Tapeli wakuu kwenye hii project ni hao directors wengine wote ni sub set ya matatizo
Wawekezaji wamekuja na akili zao za kuendesha club ya mpira kama duka la mangi.
Wakaajiri wakurugenzi ambao wao ndio walitakiwa kuwaambia namna uwekezaji wa mpira unatakiwa kua kwa sababu wao ndio wanajua...
Ukisikia lose lose deal ndio hii yaani Chelsea na Strasbourg zote zimerudi nyuma ni bora wangewaachia kocha wao wafukuzie hata Europa
Sasa mwisho wa msimu timu mama conference timu mtoto hakuna mashindano ya kimataifa
Naunga mkono kama kwako sura ni changamoto kubwa kuliko akili, mimi vitoto vilinishinda kwa sababu maisha ya malezi yanahitaji commitment na akili komavu kitu ambacho kwa vitoto vya below 23 vingi unaweza ishia kuwa unafoka tu bure ndani
Rosemary jana UCL imemuexpose uwezo wake kama kocha kaja na mbinu nzuri mwanzoni ila uwezo wa kusoma mchezo ndani ya mchezo ndio umemuexpose
Yule kipara mwenda zake mechi kama hii alikuwa anawabamiza tena
hawa PSG
Game management na playing style inayoendana na resource bado ni mtihani kwa...
Sometimes kocha nae ni kiazi unalazimisha kipa awe midifier which is fine kama una goal keeper mwenye skills hizo kama huna ni better utafute system nyingine
Sasa mechi moja mistake zaidi ya tano bado unalazimisha kufanya kitu kile kile mbaya zaidi ni kwenye knockout stage
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.