Recent content by johsee

  1. J

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Tuna viungo watano wanaogombania nafasi mbili Caseido Enzo Lavia Barco Henderson huyo Essugo sijamuweka Sioni kama kuna biashara nyingine labda kama tutauza wawili kati ya hao 6
  2. J

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Una takwimu za msimu uliopita za makosa ya makipa yaliyosababisha magoli
  3. J

    JamiiForums Tanzania Watanzania wengi wanaotumia ATM machine kutoa pesa bado hawajui huduma ya kugusa kadi (NFC Reader) kutoa pesa wamezoea njia ya kuchomeka kadi

    Mimi kinachonikera nikitumia hiyo huduma option ya juu inakuwa 100k ila nikitumbukiza option za kutoa pesa zote zinarudi hii imenitokea zaidi ya ATM 2 benki ni ile ya orange na blue
  4. J

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Nakubali xhaka angetusaidia ila mimi sioni ni wapi uongozi ulizingua miaka 34 fair price haitakiwi kuzidi £15 Cha maana mm nilichoona kama red flag ni pressing intensity kama bado ipo chini tukiwa hatuna mpira bado hatupendi kuwa aggressive (sijui ni game approach/fitness match) Mengine...
  5. J

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kama forest wameangalia mechi ya leo sidhani kama watatoa zaidi ya 20m, kuna kijeba kinaitwa Tosin kile hata bure hakuna team EPL inachukua
  6. J

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    · /: Henderson ni takataka bora hata kwa welbeck ina make sense
  7. J

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

  8. J

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hili swali huwa hawezi jibu, yeye kazi yake ni kuponda bila kuwa na solution
  9. J

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hii ni roho mbaya ya kuzaliwa nayo Analysis ya failure ni price tag sio kiwango?
  10. J

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Board wangefanya nini kama club imekataa kuuza? Tuishi kwenye realistic nafasi tuliyomaliza msimu uliopita si ya kushwawishi wachezaji proven otherwise uanze kumwaga paund 100mil na mshahara 300k per week kununua upendo Naunga mkono kuanza project upya kwa wachezaji walio tayari kuchezea timu...
  11. J

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Awamu ya Sita imemfilisi Mkandarasi mzawa kupitia TANROADS

    Hoja ya chini ya kiwango Inaweza kuwa asilimia chini ya 20 ya tatizo linaloongelewa leo Serikali yako kutokana na umasikini imechagua kufanya Ujenzi wa gharama nafuu ili ionekane imefanya kazi kubwa kwa gharama ndogo ila hiyo miundombinu inahitaji high maintenance ili kufikia design life Pili...
  12. J

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Shukrani chief Naona specifications zake hawaweki battery capacity
  13. J

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Wataalamu kuna aliyewahi nunua router za halotel 5G,vipi consistency ya huduma, inakaa na charge muda gani?, ni model gani ya router? Na kingine je model yake inakubali kuifanya iwe universal in case wamezingua
  14. J

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hii timu haina watu makini m Hii timu haina watu makini kwenye maamuzi, kupata mchezaji mwenye uwezo angalau 50% ya Cucurella tutahitaji si chini ya £50mil Bei za sasa hivi ni za moto wachezaji wanaowika game 10 wanauzwa mpaka £70m
  15. J

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Unamaanisha na nani hapo corner wonder
Back
Top Bottom