Wengine wanafamilia kubwa na majukumu pia mishahara midogo, lakini pia wamewekeza maeneno mengine sio kwenye magari, kuna watu ukiwashauri wanunue magari hawawezi kukuelewa kabisa, wengine madeni mengi yanawaathiri, amekopa amejenga nyumba kabla ya kumaliza mkopo linakuja hitaji lingine anafanya top up, kwa hiyo kuna top up juu ya top up bado taasisi nyingine za fedha, bado kwa mangi, bado viccoba, bado vyama vya kishikaji! watu wana balaa mbaya, toka nett ya 2.2m mtu anaweza kubaki na 400k, nyingine imeishia kwenye madeni. Huyu ninayemzungumzia ni ndugu yangu wa karibu.