Hiyo stalker naona ipo vizuri tatizo huwezi weka favorite channel, kuna favorite link tu sasa kuanza kuchambua channel kwenye group la channel 1000 kwangu naona ni usumbufu
Kilichonikera tu leo ni kocha kushindwa kufanya game management 4-2 unakomaa kuputua mbele wakati unaweza jilinda kwa kucheza pasi fupi fupi na kumaintain possession
Anyway japo tukubali kocha bado yupo kwenye experiment cha kushukuru matokeo yanapatikana
Tuna viungo watano wanaogombania nafasi mbili
Caseido
Enzo
Lavia
Barco
Henderson huyo Essugo sijamuweka
Sioni kama kuna biashara nyingine labda kama tutauza wawili kati ya hao 6
Mimi kinachonikera nikitumia hiyo huduma option ya juu inakuwa 100k ila nikitumbukiza option za kutoa pesa zote zinarudi hii imenitokea zaidi ya ATM 2 benki ni ile ya orange na blue
Nakubali xhaka angetusaidia ila mimi sioni ni wapi uongozi ulizingua miaka 34 fair price haitakiwi kuzidi £15
Cha maana mm nilichoona kama red flag ni pressing intensity kama bado ipo chini tukiwa hatuna mpira bado hatupendi kuwa aggressive (sijui ni game approach/fitness match)
Mengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.