Recent content by Holly Star

  1. Holly Star

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda TANZIA Mbunge Mkongwe wa Uganda na Jenerali Mstaafu Moses Ali Afariki Dunia akiwa na Miaka 87

    Kunahuyu rais wa sudani sijui anaitwa krrrr hivi ana seath proof maana ana 0 brain afu wasudani wanamchagua tu
  2. Holly Star

    JamiiForums Tanzania Iran Kwanini Hapigi Israel

    Mara ngapi iran kapiga israel, tstizo gharam ya kuishambulia israel ni kubw sababu ni mbali n makombora mengine ynatunguliwa na nchi ynmopitbzo ni allies za marekani. Kutoka israel kuja irani ni almost 1800 km. Kushambulia umbali huo inahitaji akili kibwa. Israel yy ana nafuu sababu anatuma...
  3. Holly Star

    JamiiForums Tanzania Wenzangu, mnawezaje kuishi na wanawake wababe?

    Nitakupiga matukio hadi chumbani kwako na ww upo
  4. Holly Star

    JamiiForums Tanzania Wenzangu, mnawezaje kuishi na wanawake wababe?

    Mwsnsmke anakuwsje mbabe nyumbani kwako bana ww sio mwanaume aisee
  5. Holly Star

    JamiiForums Tanzania Walipokusanyika wanajeshi wao ndipo tulipopiga makombora yetu.- Iran 🇮🇷

    Iran ameshaharibiwa defence facility kwa asilimia zaidi ya 70, kuendelea kupambana ni akili ya ziada, wanastahili pongezi maana wanapigana na mataifa 2 yenye guvu
  6. Holly Star

    JamiiForums Tanzania Walipokusanyika wanajeshi wao ndipo tulipopiga makombora yetu.- Iran 🇮🇷

    Ilizimwa haikuzimwa
  7. Holly Star

    JamiiForums Tanzania Mwanamuziki TID akamatwa kwa kushindwa kulipa bili Bar

    Laki 5 alikuwa anakunywa kitu gani hicho
  8. Holly Star

    JamiiForums Tanzania Simuelewi Mke wangu

    Mnaoa wanawake wametumika na masela unategemea nn. Huyo keshatembea hadi speedometer ikarudi 000000
  9. Holly Star

    JamiiForums Tanzania Marekani haitatamalaki katika utukufu tena

    Marekani ni tajiri kwa mali za damu, once dunia ikishtuka dola ikaangula hna kitu pale, hazalishi chochote zaidi ya kuuza dola. Ndo maana ukitaka kuiangusha dola unapotea within no time
  10. Holly Star

    JamiiForums Tanzania Nahitaji container 40 ft

    Wakubwa heshima kwenu, nahitaji container used 40 ft. Lisiwe limeoza ama lisiwe na kutu popote. Nipo musoma. Njoo na offer yako
  11. Holly Star

    JamiiForums Tanzania Hivi maisha bila kuvaa nguo ingekuwaje?

    Kunanwengine waafrica wapo india upande wa chini hawavai nguo
  12. Holly Star

    JamiiForums Tanzania Hivi maisha bila kuvaa nguo ingekuwaje?

    Kuna wahindi wekundu amazon hawavai nguo
  13. Holly Star

    JamiiForums Tanzania Chuo cha Madini Dodoma siwaelewi

    Nimeshaapta joining nashukuru sana mlionipa taarifa sahihi
  14. Holly Star

    JamiiForums Tanzania Iran sasa hivi anapigwa Kama Ngoma na Majeshi ya Marekani!!

    Hapigwi ila anachofanya marekani ni ugaidi. Hakuna vita ya kuharibu miundombinu ya kiraia ukasema unapigana vita unapiga vinu vya maji ya kunywa, madaraja, vinu vya umeme. Huo ugaidi
  15. Holly Star

    JamiiForums Tanzania Mtanisamehe kwa hili

    Collola chafu aitoe wapi japo sijaisoma yote ila umemsikia anataja mjomba, si ajabu anaishi kwa mjomba wake
Back
Top Bottom