Recent content by Hau

  1. H

    Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo rasmi

    wacha jamani nchi hii lakini tunaipenda sana ccm na leo wanatuua mama zetu na ndugu zetu wanakufa. Kweli ndio maisha bora haya.
  2. H

    Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo rasmi

    Nimetoka muhimbili nimekuta hali ni mbaya wagonjwa wametangaziwa mgomo na madaktari mwenye mgonjwa aende kuchukua ndugu yake. Nimemkuta bibi mmoja analia sana anasema sina uwezo sina ndugu nimekuja muhimbili na huku mgomo... Magari ya wagonjwa kutoka mwananyama, temeke, ilala wanarudishwa huko...
  3. H

    Hivi rushwa na huu utandawazi wa M-pesa, Tigo-pesa.. Inakuwaje

    naona sasa kuna uwezekana mkubwa rushwa kuongezeka kupitia huduma hizi.. Tena jinsi nchi ilivyo sioni umuhimu wa taasisi ya pccb.
  4. H

    Matokeo kidato cha nne yamechakachuliwa

    wacha kudanganya kama kufeli watu wamefeli lakini siku zote matokeo yanatoka mwezi wa pili au mwisho wa mwezi
  5. H

    Oral interview nssf

    tanzania sasa hivi kuna udini sana zamani ilikuwa ukabila mara wachaga,wahaya,wanyakwisa. Leo uislam na ukristo. Waislam wanadini yao na wakristo wanadini yao hivi tatizo nini....
  6. H

    Wahadhiri UDOM waishi hotelini

    haya ndio maisha ya bongo hakipata leo kesho wewe.. Tanzania ni miaka kumi ikiisha tu anakuja mwengine..
  7. H

    Fununu za matokeo

    ndio maana nyie brother mkimaliza vyuo mnakosa kazi kwa kukaa sana mitaani kwa kuombea sisi ndugu zenu mabaya.... Jua ukila damu ya mwenzako basi subiri na yako kuliwa.
  8. H

    Wanafunzi coed-udom waingia barabarani kudai pesa zao!

    tutawaekea baadhi yenu ili tupunguze malumbano..
  9. H

    Makamu mkuu wa chuo Udom:Profesa Kikula awadanganya wanafunzi

    tutawaekea wachache ili tupunguze malumbano... Na huku pesa ikawa hiko kwenye process
  10. H

    Kaka wa Real madrid autembelea msikiti na ku plan kujifunza zaidi kuhusu Uislamu.

    Wajua kuna watu wanaudini sana kujifunza ni jambo la kawaida tu kwani yeye anajifunza au anaingia uislam..... Tuwache udini unavyopenda wewe sio mpaka mwenzako pia hapende. Ukristo,uislam na kama huna dini vyote hivi ni juu yako na mungu wako. Sio ukiwa muislam lazima mwenzako hawe muislam...
  11. H

    LEO na KESHO.. NCHI YANGU TANZANIA WEWE JE.?

    ni muda sasa tumuombe mungu.
  12. H

    LEO na KESHO.. NCHI YANGU TANZANIA WEWE JE.?

    MiMI ni mtanzania tena wa asili. Ndugu zangu tuwe wakweli uwaga jinsi unavyo jiona wewe tofauti na wengine. Naona tabu sana ninavyoona vitu vinavyoenda nchini masikini na tajiri kunatofauti kubwa sanaaaaa.. tofauti na dhamani urasimu tele na ubinafsi kwa wachache... Leo tunaaga mwaka...
  13. H

    Wana udsm watangaza vita mdaa huu

    upumbavu huo.... Kikubwa kufuata taratibu then vitendo
  14. H

    miaka 50 ya uhuru ongezeko la IT chuoni oyeee..

    hii ndio baraka za kimaendeleo
  15. H

    Je,tuuiteje?! Udini shuleni?

    kitu simple kutambulike tu.. Tanzania ni nchi isiyo na dini lakini wananchi wake wana dini kwenye mkusanyiko wakila jambo waumuni watengezewe nyumba za ibada zao. Mbona leo tukiwa kwenye mchanganyiko baina ya mwanaume na mwanamke katika mavyuo wanaume wanajengewa sehemu za kukojolea na wanwake...
Back
Top Bottom