MTANDAO ULIOKUWA UNAITAFUNA SERIKALI NA KUANDAA MAPINDUZI NDANI YA CCM NA SERIKALI KUELEKEA UCHAGUZI WA 2025 NA 2030
WAKATI TANZANIA imepata ahueni kubwa sana kwa tukio la hivi karibuni la kufukuzwa kazi kwa mawaziri wawili Nape Nnauye na January Makamba kwa tuhuma nyingi sana zilizokuwa...
MTANDAO ULIOKUWA UNAITAFUNA SERIKALI NA KUANDAA MAPINDUZI NDANI YA CCM NA SERIKALI KUELEKEA UCHAGUZI WA 2025 NA 2030
WAKATI TANZANIA imepata ahueni kubwa sana kwa tukio la hivi karibuni la kufukuzwa kazi kwa mawaziri wawili Nape Nnauye na January Makamba kwa tuhuma nyingi sana zilizokuwa...
Ki msingi bikra kwa mwanamke ni ishara ya uvumilivu, utii, heshma lakini ni ishara ya uaminifu kwa mumewe, na ni zawadi kubwa kuliko zawadi yoyote kwa mumewe. Hizi bikra mnazotoana kwa mabakuri ya chipsi zinaharibu sana wake za watu. Na ndio maana mwanamke haweziachana kamwe na mwanaume alomtoa...
Yaan wanawake basi tu, wewe unaingia kwenye relation kwa ajili ya kupewa hela na sio kupenda. Jaribu kutumia nguvu na akilizako kutafita jela kuliko kwenda kuwa chombo cha statehe kwa mume wa mwanamke mwenzako.
Kwanza hebu jiulize utasababisha matatizo mangapi kwenye faamilia ya huyu mwanamke...
Unafikiri kuwa rais ni sawa na kubeti, rais huandaliwa. Lakini pia kitrndo cha kuja kucomet jf nia yako ya kuwa rais kinakuondolea kabia sifa za rais unaonekana bado una waza kitotototo
2007 ndo nlimaliza chuo RMIT, 2008 nikaajiriwamoja ya mikoa maskini sana km mwalimu wa chuo, 2009 nikaanza kuishi na mchumba wangu she was 20 yrs old mm nlikua 27, nlikua na ka mwili kadogo sana, yeye pia,
Tulipanga nyumba nzima na tulikuwa na mtoto 1 ofcourse tulimpata 2007 tukiwa wanachuo...
Hakuna nchi ipo tayari kupigana WW3, Endapo itatokea hii vita, ndo itakuwa vita mbaya zaidi kupiganwa katika uso wa dunia na possibly ndo ukawa ndo mwisho wa maisha ya kila kiumbe kinachoishi juu ya uso wa dunia. Why nasema hivi, urusi alishaonya kuwa akigiswa tu anaachia nule zake kuelekea...
Kama kuna jambo la kipumbavu na la kijinga alilofanya huyu rais wa nchi jirani ni la kujipeleka kwa usa mzima mzima. Yaan kwa watu wenye akili mgando na wenye akili kisoda ndo wanaona kafanya jambo la kusifiwa, matekani huwa hasaidii nchi masikini, bali huzitumia kwa manufaa yake mwenyewe, once...
Marekani ukiondoa ubabe wa kishamba hana lolote. Power ya mmarekani ni dola yake ambayo inapata nguvu kwa kuchangiws na damu za watu wa mataifa mengine, maana pesa yako ikiimarika tu atatafuta kila mbinu kuingiza chockochocko hilo taifa mpaka izuke vita kama analivofanya iraq, libya na sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.