Recent content by Holly Star

  1. Holly Star

    Utundu wa huyu dada unanipagawisha

    Litaotalingine tena litakuwakubwakuliko la zamani
  2. Holly Star

    Ni dhahiri sasa kuwa Rais Samia ametambua kundi la akina Nape sio jema. Shujaa wa Afrika alikuwa sahihi kuwakataa

    MTANDAO ULIOKUWA UNAITAFUNA SERIKALI NA KUANDAA MAPINDUZI NDANI YA CCM NA SERIKALI KUELEKEA UCHAGUZI WA 2025 NA 2030 WAKATI TANZANIA imepata ahueni kubwa sana kwa tukio la hivi karibuni la kufukuzwa kazi kwa mawaziri wawili Nape Nnauye na January Makamba kwa tuhuma nyingi sana zilizokuwa...
  3. Holly Star

    PreGE2025 Nani kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara baada ya Mzee Kinana kujiuzulu?

    MTANDAO ULIOKUWA UNAITAFUNA SERIKALI NA KUANDAA MAPINDUZI NDANI YA CCM NA SERIKALI KUELEKEA UCHAGUZI WA 2025 NA 2030 WAKATI TANZANIA imepata ahueni kubwa sana kwa tukio la hivi karibuni la kufukuzwa kazi kwa mawaziri wawili Nape Nnauye na January Makamba kwa tuhuma nyingi sana zilizokuwa...
  4. Holly Star

    Kibiblia mwanamke yoyote ukimkuta hana bikra huyo si mke wako

    Ki msingi bikra kwa mwanamke ni ishara ya uvumilivu, utii, heshma lakini ni ishara ya uaminifu kwa mumewe, na ni zawadi kubwa kuliko zawadi yoyote kwa mumewe. Hizi bikra mnazotoana kwa mabakuri ya chipsi zinaharibu sana wake za watu. Na ndio maana mwanamke haweziachana kamwe na mwanaume alomtoa...
  5. Holly Star

    Nataka nianzishe mahusiano na mume wa mtu kwa faida

    Yaan wanawake basi tu, wewe unaingia kwenye relation kwa ajili ya kupewa hela na sio kupenda. Jaribu kutumia nguvu na akilizako kutafita jela kuliko kwenda kuwa chombo cha statehe kwa mume wa mwanamke mwenzako. Kwanza hebu jiulize utasababisha matatizo mangapi kwenye faamilia ya huyu mwanamke...
  6. Holly Star

    Nawezaje kuondoa Garden Love Mbaya?

    Tumia veet ubapaka unaacha robosaa nenda kaoge fanya hivi kila baada ya siku4
  7. Holly Star

    Nina nia ya kuwa Rais wa Tanzania

    Unafikiri kuwa rais ni sawa na kubeti, rais huandaliwa. Lakini pia kitrndo cha kuja kucomet jf nia yako ya kuwa rais kinakuondolea kabia sifa za rais unaonekana bado una waza kitotototo
  8. Holly Star

    We kijana, nakupenda sana

    Mke waa mtu keshaliwa hapo
  9. Holly Star

    Nikikojoa mkojo unauma mwishoni na uume unatoa vitu vya njano. Nitumie dawa gani?

    Kitu imegonga noki mzer jiwahishe hospitali, afu acha umalaya
  10. Holly Star

    Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

    2007 ndo nlimaliza chuo RMIT, 2008 nikaajiriwamoja ya mikoa maskini sana km mwalimu wa chuo, 2009 nikaanza kuishi na mchumba wangu she was 20 yrs old mm nlikua 27, nlikua na ka mwili kadogo sana, yeye pia, Tulipanga nyumba nzima na tulikuwa na mtoto 1 ofcourse tulimpata 2007 tukiwa wanachuo...
  11. Holly Star

    Mkopo wa Korea ni sehemu ya vita ya Urusi na Ukraine, tumenasa

    Hakuna nchi ipo tayari kupigana WW3, Endapo itatokea hii vita, ndo itakuwa vita mbaya zaidi kupiganwa katika uso wa dunia na possibly ndo ukawa ndo mwisho wa maisha ya kila kiumbe kinachoishi juu ya uso wa dunia. Why nasema hivi, urusi alishaonya kuwa akigiswa tu anaachia nule zake kuelekea...
  12. Holly Star

    Ukiangalia jinsi Rais Ruto alivyopokelewa kwa heshima Marekani utashangaa

    Kama kuna jambo la kipumbavu na la kijinga alilofanya huyu rais wa nchi jirani ni la kujipeleka kwa usa mzima mzima. Yaan kwa watu wenye akili mgando na wenye akili kisoda ndo wanaona kafanya jambo la kusifiwa, matekani huwa hasaidii nchi masikini, bali huzitumia kwa manufaa yake mwenyewe, once...
  13. Holly Star

    Hivi mchina ana technolojia gani ya kumsinda Mmarekani?

    Marekani ukiondoa ubabe wa kishamba hana lolote. Power ya mmarekani ni dola yake ambayo inapata nguvu kwa kuchangiws na damu za watu wa mataifa mengine, maana pesa yako ikiimarika tu atatafuta kila mbinu kuingiza chockochocko hilo taifa mpaka izuke vita kama analivofanya iraq, libya na sasa...
Back
Top Bottom