nijibu haya maswali mkuu niwe mwelevu kama wewe🙏🙏🙏🙏
1.Kwa nini nchi masikini zaidi duniani zipo kusini mwa jangwa la sahara na 80% ya population yake ni wakristo?
2.Kwa nini Zanzibar Ina WAISLAM 99% na rasilimali zake za mafuta na gesi,sio Mali ya muungano,wakati Mali za bara hata wazanzibar wanafaidika nazo,na rais mzanzibar yupo hapa anatawala na anauza migodi na rasilimali za bara kama mbuga ya kwa bei ya kutupa?
3.kwa nini per capital ya Zanzibar yenye WAISLAM 99% ni $2500 huku ya Tanganyika ikiwa ni $1200?
4.kwa nini ISLAMIC REPUBLIC OF IRAN na ISLAMIC REPUBLIC OF AFGHANISTAN wanamiliki rasilimali zao,100%?