Recent content by hapmpoma

  1. H

    Tibaijuka: Ukiona watu wanahangaika na mavazi ya mwanamke ujue wana matatizo yao

    temeke mwisho sasa hivi trafiki wanakamata wavaa kata k, wameshanyoa watu watatu viduku, tunaelekea wapi? kweli hii ndio kazi tuliyowatuma polisi kwa kutumia kodi zetu?
  2. H

    JamiiForums Legends of ALL Time

    hivi Lara 1 yupo wapi jamani, dada alikua machachari sana....akianza "nama....lol back then mambo yalikua moto"
  3. H

    Is Bloomberg trying to sabotage Tanzania's economy?

    watakanusha hawakutoka wapi
  4. H

    Ni simulizi gani Ilikukuna vizuri hapa JF 2016?

    nahitaji link ya simulizi ya yule alieenda mtwara, mtama kufanya kazi akakutana na mauza uza mpaka panya kugeuka joka kubwa... tafadhari mnisaidie mana hata jina ya hiyo simulizi siikumbuki
  5. H

    Bora mwanaume wa kibongo kuliko mwanaume mkenya

    Smatta wewe ni mkenya totaly ndo mana unamtetea huyo f**a mwenzio...pfuuuu wakenya Sent using JamiiForums
  6. H

    Alerts : Strictly for Women!!

    What is kegel exercise jaman, mbona tunaachana njiani? Sent using JamiiForums
  7. H

    Diamond na Wema "WARUDIANA" ....

    Acheni ushabiki usio na maana, binafsi napenda uhusiano wa wema na diamond ila mwanaume huwa anapenda zaidi ya kitandani na muonekano wa nje...am telling u guys siamond anampenda sana wema ila atakuja oa penny coz she is a wife material..wema aatendelea kummega milele...this is reality wether u...
  8. H

    Free Internet to all JF members with A MAGIC SIM CARD(No payment required)

    Naomba unifahamishe vizuri plz ninataka kujiunga na hiyo free internet plz.. Sent using JamiiForums
  9. H

    Urgent message for Vodacom...

    Huyo aneisifia tigo nahisi ameajiliwa so lazima aisifie ili wateja waongezeka na kulinda kibarua chake. Nina kama wiki moja sasa TIGO wamenifanyia mambo ya ajabu sana, nilinunua "kijisalio" changu kupitia tigo pesa yangu usiku, nia na madhumuni nipige kenya... Salio lilikua 2500 lakini...
  10. H

    Msaada: New baby names

    Collins for baby boy na corny 4 babygirl Sent using JamiiForums
  11. H

    Niliambukizwa HIV na mtu niliyemwamini!

    Pole sana ndugu, najua ukimwi ulivyo coz nilimuuguza uncle wangu last year akanitoka... Inatakiwa ujikubali kama hivyo jitahidi kufuata ushauri wa madaktari unasaidia, yeye alikaa miaka kjaribu 20 na ukimwi, unachotakiwa usife moyo unauwezo wa kufanya ndoto zako achana na mawazo ya kwamba kifo...
  12. H

    Niliambukizwa HIV na mtu niliyemwamini!

    Hivi wewe unaakili kweli? Kuna maswala ya utani na ya msingi...angalia usimcheke mamba ndugu yangu Sent using JamiiForums
  13. H

    Maajabu ya mungu mwanamke wa asia azaa watoo 11 timu ya mpira mashallah

    Afunge kizazi tu kwakweli...maana asije akatoa tena 20!!! Ikawa balaa kweny misosi!! Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
  14. H

    You can tell a person's character by the phone they use:

    Yangu back 2 hell...namba ngapi hiyo? Mana mchina ameshaifyatua!! Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Back
Top Bottom