Na bado... jaribu kumuelewa na baadae utagundua mtindo wa kuishi nae... stress zote zitakwisha. Mimi niliamua kufunga milango ya hasira na kufungua gate la upole hasa wakati wa matatizo. Sasa hivi naishi nae kwa raha mstarehe
Nilikuwepo, hakusema kilichoandikwa humu. Kimsingi alisifiwa na watafiti kwa kuongeza bajeti ya utafiti na kukarabati miundo mbinu ya utafiti nchini. Fuatilia alichowasilisha mkurugenziwa Tume ya sayansi na reaction ya president baada ya hapo
Katika viongozi vimeo ninaowajua mmoja wapo ni huyu Mzee wa kimbulu. Anachotaka kukiona ni vurugu na maneno yasiyo na tija. Mipango ya chama kingine inamuhusu nini? au hana la kufanya nini. Namshauri aende karatu kulima nagono maana hana capacity hata ya kujadili hoja badala yake amekuwa mtu wa...
Nataka TZ hii:
1. Visionary leadership, having the capacity to set institutions of governance that will take this country 100 years ahead
2. Capable leaders capable of translating the vision into action for prosperity, rule of law and accountability
3. Leaders whose ambition is to lead and not...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.