Recent content by johsee

  1. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Unamaanisha na nani hapo corner wonder
  2. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Angalau mkeka unapumua
  3. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    We mzee kuna mambo unaweza fikiri unayapinga kumbe unayapa unnecessary hype Nafikiri ni vyema tudeal na kile wachezaji wanachotupa uwanjani maana ndicho tunachoshabikia sio mambo yao ya huko Otherwise jukwaa litakuwa la udaku na umbea
  4. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Wewe unafikiri kuna kocha gani aliye sokoni wa kuleta mapinduzi ya haraka
  5. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Jana unaona winger kama Kvaratskhelia, Diaz, Olise, Doue then unarudi huku unakutana na winger Gernacho, Gittern na Neto then kuna watu wanatetea SD Kuna siku Ruud Gullit aliwahi kukutana na Boehl anajitambulisha kama former Chelsea player and coach, then akashangaa tajiri miluzi wajawahi...
  6. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Naona unatulazimisha tuamini kwamba wanasimamia kazi ya wamiliki ambayo wao hawaiamini kitu ambacho ni non sense Hao sio wanajeshi kwamba unaajiriwa kwenda kuobey command whether ni right au wrong Mbona Vivel aliondoka, wenzetu wako mbali sio kama kina mangungu wapo hapo kwa sababu wanaamini...
  7. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    We huoni kama wanajituma kuelekea nafasi ya 17
  8. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Maafisa ubashiri washindwe wenyewe
  9. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kupitia anguko la hili genge kuna mengi la kujifunza hata kwenye maisha ya kawaida ya kila siku Usiwekeze pesa kwenye kitu usichokuwa na maarifa nacho mtaji utageuka ada ya maarifa. £2B zimeliwa na timu na mawakala kama uyoga kisa matajiri wamevamia kitu wasichokuwa na maarifa na passion nacho...
  10. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kuna vitu vinachekesha hata kama kichaa anatokea kwenu timu iliyofungwa inaingiza mabeki wengine ili isawazishe goli
  11. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Imebaki mechi 1 ya ushindi dhidi ya tottenham zilizobaki ni American charity
  12. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hawa wachezaji wamevumilia mengi lakini la kufukuzwa Maresca then unaleta Rosemary naona wachezaji wanao jielewa wameona hii ni zaidi ya red flag. Na kwa hizi kauli hakuna hata Confernece league next season
  13. J

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Laiti ungejua hao waarabu ni wangazija,wakwere,wamakunduchi etc hata usingewaza hivyo
  14. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Tapeli wakuu kwenye hii project ni hao directors wengine wote ni sub set ya matatizo Wawekezaji wamekuja na akili zao za kuendesha club ya mpira kama duka la mangi. Wakaajiri wakurugenzi ambao wao ndio walitakiwa kuwaambia namna uwekezaji wa mpira unatakiwa kua kwa sababu wao ndio wanajua...
  15. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Vipigo vimezidi mpaka mashabiki wanaulizia namna wamarekani wanyanganywe timu sababu ya vita ya Iran. Kama walivyomtapeli mwamba wa Kirusi
Back
Top Bottom