ukweli unajionyesha wazi kwa mtz yoyote mwenye akili ya utambuzi wa mambo na asiyefuata mkumbo.JIULIZE open BILA UNAFIKI kama wewe ni msomi wa kuanzia sekondari hadi chuo kikuu na umeajiriwa serikalini au any parastatal organization.Jiulize moyoni mwako waislam walikuwa wangapi
1 sekondari waislam walikuwa wangapi na wakristo wangapi.2 chuoni waislam walikuwa wangapi na wakristo wangapi 3 maofisni waislam wako wangapi na wakristo ni wangapi 4 mawaziri waislam ni wangapi wakristo ni wangapi 5 madiwani nao vip 6 wabunge waislam ni wangapi na wakristo ni wangapi.JIULZE KWANINI WAISLAMU WAMEKUWA WAKILALAMIKIA BARAZA LA MITIHANI,NA KWANINI wasilalamike. HIVI KAMA KATIBU MKUU WA CHAMA FULANI ANGEKUWA SHEIKH JE NA MASHEIKH WENGINE WAKAWA WABUNGE KUPITIA CHAMA HICHO HICHO JE ingekuwaje?. mwaka 2005 RAIS KIKWETE ALIKUWA CHAGUO LA MUNGU MWAKA 2010 TUNAAMBIWA NI MDINI WAKATI HUO HUO YEYE NI MUISLAM NA KWENYE SERIKALI YAKE MAWAZIRI,WABUNGE,MADIWANI,MAKATIBU WAKUU,WAKUU WA MIKOA NA MADIRECTORS WENGI SAAAAANA TENA SANA NI WAKRISTO je ni watu gani kati ya waislamu na wakristo wangepaswa kulalamikia udini? jiulize mwenyewe kwa nia nzuri ya tanaznia ya baadae