Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
nimeongea na mwanafunzi leo!
Ndo akakwambia hii ni breaking news? Breaking news za kwenu zinauliza maswali?
nimeongea na mwanafunzi leo!
Hongera mkuu! wewe ndiye mkristo ! Hawa wapumbavu wanaokashifu ni freemason! wanajenga chuki baina ya waislam na wakristo ili watimize matakwa yao! Walaaniwe wote wanao kashifu dini za watu
Walioleta hayo madini yenu wanapeta tu na maisha, wanafanya maendeleo ya kueleweka na wananchi wao at least wanapata huduma muhimu, nyie mtakalia na madini yao na kuendelea kupigwa na jua tu hapa nchini, bure kabisa, imani ndio zilizotufikishahapa tulipo, rushwa imekithiri, mfumuko wa bei unatisha, nyie labda mtadai MUNGU AKIPENDA mambo yatakuwa poa, bila hata ya kuchukua hatua zozote, wapuuzi wakubwa hao wanafunzi, wache wakakeshe na misahafu, tuone kama maendeleo yao yatakuja na koran!
Ndo akakwambia hii ni breaking news? Breaking news za kwenu zinauliza maswali?
tukianza na wewe unayeukashifu u-freemason siyo?