halipo katika MoU hii. Wewe mwenyewe ulitubandikia bandiko linaloainisha kuwa taasisi hizi zinamiliki zaidi ya asilimia 50 ya shule za sekondari, vyuo na hospitali hapa nchini. Hivi zikitetereka, nani atakayeumia zaidi kama sio sisi watanzania wa kawaida (bila kujali dini zao) ambao tunategemea huduma zao? Pamoja na kuona kuwa ninawatukana, hamuwezi kulinganisha mchango wao katika huduma hizi na zile zinazotolewa na taasisi za dini nyingine na watu binafsi. Serikali iliwanyang'anya na ilishindwa kuziendesha. Leo wamewarudishia, huduma zimeboreshwa lakini mnaona soni kwa vile tu ni wakristu?

Serikali imekaribisha taasisi nyingine zishirikiane nae (hata kwa kuweka MoU kama hii) nazo zimekataa. Badala ya kuchangamkia ili wananchi wa kawaida wafaidike, mnabakia kudai hata hicho chema kiharibiwe ili mkose wote.

Halafu mnajifanya si wadini!

Amandla....

Sisi Siyo WADINI hata kidogo. sisi tunatetea katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. HATA KAMA KANISA LINGEKUWA LINATOA HUDUMA HIZO BURE, SO LONG AS MKATABA WAKE NA SERIKALI UNAVUNJA KATIBA SISI TUTAENDELEA KUPIGA KELELE TU!.

Ndani ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania toleo la mwaka 2008 kipengele cha 20-2 kinasema. "WITHOUT PREJUDICE TO THE RELEVANT LAWS OF THE UNITED REPUBLIC, THE PROFESSION OF RELIGION WORSHIP AND PROPAGATION OF RELIGION SHALL BE FREE AND THE PRIVATE AFFAIR OF AN INDIVIDUAL. THE AFFAIRS AND MANAGEMENT OF THE RELIGIOUS BODIES SHALL NOT BE PART OF ACTIVITIES OF THE STATE AUTHORITY"

Hebu angalia hiyo sentensi niliyoipigia Msitari, ni dhahir Serikali inapofanya juhudi "Kuinclude(kujumuisha) Interests za Taasisi za kanisa Pindi ifanyapo majadiliano na Serikali za Kigeni hususan Ujerumani inakuwa Inavunja Kipengele hicho. Serikali inatakiwa ILIACHE KANISA LENYEWE LIKAFANYE MAZUNGUMZO NA WAHISANI HUSIKA.

TATIZO SIYO UDINI BWANA FUNDI MCHUNDO, TATIZO NI KWAMBA KATIBA YA NCHI INAVUNJWA NA MOU, WAPENDA NCHI YETU WASIO WADINI NI LAZIMA WASIMAME KIDETE KULINDA KATIBA YETU. TATIZO LAKO NI KWAMBA WEWE UNATETEA KANISA, SISI TUNATETEA KATIBA YA NCHI.

KAMA KWELI UNA UCHUNGU NA WATANZANIA UNGANA NA SISI KUISHINIKIZA SERIKALI ILIACHE KANISA LIENDELEE KUTOA HUDUMA KWA KUJITEGEMEA NA KWA NJIA FAIR ZA USHINDANI SAWA NA WADAU WENGINE BILA FOVOURATISM, LIKITOA HUDUMA NZURI KWA BEI NZURI NA KAMA HALINA UBAGUZI WATU WATAKWENDA TU. KWANI SERIKALI IKIACHA KUWAPA MABILIONI YA PESA ZA UMMA KANISA LITAACHA JUHUDI ZA KUWAPA HUDUMA KONDOO?

LAKINI TUISHINIKIZE SERIKALI ITUMIE PESA ZAKE INAZOZIPA KANISA KILA MWAKA KUJENGA VITU VYAKE, NA KUVISIMAMIA VIZURI, MAANA CHA SERIKALI NDIYO KIMBILIO LA WOTE. SERIKALI KUSHINDWA KUSIMAMIA MASHULE AU TAASISI YOYOTE SIYO KISINGIZIO CHA KUWEKA HATMA YA TAIFA ZIMA MIKONONI MWA KANISA, KINACHOTAKIWA NI KWA SERIKALI ALWAYS KUFANYA JUHUDI KUBORESHA.

KUISHINIKIZA SERIKALI KUJENGA VYA KWAKE SIMAANISHI SERIKALI IZUIE TAASISI BINAFSI, AU MASHIRIKA YA KIDINI NAO KUJENGA VITU VYAO, NAMAANISHA KWAMBA MASHIRIKA HAYO YASIMAME YENYEWE, KAMA NI KUSAIDIWA NA SERIKALI BASI YAPEWE MIKOPO,NA KAMA SERIKALI IKIAMUA KUYAPIGA TAFU BASI IYAPIGE TAFU KWA KUZINGATIWA PRICIPLE YA EQUALITY, NA HILO HALIHITAJI KILA MMOJA AWE NA MOU YAKE. KWA MAANA SO FAR TAASISI ZA KANISA KWA SASA ZINAPENDELEWA DHIDI YA NYINGINE KIASI KWAMBA ZINAPIGIWA HATA CHAPUO SERIKALI YETU IKIENDA KUDISCUS DEALS AU KUTEMBEZA KIKOMBE HUKO KWA WENZETU
 
Kama kweli amesema hivyo atakua amefilisika tena sana,unless awe na ushahidi kuwa hao walioteuliwa waliteuliwa kwa msingi wa dini zao!
 
Fundi Mchundo,
Ndugu yangu wee mbona umepotosha zaidi vitu. Grant pamoja na kuwa hairudi hutolewa kwa specific project na hutolewa mara moja sio kitu cha kuendelea kila mwaka kwa chombo au mtu yule yule. JK alisema wazi mwaka jana tu kwamba yeye sio mdini kisha wapa kanisa Billioni 600. Na hata siku moja haiwezi kuwa kitu cha faida yaani kuziwezesha Shule na Hospital zifanye biashara. Hii sio grant kwa ufahamu wangu.

Labda nikukumbushe tu ya kwamba trunachozungumzia ni ARTICAL ONE, the establishment of the institution bila kuwahusisha wadau wengine. Haya unayoongea ya katikati ni miungo tu vya kuwepo kwa chombo hicho. Ni sawa na Muafaka wa CUF haukufaa kuwepo sasa haya ya Maalim Seif kuwa makamu wa rais wa Zanzibar ni kuundwa vyeo na kazi ambazo hazikuruhusiwa kikatiba.

Artical one inasema hivi:-
1. There shall be A GOVERNMENT body to be known as The Chriatian Social Service Commission (herein after to be known as "Commission") whose primary functions shall be:- Blaa blaa blaaa..

Sasa kikatiba huu muundo wa Government body inayoitwa CSSC ndipo tunapokwazwa..Sijui wapi unashindwa kuelewa maana nimechoka kendelea ku bishana wakati kitu kipo wazi kabisa. Ama kweli ndio maana Lowassa anapendwa sana.

Mimi ndio maana nawaita wadini hasa mnapopotosha vitu kwa makusudi ili vi-suit agenda yenu. Article 1 inasema " There shall be a GOVERNING body ......." Governing ni tofauti kabisa na government. Governing ina maana uongozi, na article hii ina maana " patakuwa na chombo cha UONGOZI ( si serikali) kitakachoitwa The Christian Social Service Commission... Hapa serikali imeingiaje? Governing body ya mchezo wa mpira nchini ni Tanzania Football Federation na haina maana kuwa TFF ni sehemu ya serikali!

Unafanya makosa hayo hayo kuhusu neno "grant". Hakuna mahali panaposema grant hutolewa mara moja (hilo la specific project sijakuelewa. Unaweza kupewa grant mara kibao ili mradi unatimiza masharti ya watoaji ambayo mara nyingi ni kuwapa taarifa ya matumizi yako ya "grant" hiyo na faida iliyotokana na matumizi hayo.

Nimeanza kupata wasi wasi na uelewa wako kama hauwezi kutofautisha Governing na Government, Grant na Loan, Ujerumani na Federal Republic of Germany. Kama unafanya makusudi, basi ni dalili udini umekubana kiasi penye bluu unaona nyekundu.

Amandla......
 
Sisi Siyo WADINI hata kidogo. sisi tunatetea katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. HATA KAMA KANISA LINGEKUWA LINATOA HUDUMA HIZO BURE, SO LONG AS MKATABA WAKE NA SERIKALI UNAVUNJA KATIBA SISI TUTAENDELEA KUPIGA KELELE TU!.

Ndani ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania toleo la mwaka 2008 kipengele cha 20-2 kinasema. "WITHOUT PREJUDICE TO THE RELEVANT LAWS OF THE UNITED REPUBLIC, THE PROFESSION OF RELIGION WORSHIP AND PROPAGATION OF RELIGION SHALL BE FREE AND THE PRIVATE AFFAIR OF AN INDIVIDUAL. THE AFFAIRS AND MANAGEMENT OF THE RELIGIOUS BODIES SHALL NOT BE PART OF ACTIVITIES OF THE STATE AUTHORITY"

Hebu angalia hiyo sentensi niliyoipigia Msitari, ni dhahir Serikali inapofanya juhudi "Kuinclude(kujumuisha) Interests za Taasisi za kanisa Pindi ifanyapo majadiliano na Serikali za Kigeni hususan Ujerumani inakuwa Inavunja Kipengele hicho. Serikali inatakiwa ILIACHE KANISA LENYEWE LIKAFANYE MAZUNGUMZO NA WAHISANI HUSIKA.

TATIZO SIYO UDINI BWANA FUNDI MCHUNDO, TATIZO NI KWAMBA KATIBA YA NCHI INAVUNJWA NA MOU, WAPENDA NCHI YETU WASIO WADINI NI LAZIMA WASIMAME KIDETE KULINDA KATIBA YETU. TATIZO LAKO NI KWAMBA WEWE UNATETEA KANISA, SISI TUNATETEA KATIBA YA NCHI.

KAMA KWELI UNA UCHUNGU NA WATANZANIA UNGANA NA SISI KUISHINIKIZA SERIKALI ILIACHE KANISA LIENDELEE KUTOA HUDUMA KWA KUJITEGEMEA NA KWA NJIA FAIR ZA USHINDANI SAWA NA WADAU WENGINE BILA FOVOURATISM, LIKITOA HUDUMA NZURI KWA BEI NZURI NA KAMA HALINA UBAGUZI WATU WATAKWENDA TU. KWANI SERIKALI IKIACHA KUWAPA MABILIONI YA PESA ZA UMMA KANISA LITAACHA JUHUDI ZA KUWAPA HUDUMA KONDOO?

LAKINI TUISHINIKIZE SERIKALI ITUMIE PESA ZAKE INAZOZIPA KANISA KILA MWAKA KUJENGA VITU VYAKE, NA KUVISIMAMIA VIZURI, MAANA CHA SERIKALI NDIYO KIMBILIO LA WOTE. SERIKALI KUSHINDWA KUSIMAMIA MASHULE AU TAASISI YOYOTE SIYO KISINGIZIO CHA KUWEKA HATMA YA TAIFA ZIMA MIKONONI MWA KANISA, KINACHOTAKIWA NI KWA SERIKALI ALWAYS KUFANYA JUHUDI KUBORESHA.

KUISHINIKIZA SERIKALI KUJENGA VYA KWAKE SIMAANISHI SERIKALI IZUIE TAASISI BINAFSI, AU MASHIRIKA YA KIDINI NAO KUJENGA VITU VYAO, NAMAANISHA KWAMBA MASHIRIKA HAYO YASIMAME YENYEWE, KAMA NI KUSAIDIWA NA SERIKALI BASI YAPEWE MIKOPO,NA KAMA SERIKALI IKIAMUA KUYAPIGA TAFU BASI IYAPIGE TAFU KWA KUZINGATIWA PRICIPLE YA EQUALITY, NA HILO HALIHITAJI KILA MMOJA AWE NA MOU YAKE. KWA MAANA SO FAR TAASISI ZA KANISA KWA SASA ZINAPENDELEWA DHIDI YA NYINGINE KIASI KWAMBA ZINAPIGIWA HATA CHAPUO SERIKALI YETU IKIENDA KUDISCUS DEALS AU KUTEMBEZA KIKOMBE HUKO KWA WENZETU

Ni wapi katika MoU ambapo panasema serikali itashiriki katika masuala ya uongozi wa Kanisa? Kinachozungumziwa ni msaada katika shughuli za kijamii zinazofanywa na taasisi za kanisa, shughuli ambazo taasisi hizi ndio mbia mkubwa wa serikali.Shughuli ambazo zinamfaidia raia wa nchi hii bila kujali dini yake. Kuna ubaya gani kwa serikali katika mazungumzo yake na wajerumani kusema kuwa kuna ka-hospitali huko Kibondo (mfano tu) kinachoongozwa na wakatoliki ambacho kinahitaji msaada wa dawa hasa kama hiyo hospitali ndiyo pekee iliyopo? Hao wakina Kariuki, TMJ, Regency, Tumaini, Aga Khan umewaona lini Matombo? Hawaendi ambako hakuna tija, na ni taasisi za makanisa peke yao wanaojipeleka huko pamoja na serikali. Kinakuuma nini hawa wakisaidiwa kama sio udini?

Kama Shakespeare alivyosema " Thou protest too much" kuhusu udini wako, lazima kuna ukweli.

Amandla....
 
Ni wapi katika MoU ambapo panasema serikali itashiriki katika masuala ya uongozi wa Kanisa? Kinachozungumziwa ni msaada katika shughuli za kijamii zinazofanywa na taasisi za kanisa, shughuli ambazo taasisi hizi ndio mbia mkubwa wa serikali.Shughuli ambazo zinamfaidia raia wa nchi hii bila kujali dini yake. Kuna ubaya gani kwa serikali katika mazungumzo yake na wajerumani kusema kuwa kuna ka-hospitali huko Kibondo (mfano tu) kinachoongozwa na wakatoliki ambacho kinahitaji msaada wa dawa hasa kama hiyo hospitali ndiyo pekee iliyopo? Hao wakina Kariuki, TMJ, Regency, Tumaini, Aga Khan umewaona lini Matombo? Hawaendi ambako hakuna tija, na ni taasisi za makanisa peke yao wanaojipeleka huko pamoja na serikali. Kinakuuma nini hawa wakisaidiwa kama sio udini?

Kama Shakespeare alivyosema " Thou protest too much" kuhusu udini wako, lazima kuna ukweli.

Amandla....

Najua unajaribu sana "KUDOWN PLAY" MANENO, NA "KUOMMIT" BAADHI YA MANENO YA SHERIA NA PIA KUTUMIA SYMPATHY TECHNIQUE ILI KUZIBA HII GROSS VIOLATION YA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ILI KULILINDA KANISA.

NIMEKUPA KIPENGELE CHA KATIBA KINACHOKATAZA SERIKALI KUJIHUSISHA NA "THE AFFAIRS AND MANAGEMENT OF THE RELIGIOUS BODIES SHALL NOT BE PART OF ACTIVITIES OF THE STATE AUTHORITY"

UMEOMITT AFFAIRS NA KUZUNGUMZIA MANAGEMENT TU. ILIPOUNDWA HIYO "COMMISION" INAYOTOKANA NA MOU TAYARI HIYO NI RELIGIOUS BODY, NA AFFAIR ZAKE NI HIZO KUMAKE SURE INAJENGA, KUBORESHA MASHULE, MAHOSPITALI N.K- SERIKALI INAJIHUSISHA VIPI NA "AFFAIR" ZAKE?- NI PALE INAPOTUMIA MAMLAKA YAKE YA MAJADILIANO NA NCHI ZA KIGENI KUINGIZA AJENDA ZA HIYO COMMISSION(RELIGIOUS BODY) KAMA MAKUBALIANO YA MOU YANAVYOSEMA.

JE SHUGHULI ZA KANISA ZIPEWE BLANK CHEQUE KWA SABABU RAIA WANANUFAIKA?- HAPANA HATA KIDOGO, NI LAZIMA KATIBA NA SHERIA ZA NCHI ZILINDWE!. NAAMINI KABISA KANISA LINAWEZA KUOPERATE KWA KUFUATA SHERIA BILA KUVUNJA KATIBA YA NCHI NA WANANCHI BADO WAKANUFAIKA NA WAO WAKAENDELEA KUFANYA BIASHARA NZURI TU KWA SABABU SO FAR HII WANAYOFANYA NI BIASHARA.

KATIBA YA NCHI INASEMA PIA ".....FAVOURATISM...." IS PROHIBITED UNDER THIS CONSTITUTION, NI DHAHIRI BASI KWA MOU HII SERIKALI KUGUARANTEE KUZIPA TAASISI ZA KANISA MABILIONI YA PESA ZA UMMA KILA MWAKA NA PIA IKATUMIA RUNGU LAKE LA MAJADILIANO NA SERIKALI ZA KIGENI KWA AJILI YA KUJUMUISHA INTEREST ZA MIRADI YA KANISA, WAKATI TAASISI NYINGINE ZINAZOTOA HUDUMA KAMA ZA KANISA HAZIPATI HIYO FAVOUR, NI FAVOURATISM YA HALI YA JUU, NA KWA MSINGI HUU KATIBA IMEVUNJWA PIA. SASA USIANZE KUSEMA MBONA WANANCHI WANANUFAIKA, WELL HATA KAMA WANANUFAIKA, SO LONG AS KATIBA YA NCHI INAVUNJWA BASI JUA KWAMBA KUNA WANANCHI WASIONUFAIKA, NA PIA NI HATARI KUBWA SANA KWA MSINGI WA FAIRNESS NA JUSTICE UNAKUWA UMEVUNJWA VIBAYA SANA.

AKINA KAIRUKI, TMJ, N.K KUTOKUWA KWAO MATOMBO AU IBWERA AU WAPI, SI HOJA YA MSINGI YA SERIKALI KUVUNJA KATIBA INAYOKATAZA "FAVOURATISM" KATIKA SHUGHULI ZAKE, KWA MAANA MTANZANIA WA MATOMBO HANA HAKI YA KIAFYA ZAIDI KULIKO MTANZANIA WA MANZESE AU BUGURUNI KWA MNYAMANI ANAYEKWENDA KUTIBIWA TMJ AU KWA KAIRUKI. HATA KAMA TMJ WAKIAMUA KUFUNGUA HOSPITALI HUKO MATOMBO, TAYARI MAZINGIRA YA USHINDANI USIO SAWA UMESHAWEKWA NA MOU KUZIPA ADVANTAGE TAASISI ZA KANISA KUTOKANA NA MABILIONI WANAYOPEWA KILA MWAKA.

TATIZO BWANA FUNDI MCHUNDO UNATUMIA "EMOTION" KATIKA KULIANGALIA SUALA HILI BADALA YA KULIANGALIA KATIKA ANGLE YA KANUNI NA USAWA WA WADAU KIKATIBA. HEBU KUWA "RATIONAL" KIDOGO NA JIVUE HILO GAMBA LA "KANISA FIRST, KATIBA NA USAWA WA WADAU WENGINE CAN GO TO HELL".

FUNDI MCHUNDO, KWANI KANISA HALIWEZI KUFANYA SHUGHULI ZAKE KATIKA MAZINGIRA YA USAWA YA KIUSHINDANI DHIDI YA WADAU WENGINE NA HAKI?.

MIMI NAAMINI HATA KAMA SERIKALI ITALIACHA KANISA KUFANYA SHUGHULI ZAKE BILA KULIPA MAPESA YA UMMA, KANISA BADO LITAWEZA TU, KWA SABABU HUDUMA ZA KIJAMII NI FALSAFA AMBAYO KANISA IMESHAJIJENGEA TOKA MAMIA YA MIAKA HUKO KALE- NA UKIZINGATIA THIS TIME KWAMBA "SI HUDUMA TU BALI NI BIASHARA PIA" BASI KANISA LIFANYE BIASHARA ZAKE NA LISIJIFICHE NYUMA YA MGONGO WA HUDUMA ZA JAMII KUJICHOTEA PESA ZA UMMA, WAKATI WADAU WENGINE WAKITOKA KAPA, WAPI USAWA MBELE YA SHERIA.

NA SERIKALI IACHE KUIWEKA HATMA YETU HUSUSAN HUDUMA ZA MSINGI KAMA VILE SHULE NA HOSPITALI KATIKA HISANI YA TAASISI ZA WATU BINAFSI/DINI- ITUMIE MAPESA INAYOIPA KANISA KILA MWAKA KUJENGA VITU VYAKE, NA KUBORESHA VITU VYAKE- NAAMINI SERIKALI IKIFANIKIWA NI JAMBO ZURI HATA KWA KANISA LENYEWE , KWA MAANA KONDOO WAO STILL WATAPATA HUDUMA. SERIKALI IKIFANYA HIVI ITAPANUA WIGO WA HUDUMA, KWA MAANA WATU WATAKUWA NA CHOICE NZURI, EITHER WATAKWENDA KWA WATU BINAFSI/ TAASISI ZA DINI- AU WATAKWENDA SERIKALINI.
 
Sisi Siyo WADINI hata kidogo. sisi tunatetea katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. HATA KAMA KANISA LINGEKUWA LINATOA HUDUMA HIZO BURE, SO LONG AS MKATABA WAKE NA SERIKALI UNAVUNJA KATIBA SISI TUTAENDELEA KUPIGA KELELE TU!.

Ndani ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania toleo la mwaka 2008 kipengele cha 20-2 kinasema. "WITHOUT PREJUDICE TO THE RELEVANT LAWS OF THE UNITED REPUBLIC, THE PROFESSION OF RELIGION WORSHIP AND PROPAGATION OF RELIGION SHALL BE FREE AND THE PRIVATE AFFAIR OF AN INDIVIDUAL. THE AFFAIRS AND MANAGEMENT OF THE RELIGIOUS BODIES SHALL NOT BE PART OF ACTIVITIES OF THE STATE AUTHORITY"

Hebu angalia hiyo sentensi niliyoipigia Msitari, ni dhahir Serikali inapofanya juhudi "Kuinclude(kujumuisha) Interests za Taasisi za kanisa Pindi ifanyapo majadiliano na Serikali za Kigeni hususan Ujerumani inakuwa Inavunja Kipengele hicho. Serikali inatakiwa ILIACHE KANISA LENYEWE LIKAFANYE MAZUNGUMZO NA WAHISANI HUSIKA.

TATIZO SIYO UDINI BWANA FUNDI MCHUNDO, TATIZO NI KWAMBA KATIBA YA NCHI INAVUNJWA NA MOU, WAPENDA NCHI YETU WASIO WADINI NI LAZIMA WASIMAME KIDETE KULINDA KATIBA YETU. TATIZO LAKO NI KWAMBA WEWE UNATETEA KANISA, SISI TUNATETEA KATIBA YA NCHI.

KAMA KWELI UNA UCHUNGU NA WATANZANIA UNGANA NA SISI KUISHINIKIZA SERIKALI ILIACHE KANISA LIENDELEE KUTOA HUDUMA KWA KUJITEGEMEA NA KWA NJIA FAIR ZA USHINDANI SAWA NA WADAU WENGINE BILA FOVOURATISM, LIKITOA HUDUMA NZURI KWA BEI NZURI NA KAMA HALINA UBAGUZI WATU WATAKWENDA TU. KWANI SERIKALI IKIACHA KUWAPA MABILIONI YA PESA ZA UMMA KANISA LITAACHA JUHUDI ZA KUWAPA HUDUMA KONDOO?

LAKINI TUISHINIKIZE SERIKALI ITUMIE PESA ZAKE INAZOZIPA KANISA KILA MWAKA KUJENGA VITU VYAKE, NA KUVISIMAMIA VIZURI, MAANA CHA SERIKALI NDIYO KIMBILIO LA WOTE. SERIKALI KUSHINDWA KUSIMAMIA MASHULE AU TAASISI YOYOTE SIYO KISINGIZIO CHA KUWEKA HATMA YA TAIFA ZIMA MIKONONI MWA KANISA, KINACHOTAKIWA NI KWA SERIKALI ALWAYS KUFANYA JUHUDI KUBORESHA.

KUISHINIKIZA SERIKALI KUJENGA VYA KWAKE SIMAANISHI SERIKALI IZUIE TAASISI BINAFSI, AU MASHIRIKA YA KIDINI NAO KUJENGA VITU VYAO, NAMAANISHA KWAMBA MASHIRIKA HAYO YASIMAME YENYEWE, KAMA NI KUSAIDIWA NA SERIKALI BASI YAPEWE MIKOPO,NA KAMA SERIKALI IKIAMUA KUYAPIGA TAFU BASI IYAPIGE TAFU KWA KUZINGATIWA PRICIPLE YA EQUALITY, NA HILO HALIHITAJI KILA MMOJA AWE NA MOU YAKE. KWA MAANA SO FAR TAASISI ZA KANISA KWA SASA ZINAPENDELEWA DHIDI YA NYINGINE KIASI KWAMBA ZINAPIGIWA HATA CHAPUO SERIKALI YETU IKIENDA KUDISCUS DEALS AU KUTEMBEZA KIKOMBE HUKO KWA WENZETU

Well stated, salute mkuu!
 
Kauli ya mzee Mtei hailingani na hadhi yake na ,lakini pia haishangazi maana hata kwenye kampeni za arusha mgombea aloshinda akasimamishwa na mahakama aliwahi kusema wananchi wasimchague mvaa hijab watakaribisha ALSHABAB hapa tz.

Najiuliza kauli kama hizi lengo lake nini haswa maana na wengine nao wakianza kukashfu dini za wenzao nchi yetu itakuwaje au ndiyo tunayataka madaraka hata kwa mgongo wa dini.THIS IS NOT POLITICLAL THAT WE NEED. Tujifunze kuheshimu imani/dini za watu wengine ili kuepusha dhana kwamba kuna vyama vinaungwa mkono na makundi fulani ya viongozi wa dini
 
Nilikuwa sijui kama kuna mikataba au makubaliano makubwa kama yale ya kanisa na serikali yaliyopo kwenye memorundum of understanding yanayoweza kusainiwa kinyemela bila hata kupata baraka za bunge.

Kuondoa mtafaruku uliyopo kuhusiana na huu mkataba ni vizuri uwekwe bayana bungeni ujadiliwe na wabunge wetu ili kuondoa huo usiri uliogubika
 
Yamesemwa mengi ya memorandum of understanding, lakini mimi nafikiri waislamu hawazuiwi kuingia memorandum kama hiyo kama wanataka. Kama hiyo memorandum ina kasoro basi zitazamwe hizo wahusika wakazirekebishe, lakini haki ya kuingia mikataba kila mtu anayo.
 
Najua unajaribu sana "KUDOWN PLAY" MANENO, NA "KUOMMIT" BAADHI YA MANENO YA SHERIA NA PIA KUTUMIA SYMPATHY TECHNIQUE ILI KUZIBA HII GROSS VIOLATION YA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ILI KULILINDA KANISA.

NIMEKUPA KIPENGELE CHA KATIBA KINACHOKATAZA SERIKALI KUJIHUSISHA NA "THE AFFAIRS AND MANAGEMENT OF THE RELIGIOUS BODIES SHALL NOT BE PART OF ACTIVITIES OF THE STATE AUTHORITY"

UMEOMITT AFFAIRS NA KUZUNGUMZIA MANAGEMENT TU. ILIPOUNDWA HIYO "COMMISION" INAYOTOKANA NA MOU TAYARI HIYO NI RELIGIOUS BODY, NA AFFAIR ZAKE NI HIZO KUMAKE SURE INAJENGA, KUBORESHA MASHULE, MAHOSPITALI N.K- SERIKALI INAJIHUSISHA VIPI NA "AFFAIR" ZAKE?- NI PALE INAPOTUMIA MAMLAKA YAKE YA MAJADILIANO NA NCHI ZA KIGENI KUINGIZA AJENDA ZA HIYO COMMISSION(RELIGIOUS BODY) KAMA MAKUBALIANO YA MOU YANAVYOSEMA.

JE SHUGHULI ZA KANISA ZIPEWE BLANK CHEQUE KWA SABABU RAIA WANANUFAIKA?- HAPANA HATA KIDOGO, NI LAZIMA KATIBA NA SHERIA ZA NCHI ZILINDWE!. NAAMINI KABISA KANISA LINAWEZA KUOPERATE KWA KUFUATA SHERIA BILA KUVUNJA KATIBA YA NCHI NA WANANCHI BADO WAKANUFAIKA NA WAO WAKAENDELEA KUFANYA BIASHARA NZURI TU KWA SABABU SO FAR HII WANAYOFANYA NI BIASHARA.

KATIBA YA NCHI INASEMA PIA ".....FAVOURATISM...." IS PROHIBITED UNDER THIS CONSTITUTION, NI DHAHIRI BASI KWA MOU HII SERIKALI KUGUARANTEE KUZIPA TAASISI ZA KANISA MABILIONI YA PESA ZA UMMA KILA MWAKA NA PIA IKATUMIA RUNGU LAKE LA MAJADILIANO NA SERIKALI ZA KIGENI KWA AJILI YA KUJUMUISHA INTEREST ZA MIRADI YA KANISA, WAKATI TAASISI NYINGINE ZINAZOTOA HUDUMA KAMA ZA KANISA HAZIPATI HIYO FAVOUR, NI FAVOURATISM YA HALI YA JUU, NA KWA MSINGI HUU KATIBA IMEVUNJWA PIA. SASA USIANZE KUSEMA MBONA WANANCHI WANANUFAIKA, WELL HATA KAMA WANANUFAIKA, SO LONG AS KATIBA YA NCHI INAVUNJWA BASI JUA KWAMBA KUNA WANANCHI WASIONUFAIKA, NA PIA NI HATARI KUBWA SANA KWA MSINGI WA FAIRNESS NA JUSTICE UNAKUWA UMEVUNJWA VIBAYA SANA.

AKINA KAIRUKI, TMJ, N.K KUTOKUWA KWAO MATOMBO AU IBWERA AU WAPI, SI HOJA YA MSINGI YA SERIKALI KUVUNJA KATIBA INAYOKATAZA "FAVOURATISM" KATIKA SHUGHULI ZAKE, KWA MAANA MTANZANIA WA MATOMBO HANA HAKI YA KIAFYA ZAIDI KULIKO MTANZANIA WA MANZESE AU BUGURUNI KWA MNYAMANI ANAYEKWENDA KUTIBIWA TMJ AU KWA KAIRUKI. HATA KAMA TMJ WAKIAMUA KUFUNGUA HOSPITALI HUKO MATOMBO, TAYARI MAZINGIRA YA USHINDANI USIO SAWA UMESHAWEKWA NA MOU KUZIPA ADVANTAGE TAASISI ZA KANISA KUTOKANA NA MABILIONI WANAYOPEWA KILA MWAKA.

TATIZO BWANA FUNDI MCHUNDO UNATUMIA "EMOTION" KATIKA KULIANGALIA SUALA HILI BADALA YA KULIANGALIA KATIKA ANGLE YA KANUNI NA USAWA WA WADAU KIKATIBA. HEBU KUWA "RATIONAL" KIDOGO NA JIVUE HILO GAMBA LA "KANISA FIRST, KATIBA NA USAWA WA WADAU WENGINE CAN GO TO HELL".

FUNDI MCHUNDO, KWANI KANISA HALIWEZI KUFANYA SHUGHULI ZAKE KATIKA MAZINGIRA YA USAWA YA KIUSHINDANI DHIDI YA WADAU WENGINE NA HAKI?.

MIMI NAAMINI HATA KAMA SERIKALI ITALIACHA KANISA KUFANYA SHUGHULI ZAKE BILA KULIPA MAPESA YA UMMA, KANISA BADO LITAWEZA TU, KWA SABABU HUDUMA ZA KIJAMII NI FALSAFA AMBAYO KANISA IMESHAJIJENGEA TOKA MAMIA YA MIAKA HUKO KALE- NA UKIZINGATIA THIS TIME KWAMBA "SI HUDUMA TU BALI NI BIASHARA PIA" BASI KANISA LIFANYE BIASHARA ZAKE NA LISIJIFICHE NYUMA YA MGONGO WA HUDUMA ZA JAMII KUJICHOTEA PESA ZA UMMA, WAKATI WADAU WENGINE WAKITOKA KAPA, WAPI USAWA MBELE YA SHERIA.

NA SERIKALI IACHE KUIWEKA HATMA YETU HUSUSAN HUDUMA ZA MSINGI KAMA VILE SHULE NA HOSPITALI KATIKA HISANI YA TAASISI ZA WATU BINAFSI/DINI- ITUMIE MAPESA INAYOIPA KANISA KILA MWAKA KUJENGA VITU VYAKE, NA KUBORESHA VITU VYAKE- NAAMINI SERIKALI IKIFANIKIWA NI JAMBO ZURI HATA KWA KANISA LENYEWE , KWA MAANA KONDOO WAO STILL WATAPATA HUDUMA. SERIKALI IKIFANYA HIVI ITAPANUA WIGO WA HUDUMA, KWA MAANA WATU WATAKUWA NA CHOICE NZURI, EITHER WATAKWENDA KWA WATU BINAFSI/ TAASISI ZA DINI- AU WATAKWENDA SERIKALINI.
(1) Every person has the right to freedom of thought or conscience, belief or faith, and choice in matters of religion, including the freedom to change his religion or faith.
(2) Without prejudice to the relevant laws of the United Republic the profession of religion, worship and propagation of religion shall be free and a private affair of an individual; and the affairs and management of religious bodies shall not be part of the activities of the State authority

Ulisahau comma kati ya religion na worship, inabadilisha sana maana ya article hii.

Kinachozungumzia hapa ni masuala na uongozi wa "taasisi" za kidini yanayoendana na imani yao. Ndio maana sentensi imetangulizwa na kwa suala la kuamini, kuabudu na kusambaza dini litakuwa huru na mtu binafsi (si serikali). Kazi zinazofanywa na taasisi hizi nje ya kutangaza na kuhubiri imani zao hazibanwi na hiki kipengele.

Sasa kwa kujibu hoja yako tuanze na historia la sakata zima.

  • Baada tu ya nchi yetu kupata uhuru, taasisi za kikristu zilikuwa ndio wamiliki na waendeshaji wakubwa wa shule za sekondari na vituo vya afya hapa nchini nje ya serikali (kuna wengine wanaweza kudai hata kuliko serikali). Shule na vituo hivi vilikuwa sehemu zote za Tanzania bara kuanzia mijini hadi vijijini.
  • Serikali ilitaifisha shule hizi na hospitali (sidhani kama walitaifisha vituo vya afya) katika miaka ya 60.
  • Taasisi za kidini wakati huo ziliendelea kuhudumia vituo vya afya kwa kutoa huduma kwa wananchi bila kubagua.
  • Zaidi ya miaka 30 baada ya kutaifisha hali na huduma katika nyingi ya shule na hospitalizilizokuwa zimetaifishwa zilikuwa mbaya. Serikali ikaona kuna haja ya kujipunguzia mzigo huo kwa kuzirudishia taasisi hizo (wamiliki wake wa awali) shule na hospitali ambazo chini ya usimamizi wake (wa serikali) zilikuwa zimeharibika vibaya (pamoja na kukosa vitendea kazi) .
  • Taasisi za kanisa zilikubali kwa masharti ya kuhakikishiwa kuwa serikali haitakuja kuwanyang'anya tena na kuwa itajitahidi kuwasaidia kupata msaada wa kuzirudisha katika hali yake ya awali. Tukumbuke kuwa uharibifu wote huo ulifanyika chini ya usimamizi wa serikali. Serikali ikaafik.
  • Taasisi za kanisa zimekarabati nyingi ya shule na hospitali walizorejeshewa. Pia zimeboresha huduma zinazotolewa na shule na hospitali hizo. Zaidi ya hayo, kutokana na ahadi iliyowekwa na serikali ya kutotaifisha tena mali zao, taasisi hizi zimewekeza zaidi kwenye elimu ya juu kwa kujenga/kupanua shule na vyuo kikuu vipya.
  • Taasisi za kikristu sasa hivi zimerudia kuwa ndiye mtoaji mkubwa wa huduma hizi nje ya serikali. Nakala aliyoibandika Gamba la Nyoka, inasema kuwa taasisi hizi zinatoa zaidi ya asilimia 50 ya huduma hizo.
  • Huduma zote hizi zinatolewa bila kujali anayehudumiwa kama ni wa dini gani.
  • Ada inayotozwa na shule na vituo vya afya vinavyoendeshwa na taasisi hizo bado ni nafuu ukilinganisha na zile zinazotozwa na taasisi nyingine na watu binafsi wanaotoa huduma za kiwango kile kile. Linganisha ada za Loyola, St. Anthony, St. Marian na Feza. Bugando, KCMC na Aga Khan, Regency, TMJ n.k.
Sasa tutazame msimamo wenu kuwa serikali isingeingia MoU na taasisi za kanisa. Ambacho kingefuata ni taasisi hizi kukataa kupokea hizo shule na hospitali kutoka serikalini na matokeo yake yangekuwa kama ifuatavyo:
  • Shule ya Forodhani ingefanana na shule ya Tambaza.
  • Hospitali za KCMC na Bugando zingekuwa hazina tofauti na Muhimbili.
  • Pasingekuwepo na Vyuo Vikuu vya Tumaini, St. Joseph kwa sababu ya hofu ya kupokonywa tena na serikali.
Mnapodai kuwa serikali isifanye jitihada za kuzipatia taasisi hizi misaada, mna maana kuwa zijiendeshe kibiashara (ukitaka kujua maana yake angalia ada za Aga Khan, Regency ulinganishe na Mbagala Mission) au zitegemee sadaka na michango kutoka kwa waumini wake peke yake? Zikitegemea michango na sadaka kutoka kwa waumini wake peke yake, nini kitawazuia ama kusema watawahudumia hao peke yao au watawapa waumini wake unafuu katika ada (kwa sababu wanachangia) na wengine kutozwa ile ya soko huria. Katika hali hizo zote, atakayeumia ni mwananchi wa kawaida ( Kama vile ilivyokuwa Mbagala Mission) na si wakina Gamba la Nyoka wenye uwezo wa kuingia kwenye mtandao kila wakitaka. Mnadhani pengo ambalo litakuwepo kama taasisi za kikristu zikibadilisha msimamo wao kwenye kutoa huduma hizi zitaweza kuzibwa na taasisi za dini nyingine au watu binafsi? Wenzetu waislamu wameendeleza vipi Chuo Kikuu cha toka wamepewa? Kuna dispensari ngapi za Aga Khan (muislamu wa kishia) na watu binafsi Matombo?

Ukweli ni kuwa wananchi wa kawaida wanategemea mno huduma zinazotolewa na taasisi za kikristu kuliko zinazotolewa na zile za dini nyingine na watu binafsi. Kwa kuelewa hivyo na kutambua kuwa dhamana yao kubwa ni kwa mwananchi wa kawaida, ndiko kulikoifanya serikali iingie kwenye MoU hii.

Mimi naona niishie hapa maana nimesema yote niliyotaka kusema. Kama haujanielewa bado basi tukubali kutofautiana.

Nilikuwepo.

Amandla.........
 
Kauli ya mzee Mtei hailingani na hadhi yake na ,lakini pia haishangazi maana hata kwenye kampeni za arusha mgombea aloshinda akasimamishwa na mahakama aliwahi kusema wananchi wasimchague mvaa hijab watakaribisha ALSHABAB hapa tz.
Najiuliza kauli kama hizi lengo lake nini haswa maana na wengine nao wakianza kukashfu dini za wenzao nchi yetu itakuwaje au ndiyo tunayataka madaraka hata kwa mgongo wa dini.THIS IS NOT POLITICLAL THAT WE NEED. Tujifunze kuheshimu imani/dini za watu wengine ili kuepusha dhana kwamba kuna vyama vinaungwa mkono na makundi fulani ya viongozi wa dini
Haya nayo yaombewe msamaha na kuwekwa kando!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom