hilo ndo lililokufanya ujiunge jf?
Nadhani ugeni wako hapa jukwaani unakusumbua. CEO wa pale pamoja na top managers wa pale hauwajui tabia/ubaguzi wao?:A S embarassed:Unamaanisha nini mkuu
Akina Juma, Mwinyi, Issa, Abdallah, Amina, Ramadhan, Abdulrahman, Zainabu, and the like walishaitwa lakini sio sisi akina John, Mathew, Esther, Hellen and the like.[wliitwa ln?]
Achana nae huyo udini unamsumbua.mmmmh!!!hayo Majungu,ina maana hakuna akina John pale?nina mashaka na uwezo wako wa kufikiri......Nenda NSSF au pitia Website yao utaona "Management" yao then analyse no. ya hao unaowatuhumu ndo uje uandike hapa.
Akina Juma, Mwinyi, Issa, Abdallah, Amina, Ramadhan, Abdulrahman, Zainabu, and the like walishaitwa lakini sio sisi akina John, Mathew, Esther, Hellen and the like.[/QU. Karne hii unazungumzia ubaguzi wa dini? Shame on u! JF is not the right place.
Akina Juma, Mwinyi, Issa, Abdallah, Amina, Ramadhan, Abdulrahman, Zainabu, and the like walishaitwa lakini sio sisi akina John, Mathew, Esther, Hellen and the like.
Akina Juma, Mwinyi, Issa, Abdallah, Amina, Ramadhan, Abdulrahman, Zainabu, and the like walishaitwa lakini sio sisi akina John, Mathew, Esther, Hellen and the like.
Mkuu, inamaana una uhalalisha udini wa NSSF kwa kuwa na TRA upo? Narrow mind!Nafikiri ktk vigezo vilivyotajwa dini haikuwemo hivyo suala la kuitwa Ally na Haruna sio shida sana kwangu la msingi wawe na vigezo jaribu kuangalia na sekta nyingine km TRA na kwingineko sio udini kuuona nssf tu!ujui ulisemalo mkuu
mmmmh!!!hayo Majungu,ina maana hakuna akina John pale?nina mashaka na uwezo wako wa kufikiri......Nenda NSSF au pitia Website yao utaona "Management" yao then analyse no. ya hao unaowatuhumu ndo uje uandike hapa.
tanzania sasa hivi kuna udini sana zamani ilikuwa ukabila mara wachaga,wahaya,wanyakwisa. Leo uislam na ukristo. Waislam wanadini yao na wakristo wanadini yao hivi tatizo nini....
Akina Juma, Mwinyi, Issa, Abdallah, Amina, Ramadhan, Abdulrahman, Zainabu, and the like walishaitwa lakini sio sisi akina John, Mathew, Esther, Hellen and the like.