Recent content by johsee

  1. J

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Tapeli wakuu kwenye hii project ni hao directors wengine wote ni sub set ya matatizo Wawekezaji wamekuja na akili zao za kuendesha club ya mpira kama duka la mangi. Wakaajiri wakurugenzi ambao wao ndio walitakiwa kuwaambia namna uwekezaji wa mpira unatakiwa kua kwa sababu wao ndio wanajua...
  2. J

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Vipigo vimezidi mpaka mashabiki wanaulizia namna wamarekani wanyanganywe timu sababu ya vita ya Iran. Kama walivyomtapeli mwamba wa Kirusi
  3. J

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Subiri timu iotee ka mechi kamoja atakuja na uchambuzi gazeti na kuinadi the so called "project "
  4. J

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Likisajiliwa tu tunapita nalo, hii ni jadi yetu kuwa na makombe ya kila aina
  5. J

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Hii vita inachekesha humu JF upande unaopelekewa moto siku hiyo wanakuwa wapole siku inayofuata wanarudi kama nyuki. Ni zaidi ya uzi wa simba na yanga
  6. J

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Ukisikia lose lose deal ndio hii yaani Chelsea na Strasbourg zote zimerudi nyuma ni bora wangewaachia kocha wao wafukuzie hata Europa Sasa mwisho wa msimu timu mama conference timu mtoto hakuna mashindano ya kimataifa
  7. J

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Honeymoon is over for high school coach, jumanne hazipungui goli 3 na vile wale majamaa wamepumzika
  8. J

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Alafu unakutana na shabiki kama lembu anakuambia tutamfunga PSG goli 3+ kwa resources hizi hizi
  9. J

    Kijana, don't settle with your agemate

    Naunga mkono kama kwako sura ni changamoto kubwa kuliko akili, mimi vitoto vilinishinda kwa sababu maisha ya malezi yanahitaji commitment na akili komavu kitu ambacho kwa vitoto vya below 23 vingi unaweza ishia kuwa unafoka tu bure ndani
  10. J

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Jackson tayari huko ameshaunga mkono juhudi za red card
  11. J

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Rosemary jana UCL imemuexpose uwezo wake kama kocha kaja na mbinu nzuri mwanzoni ila uwezo wa kusoma mchezo ndani ya mchezo ndio umemuexpose Yule kipara mwenda zake mechi kama hii alikuwa anawabamiza tena hawa PSG Game management na playing style inayoendana na resource bado ni mtihani kwa...
  12. J

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Sometimes kocha nae ni kiazi unalazimisha kipa awe midifier which is fine kama una goal keeper mwenye skills hizo kama huna ni better utafute system nyingine Sasa mechi moja mistake zaidi ya tano bado unalazimisha kufanya kitu kile kile mbaya zaidi ni kwenye knockout stage
  13. J

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mwenye anajua mpira aniambie sub ya delap huwa inamsaada gani
  14. J

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hivi ni kwenye mkataba wa mauziano na wamarekani ni lazima kipa asubirie press ndio apige pass kwa central midfielder
  15. J

    Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!

    Warioba apewe kombe lake kama ameweza kuzeeka na msimamo wake bila uchawa
Back
Top Bottom