Recent content by johsee

  1. J

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Hiyo stalker naona ipo vizuri tatizo huwezi weka favorite channel, kuna favorite link tu sasa kuanza kuchambua channel kwenye group la channel 1000 kwangu naona ni usumbufu
  2. J

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Wakuu website gani naweza pata IPTV player nzuri kwa window PC
  3. J

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kilichonikera tu leo ni kocha kushindwa kufanya game management 4-2 unakomaa kuputua mbele wakati unaweza jilinda kwa kucheza pasi fupi fupi na kumaintain possession Anyway japo tukubali kocha bado yupo kwenye experiment cha kushukuru matokeo yanapatikana
  4. J

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kipindi unaposses 75% ulishawahi wafunga Brighton
  5. J

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Wale Bornemouth wangekubali dili la Scott, Enzo tungefanya biashara mapema
  6. J

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Pazia la hekaru
  7. J

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Sasa kama hamna mfumo hayo magoli yanafungwa na refa
  8. J

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Tuna viungo watano wanaogombania nafasi mbili Caseido Enzo Lavia Barco Henderson huyo Essugo sijamuweka Sioni kama kuna biashara nyingine labda kama tutauza wawili kati ya hao 6
  9. J

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Una takwimu za msimu uliopita za makosa ya makipa yaliyosababisha magoli
  10. J

    JamiiForums Tanzania Watanzania wengi wanaotumia ATM machine kutoa pesa bado hawajui huduma ya kugusa kadi (NFC Reader) kutoa pesa wamezoea njia ya kuchomeka kadi

    Mimi kinachonikera nikitumia hiyo huduma option ya juu inakuwa 100k ila nikitumbukiza option za kutoa pesa zote zinarudi hii imenitokea zaidi ya ATM 2 benki ni ile ya orange na blue
  11. J

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Nakubali xhaka angetusaidia ila mimi sioni ni wapi uongozi ulizingua miaka 34 fair price haitakiwi kuzidi £15 Cha maana mm nilichoona kama red flag ni pressing intensity kama bado ipo chini tukiwa hatuna mpira bado hatupendi kuwa aggressive (sijui ni game approach/fitness match) Mengine...
  12. J

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kama forest wameangalia mechi ya leo sidhani kama watatoa zaidi ya 20m, kuna kijeba kinaitwa Tosin kile hata bure hakuna team EPL inachukua
  13. J

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    · /: Henderson ni takataka bora hata kwa welbeck ina make sense
  14. J

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

  15. J

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hili swali huwa hawezi jibu, yeye kazi yake ni kuponda bila kuwa na solution
Back
Top Bottom