CHADEMA wahurumieni watanzania

CHADEMA wahurumieni watanzania

Mwakidondo kajipange upya nyeusi itabaki kuwa nyeusi haiwezi kuwa nyeupe kama unavyotaka kulazimisha
 
Wamechochea na nchi kuwa maskini.
 
Bila shaka unaongea usichokijua. Siku ukikua utaelewa! Maana mtoto akiambiwa 'hiki ni kiti' wakati ni meza ataendelea kuamini hivyo na kuita hivyo. Ila siku akikua atajua kumbe sio kiti ni meza! Mwakidondo kalishwa propaganda za ccm kuwa Chadema kutoa elimu ya uraia inawapotosha watanzania!

Wewe ni mpumbavu kama lema na wenzake
 
Naipongeza serikali na hususani jitihada kubwa zilizofanywa na waziri mkuu Mhe. Pinda kuzima uasi mkoani Mtwara. Kilichotokea Mtwara ni matokeo ya kampeni kubwa ya uchochezi inayoendeshwa nchi nzima na CHADEMA kwa jina la M4C. CHADEMA kama walivyo wataalamu wa hali ya juu katika masuala ya uzushi, kwa makusudi kabisa waliamua kumgombanisha mheshimiwa Rais na wanamtwara.

Walichofanya CHADEMA ni kuamsha hasira za wanamtwara kwa kuwajaza porojo kuwa mhe. Rais kaamua kuihamisha gesi kutoka Mtwara na kuipeleka kwa bomba kwao Bagamoyo ambako pia kunajengwa bandari mpya kwa kutumia pesa ambayo awali "ilitengwa" kwaajili ya ukarabati na upanuzi wa bandari ya Mtwara. Hali ni maneno ambayo yalichochea hasira za wanamtwara na kuamua kufanya fujo hadi kusababisha maafa na uharibifu mkubwa wa mali.

Baada ya waziri mkuu kufanikiwa kuzima uasi huo ulioandaliwa kiufundi, CHADEMA wameazimia kuhakikisha hali ya usalama hairejei Mtwara kwa kuhamasisha tena vurugu kupitia kampeni yao ya M4C na safari hii itaongozwa mkoani humo na Mhe Godbless Lema. CHADEMA wahurumieni watanzania ambao siku zote mmekuwa mkijipambanua kuwa mnawapenda sana iweje mnawaingiza kwenye chokochoko ambazo zinasababisha maafa yao?

Kwa staili hii, hali itakuwa mbaya zaidi wakishika dola
 
mkuu nakuunga mkono niwachache wenye ujasiri wakuongea hayo ,by the way chadema hakijali wanannchi kipo radhi kukandamiza raia kwa maslahi yaobinafsi iyo ni kweli mkuu
 
always i ask my self why many poor people and drunker give much sapport to chadema is that real chadema under leader like GODBLESS LEMA can bring hope to them??
 
always i ask my self why many poor people and drunker give much sapport to chadema is that real chadema under leader like GODBLESS LEMA can bring hope to them??
 
Bila shaka unaongea usichokijua. Siku ukikua utaelewa! Maana mtoto akiambiwa 'hiki ni kiti' wakati ni meza ataendelea kuamini hivyo na kuita hivyo. Ila siku akikua atajua kumbe sio kiti ni meza! Mwakidondo kalishwa propaganda za ccm kuwa Chadema kutoa elimu ya uraia inawapotosha watanzania!
CCM ni wastaarabu sana , na ni hivi majuzi tu Kinana alisema hawa watu ni wa kuwapuuza tu, na Nape ndiye kiboko yao.Lakini sasa mambo yanabadilika watu wanachochea vurugu na wao kubana katika majumba yenye usalama.

CCM na serikali yake inabidi wawaeleze kuwa uvumilivu una mwisho. Kwa lengo la kufanya fujo tu Karatu wala Hai si mbali.
Hao watu wa Mtwara wametolewa kafara, kafara ya kisiasa.
Mtakuja jibu hapa ni lini mbinu hizohizo zitatumiwa na CDM Karatu na Moshi mjini.

Kubomoa amani rahisi sana, kuijenga kazi
 
Chadema nikawaida yao kuzusha mambo ndo maana nasema chadema haitafika mbali wakendelea natabiya yao walio kuwanayo. Wanafanya ivyo ili wapate kura 2015 ila hawatapata kwa mambo wanayo yafanya.

Wewe kaboo,

hivi hili jina lako ulichagua au ulichaguliwa? kazi kweli kweli! Wewe ni gamba usiye na hoja. Angalia katika post zote ulizotoa hakuna post uliyowahi pewa like. Badilika. kuwa makini. Jaribu kuelewa nini CHADEMA wanafanya katika harakati za kuikomboa hii nchi kutoka utumwani mwa shetani ccm
 
Chadema nikawaida yao kuzusha mambo ndo maana nasema chadema haitafika mbali wakendelea natabiya yao walio kuwanayo. Wanafanya ivyo ili wapate kura 2015 ila hawatapata kwa mambo wanayo yafanya.

Mkuu unaonekana wewe ni mtabili, hujui hata kuandika pole sana
 
Naipongeza serikali na hususani jitihada kubwa zilizofanywa na waziri mkuu Mhe. Pinda kuzima uasi mkoani Mtwara. Kilichotokea Mtwara ni matokeo ya kampeni kubwa ya uchochezi inayoendeshwa nchi nzima na CHADEMA kwa jina la M4C. CHADEMA kama walivyo wataalamu wa hali ya juu katika masuala ya uzushi, kwa makusudi kabisa waliamua kumgombanisha mheshimiwa Rais na wanamtwara.

Walichofanya CHADEMA ni kuamsha hasira za wanamtwara kwa kuwajaza porojo kuwa mhe. Rais kaamua kuihamisha gesi kutoka Mtwara na kuipeleka kwa bomba kwao Bagamoyo ambako pia kunajengwa bandari mpya kwa kutumia pesa ambayo awali "ilitengwa" kwaajili ya ukarabati na upanuzi wa bandari ya Mtwara. Hali ni maneno ambayo yalichochea hasira za wanamtwara na kuamua kufanya fujo hadi kusababisha maafa na uharibifu mkubwa wa mali.

Baada ya waziri mkuu kufanikiwa kuzima uasi huo ulioandaliwa kiufundi, CHADEMA wameazimia kuhakikisha hali ya usalama hairejei Mtwara kwa kuhamasisha tena vurugu kupitia kampeni yao ya M4C na safari hii itaongozwa mkoani humo na Mhe Godbless Lema. CHADEMA wahurumieni watanzania ambao siku zote mmekuwa mkijipambanua kuwa mnawapenda sana iweje mnawaingiza kwenye chokochoko ambazo zinasababisha maafa yao?

CHadema ndiyo walikuwa wanataka kupeleka Gesi Bagamoyo?CDM ndiyo waliojimilikisha maneno ya kuchimba gasi na kuwakabidhi makampuni ya nje kwamakubaliano kuwa wachimbe kwa 20yrs? CDM ndiyo wamejimilisha maeeno ya Machimbo ya Dhahabu Masasi na kuwafukuza wachimbaji wadogo?
 
Mleta mada hii ningekuona mwenye huruma na wanamtwara endapo ungeiomba Serikali ndiyo iwahurumie wanamtwara, na tena sio wanamtwara tu bali watanzania wote!
 
Wewe ni mpumbavu kama lema na wenzake

Mpumbavu ni yule anayetukana bila kuwa na point kama wewe Joste! Vyama vya siasa vingapi, wanaharakati wangapi, madhehebu mangapi na wananchi wangapi kwa ujumla wao wameshiriki katika sakata la gesi Mtwara? Woote hao ni Chadema? Sina haja ya kukutukana maana wewe ni mtoto na una akili za pumba! Ila ukikua utakuwa na akili otherwise utakuwa tahira!
 
Ukiona kichaa anaanza kujimbua kuwa yeye ni kichaa jua ameanza kupona, ila ukiona anamuona mwenzie ni kichaa wakati kipindi hicho yeye anakula kinyesi chake mwenyewe huyo hata dalili za kupona hana! Uliyepost huna dalili za kupona na magamba yako!
 
Chadema nikawaida yao kuzusha mambo ndo maana nasema chadema haitafika mbali wakendelea natabiya yao walio kuwanayo. Wanafanya ivyo ili wapate kura 2015 ila hawatapata kwa mambo wanayo yafanya.


Huku kwetu ukitamka hiyo id yako waweza susiwa kikao
 
Ma mods liko wapi lile jukwaa la 'kuwashughulikia' watu kama hawa!
 
Napita tu kwa sababu jibu linalomsahili huyu jamaa lina qualification ya kunisababishia ban ya sio pungufu ya mwezi mzima
 
Back
Top Bottom