Hawajakosea, Geology zipo mbili, ya miaka 4 engineering geology, na miaka mitatu geology. Acha upuz dogo uwe unauliza kwanza
je wewe umechaguliwa huko?? na kama ni ndio ulikua unataka usome miaka 3 afu iweje!! mshkuru mungu ni miaka 4 maana utakua fit ukimaliza hiyo miaka minne...