Mashangingi ya CHADEMA!!

Mkuu ingekuwa vizuri ungeweka bei za Tanzania na costs zake mpaka lifike Tanzania.

Umesema gari ni dola 30,000 kwa chenji ya sasa hivi ni milioni 48 weka ushuru na usafirishaji ndio tujue bei yake mkuu.

Unataka akufanyie kila kitu Nenda TRA
 
I persue you all guys are right, but wheather cdm is an inconscistancy or concistancy in its prapaganda, I do not care. All I stand for is that I am real tired of ccm and we are many of that sort.
 
wote ni walewale tu!

Subiri 2015 kama atarudi bungeni. Jimbo lake lina kata 14. yeye na mwenzie wa viti maalumu wamechukua hayo magari hizo pesa zilikua zinatosha kabisa kununua pikipiki moja moja kwa kila kata kwa ajili ya kuimarisha chama
 
Kama ni kweli mtoa mada Kigarama anavyodai itakuwa ni kweli, basi hapa inamaanisha wapiganaji wetu wa CDM hawatendi wasemayo hii siyo dalili nzuri. Kuna jambo moja najifunza hapa JF wana CDM wengi hatupendi viongozi/wapendwa wetu wakosolewe hii ni tabia mbaya sana.Kimsingi kama wanapingwa kwa hoja za ukweli hawana budi kubadilika kwasababu hata CCM walianza kuugua taratibu ugonjwa huu wa kuogopana sasa angalia jinsi KANSA ilivyosambaa hadi hawawezi tena kuipatia tiba. Inanishangaza mtu kusema ohh hiyo ni mali binafsi. Haiwezekani kuwa mali binafsi wakati pesa za kununulia Mashangingi yao zinatokana na kodi tunazokatwa hadi kwa kununua wembe wa kunyoa ma...vu...zii
 
wanafiki sana hawa cdm wanapiga kelele kwa sbb hawajaingia jikoni tu,hawa watakuja kufuja mali zetu kuliko hata magamba, hawa viongozi wa kisiasa hawatakuja kutupeleka tunapotaka wa tz bora mgombea binafsi apitishwe
 
CDM walichokuwa wanalalamikia ni suala la Serikali kuwa na magari ya kifahari ambayo ni ya bei kubwa na yana high fuel consumption.. Na vle vle yana gharama kubwa kwenye kuyamaintain.. Hiyvo unakuwa ni mzigo mkubwa na wa gharama kwa serikali..! Sasa mtoa uzi unaposema CDM wanayatumia magari ya aina hiyo unapaswa kutuweka wazi.. yanalipiwa na Serikali..? Kama ni mkopo ni haki yao wabunge wote kama ilivyoainishwa katika privileges za wabunge.. Na ukumbuke hata katika taasisi na mashirika mengine yana utaratibu wa kutoa mikopo ya magari kwa wafanyakazi wao ili kuwaharasishia kwenye usafiri wafanyakazi ili kuleta ufanisi.. Na mbunge ana choice ya gari gani anunue.. Mh. Mnyika yeye aliamua kununua Toyota Vitz na pick up.. Kama mwingine alinunua vx ni haki yake.. Kiwango kinachotolewa na serikali cha mafuta kwa magari ya wabunge ni kile kile uwe na Vitz au vx.. Services ya magari yao wanalipa wenyewe wabunge..
 
wanafiki sana hawa cdm wanapiga kelele kwa sbb hawajaingia jikoni tu,hawa watakuja kufuja mali zetu kuliko hata magamba, hawa viongozi wa kisiasa hawatakuja kutupeleka tunapotaka wa tz bora mgombea binafsi apitishwe

Aisee.......yaani una shamba unaacha ngedere ale mahindi na kumzuia chui ati atakula zaidi ya ngedere!......kweli Watanzania bado tuna mawazoya ajabu sana
 
Nazungumzia "consistency" ya chama kwenye mambo wanayoyapigania wakati wa Kampeni. Kusema akili yangu mbovu hakuondoi ukweli kwamba hata hayo mashangingi ya CHADEMA yananunuliwa na kwa kodi za wananchi. Wewe hujui kuna baadhi ya wabunge kabla ya kuwa wabunge hata Baiskeli walikuwa hawana uwezo wa kununua.

Unajisahaulisha kwamba wabunge wote walipewa mkopo wa shilingi Milioni 90 na ofisi ya Bunge kwa ajili ya kununulia magari yao?


Umeona? Hata wewe unaweza kopa ukanunua VX wala hatutakuuliza coz utarudisha pesa ya watanzania. Acha GUBU.
 
Nadhani hoja inajibiwa kwa hoja mimi siamini kama maneno yaliotumika hapo juu kwenye mjadala wa hoja kama kiazi,akili mbovu,mjinga,mvivu wa kufikiri,mfuasi wa kibwetere yana nafasi,cha msingi tujifunze kuvumiliana na kujibu hoja za msingi kwa hoja na wala si jaziba maana tunaamini watu wenye access ya JF walio wengi ni wasomi na wenye uelewa wa mambo.
You may agree to disagree but kwa hoja ili kwa mtu ambaye si mwanasiasa au muumini wa chama chochote apate mwelekeo
 
ila ni ukwel kwamba kabla ya kuwa wabunge baadh ya wabunge wa cdm walikuwa na escudo na sasa wana mashangingi ! as long as wamenunua kwa pesa yao , hamna shida!

kamata like yangu mkuu.umemaliza ubishi.
 
kwa nini wasitumie vw pasat kama wale mawaziri wa kenya? Vx 8 fuel consuption yake iko juu.vw pasat lita moja ya fuel dar mpaka moro.
 
Hii ndio bei kamili ya hayo magari niliyoattach hapo mpaka yafike tanzania kwa kutumia TRA motor vehicle calculation sheet.
Hiyo VX ya mwaka 2002 UZJ 200/100 engine more than 10 years total taxes is TZS 21,903,917.00 adding USD 24,752 (take 1600 exchange rate = TZS 39,603,200) comes to TZS 61,507,117.00
Hilo VX V8 ya mwaka 2011 URJ 202 engine one year depreciation is TZS 74,899,150.89 adding USD 119,122 (take 1600 exchange rate = TZS 190,593,600) come to TZS 265,492,750.9

unaweza tafuta ratio hapo utajua ni mara ngapi ya bei.
 
Kwa wale mnaotukana tukana hovyo ni aidha hamjaelewa hoja au mna unafiki au double standards. Malalamishi ya huyu mkuu yana mantiki na ni swala tu ya kumuelewesha kwa upole kama una hoja. Kwa kawaida mtu akianza kutukana ina maana hana hoja na ana jaribu kudivert mjadala.

Tukirudi kwenye point ya mkuu. Tuangalie facts.
Ruzuku- vyama vyote vyenye wabunge vina pokea ruzuku (public funding) na ukubwa wa ruzuku inaongezeka kutokana na idadi ya wabunge. Kwa maana hiyo Chadema ina pokea public funds zinazo tokana na kodi zetu. Kuna watakao dai kuwa pia Chadema ina receive private fundings, ni kweli lakini hata mapato ya serikali yetu siyo yote yanayo tokana na kodi zetu pia lakini haija tuzuia sisi kuhoji matumizi ya serikali. Bajeti yetu asilimia 60 ni misaada toka nje je tuache kuhoji?

Kuonyesha mfano- Hata kama bado Chadema hawaja ingia madarakani wanayo fanya wakiwa wapinzani ni ishara ya watakayo fanya wakiwa madarakani. Huwezi sema wanafanya hivi lakini usijali wakisha pata madaraka watafanya tofauti.

Sasa ngoja nianze kujibu hoja mbali mbali.


Akili yako mbovu,chadema iliadress yale yanayonunuliwa kwa kodi za watz.kuelewa kugumu sana ndgu yangu...kiazi
Natumai unajua ruzuku ni nini na natumai unatambua kuwa Chadema kama chama cha upinzani chenye wabunge wengi zaidi wanapokea ruzuku kubwa kuliko chama chochote cha upinzani. Natumai una tambua kuwa ruzuku inatokana na kodi ya Watanzania.

Acha kufikiria kwa kutumia ma***** huko vijijini utaenda na Corolla au GX 100?
Mapenzi bila akili ni bure. Nikuulize swali. Kati ya chama na serikali ni ili yenye umuhimu zaidi ya kufika vijijini? Kwa hiyo viongozi wa serikali wao waende vijijini kwa kutumia nini? Btw kama swala ni gari lipi lenye ufanisi zaidi kwenye barabara za vijijini basi ni Land Rover tena yale 110 na 111.

kabla ya kurukia mada fanya utafiti ujue kama CDM wana hayo mashingingi sio mtu kachoka ku-masaburi ana rusha uzi hapa na wewe unarukia bila kujua ukweli wake.CHOKA KUFANYA KAZI USICHOKE KUFIKIRIA.
Mkuu usikurupuke utakuja umbuka.

Mimi nasisitiza magari ya kichama tuna haki ya kuya hoji kwa sababu chama kina pata ruzuku. Hayo magari binafsi ni swala binafsi.
 
Back
Top Bottom