Jamani nakufa mwenzenu kwa stress

Jamani nakufa mwenzenu kwa stress

Na bado... jaribu kumuelewa na baadae utagundua mtindo wa kuishi nae... stress zote zitakwisha. Mimi niliamua kufunga milango ya hasira na kufungua gate la upole hasa wakati wa matatizo. Sasa hivi naishi nae kwa raha mstarehe
 
simple timka mapema maana mkishaoana itakuwa ngumu kuachana
 
kambwage pale kene 4 beta, 4 wes. sema NO, arafu toka nduki huku unalia,,ukiulizwa waambie unaemuona sio mume ni jini..usijari kuna mtu kaitumia hii trick fresh sa hivi yuko na jamaa mwingine wanalive happy ever efter.
 
Kazi kwelikweli.....washirikishe washenga wako vizuri na tatizo lenyewe watajua namna ya kulitatuaí
 
Sasa mtoa mada kaingia chaka...... mmmmhhh hapa simwagi busara zangu ng'o inaonekana ni mtego kwetu wazee!!!!!

:shut-mouth: giLESi rudi ujibu hoja huku!!!!
 
Babu Lao, mbona mimi nipo sana?
Wee mwaga tu busara zako

Wanga wa Babu umeanza lini tena giLESi???? Lakini anyway, kama kijana mwenzio umeona hakufai njoo kwa babu yako nahitaji kuongeza mke wa 6 soon.... :glasses-nerdy:
 
ulikuwa wapi kuligundua hlo mpaka unalipiwa mahali nyambafu we umepata hawala jingine huko labda linavihela sasa nyie kwa tamaa ndo kabsa hata knyume na maumbile unampa ksa ngawila,kwenda huko kwa mumeo ulshalala nae mara ngapi si mara nyng hyo mahal wakat anatoa ww hukuwepo ulsafri mkoa mwngne acha ujinga nenda kwa mumeo.

2liza jazba unamuongezea dada wa wa2 stres. Tatizo wa2 weng huwa wanaficha makucha yao kpnd cha uchumba ila akishafikia ha2a kwamba ndo kajimilikisha na anauhakika upo nae ndo anatoa makucha. Inaboa kwel ila yahtaj uvumilivu. Btw endelea nae wala ucmwache kaa nae chin ipo cku atabadilika. Unaweza kumuacha huyo ukaenda kwa mwingne akawa zaid ya huyo.
 
cacico usitake nilie, li mtu lilikuwa limeficha makucha, baada ya kutoa mahari sasa linataka nilipe tigo
kwa kweli kama ni hivyo sepa tu wangu!! ni mwambie akapate experience kwa dada zake kwanza ndio aje kwako!! kwanini anataka kukuanzishia dhambi ambayo iliteketeza sodoma na gomora!! HAKIKA MUNGU WETU HAPENDI! mfir.w.aji na mfir.a.ji wote jehanam!! MUNGU WETU MWEMA, MWENYE UWINGI WA HURUMA ATUHURUMIE!
 
Back
Top Bottom