Tuna viungo watano wanaogombania nafasi mbili
Caseido
Enzo
Lavia
Barco
Henderson huyo Essugo sijamuweka
Sioni kama kuna biashara nyingine labda kama tutauza wawili kati ya hao 6
Mimi kinachonikera nikitumia hiyo huduma option ya juu inakuwa 100k ila nikitumbukiza option za kutoa pesa zote zinarudi hii imenitokea zaidi ya ATM 2 benki ni ile ya orange na blue
Nakubali xhaka angetusaidia ila mimi sioni ni wapi uongozi ulizingua miaka 34 fair price haitakiwi kuzidi £15
Cha maana mm nilichoona kama red flag ni pressing intensity kama bado ipo chini tukiwa hatuna mpira bado hatupendi kuwa aggressive (sijui ni game approach/fitness match)
Mengine...
Board wangefanya nini kama club imekataa kuuza?
Tuishi kwenye realistic nafasi tuliyomaliza msimu uliopita si ya kushwawishi wachezaji proven otherwise uanze kumwaga paund 100mil na mshahara 300k per week kununua upendo
Naunga mkono kuanza project upya kwa wachezaji walio tayari kuchezea timu...
Hoja ya chini ya kiwango Inaweza kuwa asilimia chini ya 20 ya tatizo linaloongelewa leo
Serikali yako kutokana na umasikini imechagua kufanya Ujenzi wa gharama nafuu ili ionekane imefanya kazi kubwa kwa gharama ndogo ila hiyo miundombinu inahitaji high maintenance ili kufikia design life
Pili...
Wataalamu kuna aliyewahi nunua router za halotel 5G,vipi consistency ya huduma, inakaa na charge muda gani?, ni model gani ya router? Na kingine je model yake inakubali kuifanya iwe universal in case wamezingua
Hii timu haina watu makini m
Hii timu haina watu makini kwenye maamuzi, kupata mchezaji mwenye uwezo angalau 50% ya Cucurella tutahitaji si chini ya £50mil
Bei za sasa hivi ni za moto wachezaji wanaowika game 10 wanauzwa mpaka £70m
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.